Wakuu shkamoon
Nina hizi marks
Div II pts 20
B/Keeping - C
Commerce - C
Maths - D
History - C
Geography - C
Civics - C
Na nayapenda masomo yote but wap mnaona I can do wonders
NB: Siipend...
Habari za muda huu wadau
Samahani naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu na maswala ya transfer ya mkopo je huchukua muda gani mpaka kukamilika na mnufaika kupatiwa pesa alizopangiwa kwa mwaka husika...
Wakuu,
Binafsi nina uwezo wa kuandika makala, proposals, habari nk ingawa kitaaluma nina Degree ya Business Administration in Marketing Management.
Lengo niwe na taasisi yenye kutoa msaada au...
Waungwana naomba mwenye kitabu cha ICS( information and computer studies) cha o'level form 1-4 anisaidie kwa kuniwekea hapa.
Hata ukiweka cha darasa moja sio mbaya.
Thanks in advance.
Wadau naombeni msaada wa kupata kitabu hiki:
BASIC CONCEPTS AND PERSPECTIVES IN HISTORICAL SCHOLARSHIP.
Mwandishi: MIHANJO P.A.N.E(2008), Dar es salaam-university press au hata mwandishi mwingne...
Leo nimejikuta nakumbuka
1. Cicadulina mbila - Mdudu anayesababisha ugonjwa wa unyaufu kwenye mahindi. Angalia kielelezo cha jani lililoliwa na mbila.
2. Black jack (shona nguo) - Majani adui wa...
Habari zenu wanajamvi.
Nina ndoto za kusoma nchini Sweden kupitia taasisi inayotoa masomo ya ufadhili nchini humo. Kwa wale ambao mmewahi kusoma au bado mnaendelea kusoma mnaweza...
Wadau salaam,
Siku mbili hizi sijapost chochote nilikuwa bize kidogo, mambo yalikuwa mengi.
Wadau, najua humu kuna manguli wa computer; naombeni mnipe maujanja ya kujifunza Ms Excel.
Niingie...
When playwright compose their work of art focusing on the social struggle,they always build courageous characters to face danger for well-being of their society.justify this assertion with...
Habari zenu wana jamvi,
Jamani wale tuliomalimaliza Jangwani high school 2006 tupo wapi? Hamuonekani? Yaani niliokutana nao wachache sana.
Jamani mpo? Kama wewe ulisoma miaka ya 2003 to 2006...
Unakumbuka nini baada ya Kupata daraja la kwanza
Nakumbuka mwaka **** nikiwa kijijini nimemaliza Shule, matokeao bado yanaandikwa kwenye magazeti
Jina langu linaanza na Herufi za Mwishoni ...
Sana wadau mie niko first year nachukua kozi ya Management of Socail Development , kama wana jamii nilikua naomba kuhusiana na changamoto na faida za kusoma kozi hiyo pia maeneo gani ambayo mtu...
Naomba msaada wa Vocational Skills new syllabus class VI au scheme of work class VI.
Please mwenye nayo naomba msaada wa kuipata kupitia hapa mtandaoni au WhatsApp number 0752109702.
Naombeni msaada wa new syllabus ya civic class VI au scheme of work class VI pliz mweny nayo naomb msaada wako kupitia hapa mtandaoni au wasap 0752109702 pia nitatoa sh 1000/= kwaajl ya mb's Ahsante.
Wadau naombeni msaada nahitaji soma diploma in clinical medicine ila naona mfukoni sina chochote na nilifanya application nikachaguliwa gvt mda WA kwenda ilibidi niailishe coz ya capital,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.