Habari za asubuhi Wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2019 katika masomo ya Arts, Ivumwe High School mjini Mbeya. Shule ni ya umoja wa wazazi. (private...
Dah sikutegemea yaani kile ninachokiona hapa Iringa university mpaka natamani kulia.
Kiukweli masomo magumu jamani bora advance yaani mfano philosophy unaisoma haieleweka dah advance ni bata...
Tulimaliza Chuo tangu Nov, 2017.
Ilipofika June 2018 Vyeti vikagawiwa kwa Wahitimu wote, lakini katika Vyeti vile kulikuwa na makosa ya kukosewa majina baadhi ya Wahitimu, tukaambiwa na Mkuu wa...
Sasa kama MTU unasoma hadi chuo na kazi hupati, si bora uishie form 4, huo muda na pesa ulizopoteza kusoma chuo, bora ungeingia kusaka mapene mtaani, huenda mpaka sasa hivi ungekuwa mbali kidogo...
Yaani nikisikia sijui Profesa fulani, halafu nikafuatilia nikakuta ni wa eti Kiswahili, sijui Tashbiha, huwa nashindwa kumpa heshima sawa na Mwanasayansi.
Mungu anibariki nipunguze kuwadharau...
Mwenye uzoefu naomba msaada wa taarifa kuhusu degree ya electrical engineering ya St Augustine University Mwanza .ikoje in terms of uwepo wa wakufunzi waliobobea na coverage ya material yani kwa...
Habar zenu ndugu zangu.
Me naishi na binti yangu, amemaliza kidato cha NNE mwaka 2017. matokeo yake akawa na C1 na D2, ambay ni kiswahili C na eng/islamic, akawa na D mengine yote aliferi...
Habari wakuu,
Napenda kuulizia kama kuna mtu anayefahamu kuhusu huduma ya kifedha ya mikopo ya ada ya masomo (tuition fees) tajwa hapo juu kwa ajili ya wanachuo wa Shahada.
Maana nina shida ya...
London School of Hygiene wana Scholarships kwa watu wa Sub Sahara Africa kwa Masters in Public Health, Control in Infectious Diseases etc
Sifa:
• Uwe na first class or 2:1 in undergraduate.
•...
Habar zenu
Jamani naombeni ushaur, naishi ma mtot Wa dada angu. Amemaliza kidat chat nne mwaka 2017 na mwaka jana akaitaji kurudia, alopo rudia matokeo hayakua mazuri tena Ila hakukat Tamaa...
husika na kichwa cha habari hapo juu,
nimemaliza kidato cha nne mwaka jana,namshukuru mungu matokeo yangu ni mazuri.Nina mpango wa kwenda chuo hapo mwakani,shida niliyo nayo ni kuwa mpaka sasa...
Janauary inakaribia na watoto waanze shule wale wanaoanza Form 1 na wale wanaoanza Standard one.
Ila kuna uharamia wa wazi wazi kabisa unafanyika na wakuu wako kimya kabisa.
1. Watoto kuambiwa...
MKURUGENZI MTENDAJI WA HESLB, ABDUL-RAZAQ BADRU, PICHA MTANDAO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema ina fedha za kutosha na hadi jana imeshapokea Sh. bilioni 186 kutoka...
Habarini wanajanvi,
Mwanangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya secondary Morogoro. Natamani nimuhamishe kumpeleka shule ya secondary ya boarding ya serikali yenye ufaulu...
Ndugu zangu,
Husikeni na kichwa hapo juu. Naomba mwenye softcopy ya notes za Economics 1, Management Principles, Mathematics, Sociology na Theory of Development anisaidie (hata mojawapo ya notes...
Nisamehewe bure kama nitaonekana nasukumwa na umaskini wangu kuandika haya ninayoandika.
Kiukweli nimeshangaa na kukwazwa kusikia kuwa kuna shule hapa hapa bongo inayotoza Tshs. 34 milioni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.