Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hope mko poa wana JF. Ombi langu kubwa kwenu kielimu ni kuujua Mto Ruvu hususani main areas kama ni wilaya au vijiji itakuwa bora zaidi mahala unapopita mpaka unapoenda kumwaga maji baharini...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Habri zenu wadau, ningependa kujua ni chuo gani kizuri kwa kusoma course ya Procurement kwa level ya Degree.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Iko hivi Kifupi nilianza kuajiriwa private nikiwa na Diploma, na kwasababu ya njaa ya kusoma nilitafuta kazi serikalini ili nipate ruhusa ya kusoma (Bachelor na Masters) maana private sector...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kama waliopangiwa mashule kwa kidato cha kwanza 2019 - 2020 tayari?
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Habari za muda huu wana jukwaa, Kama heading hapo juu inavyojieleza, nadhani sasa elimu yetu inatakiwa ielekee nje ya boksi. Maana ya kuandika hivi, siku ya juzi niliwakuta wanafunzi ambao ni...
1 Reactions
2 Replies
845 Views
Member wengi wametupia vitabu hapa JF vitabu vya inspirational na vya maisha ya jamii kwa ujumla. Kwa vitabu vya soft copy hasa ambavyo ni new edition kwa wanafunzi kuanzia hasa vyuo na vyuo vikuu...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu, kwa msaada Mwalimu yeyote mwenye PDF ya maazimio ya masomo kwa mwaka huu naomba. Kama upo nao au unajua namna ya kuupata, naomba kusaidiana katika hilo Nawasilisha. Asante Sent using...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninataka kusomea uandishi wa habari. Msaada juu ya changamoto na faida zake wakuu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuna member anayeweza kunisaidia soft copy ya kitabu cha financial accounting 1 au kunielekeza wapi naweza kukipata naomba anielekeze au anisaidie kukipata "ahsanten"
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wazee naomba kujua ada ya Msolwa Seconday School.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Dodoma. Wanafunzi 701,038 sawa na asilimia 92.27 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2019 wamechaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza mwaka 2020. Wakati hao wakipata nafasi, wenzao 58,699...
1 Reactions
83 Replies
22K Views
Habari wakuu, Naulizia mahali ninapoweza kujifunza short courses za mifugo, naomba tujuzane hapa. Mahali kozi zinapotolewa pamoja na muda wa course. Asante
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu vipi kuhusu wanaotaka kufanya transfer wameshafungua hao TCU? Na wanaposema feedback ni December huko mtu si utakuwa umemiss vipindi kadhaa utaweza kuendelea na chuo kweli?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Nilikua naomba kuuliza, hivi ni lazima kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao wameomba mkopo kupeleka majina yao chuo ili waweze kutumiwa matokeo yao bodi ya mkopo? Na kama mtu...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Wakuu habari, ni hivi nimebahatika kurudia kama mara mbili hivi mtihani wa kidato cha nne kwa karibu masomo yote 7, matokeo ya awali nilikuwa na ufaulu hafifu ambao binafsi sikupendezwa nao...
0 Reactions
15 Replies
19K Views
Habari wanajamvi Mimi nahitaji kujiunga na chuo cha SAUT Mwanza ngazi ya Diploma. Swali langu je? Ni kozi ipi nzuri kwa Sasa katika soko la ajira maana cheti nilisoma community development...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tafadhalini naomba mnifahamishe, baada ya kukata rufaa bodi ya mikopo majibu yanatoka lini? Kuna aliyepata majibu?
0 Reactions
56 Replies
9K Views
Nimepitia course zinazotolewa na Chuo Kikuu Huria ni kama tu vyuo vingine, ila nimejaribu kuuliza muda gani inachukua mtu kusoma degree course na kuhitimu. Je ni miaka 3 kama vyuo vya kawaida...
1 Reactions
28 Replies
10K Views
Habari waungwana, hivi ni kwanini capital na revenue zina nature ya credit? Kwa mwenye kujua please.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa serikali imetoa waraka unaowaelekeza wakurugezi kuwarudisha walimu wa sekondari waliowahamishia msingi kama hawana pesa za kuwalipa. Mwenye kulifahamu hilo Naomba kujulishwa na...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Back
Top Bottom