Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wanajamvi Naombeni tujuzane juu ya uzuri wa course ya Information Technology (IT) ni vipi unaweza kujiajiri na pia kama utaajiriwa unafanya kazi wapi? Karibuni[emoji116] [emoji116] [emoji116]
4 Reactions
35 Replies
30K Views
Habari wana jf Husika na kichwa cha uzi mwenye hayo matokeo ya hizo shule mbili anisaidia,Ukianza kunitumia ya njoss itakuwa fresh zaidi. Nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni raia wa kawaida hapa kisarawe kwa Sasa naomba msaada wa kusoma kozi za muda mfupi kwa jiji la Dar es salaam,hivyo kama kuna mdau yeyote anayefahamu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujua vyuo vya hapa Dar vinavyofundisha designing and printing. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
When playwright compose their work of art focusing on the social struggle, they always build courageous characters to face danger for well-being of their society. Justify this assertion with...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta Chuo cha computer kwa course ya IT, sijui chuo kipi kizuri maana nimeweka maximum ya kujiajiri kuliko kuajiriwa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi ndg zangu,..leo nimekuja kwenu ili mnipe maarifa kuhusu namna ya kupata WAFADHILI ,wa kunifadhili masomo yangu ya Masters of science with education (physics ).hapa tanzania...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, Nina miaka karibia 10 ya utumishi kwenye sekta binafsi. Nimefanya kwenye makampuni na NGO's kadhaa hapa nchini na kikubwa ambacho ninakiona ni Watanzania kutojua haki zetu maofisini na...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana JF, natafuta shule nzuri ya English medium (Boarding school) zilizoko mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kwa ajili ya mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka 3 na mwakani atatimiza miaka 4...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Ni miaka kadhaa sasa tangu serikali iruhusu utoaji wa elimu ya juu kupitia vyuo binafsi. Je, vyuo hivi vimeweza kutoa bidhaa inayotakiwa na mlaji sokoni kuliko vyuo vikuu vya umma? Karibu kwa...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama ilivyo ada katika taalumu kama Law kuna shule ya sheria, uhasibu kuna NBAA nk. Lakini licha ya kufahamu kuwa ili mtu awe Profesa especially Tanzania ni lazima awe na Shahada ya Uzamivu yaani...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
SJMC kwa wasiokijua ni Shule Kuu ya Uandishi wa Habari ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Shule hii zamani ilijulikana kama TSJ - Tanzania School of Journalism na baadae ilipopewa kwa UDSM ikaitwa...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Poleni sana vijana wenye ndoto za kutimiza kupitia elimu Una vigezo vyote umekosa mkopo na pia umeappeal wamekunyima tena hii sio haki Inawezekana vipi hili linatokea wakati watoto wa wakubwa na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Ningependa kupata elimu zaidi kuhusu time traveller, msaada wakubwa zangu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu? naomba kufahamishwa kuhusu bachelor of technology in laboratory science ya DIT, hasa wigo wake wa kupata ajira,na maeneo hasa yapi mtu uwezayo fanya kazi, Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba msaada kujua majina ya vitabu vinavyotumika kufundisha literature in english msaada tafadhali. For more 0752925925. Karibuni wana jamvi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Alserkal Residency in Dubai is inviting applications for its Summer Cycle Programme for research-based and socially-engaged practices in 2020. Alserkal Residency is a platform for artistic and...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Tafadhari naombeni kujua kama kuna MTU anayejua taasisi yeyote au kampuni yeyeto inayotoa Ufadhili wa kusoma diploma Anisaidie;nimechaguliwa Mara tatu sasa nashindwa kwenda tatizo ada. Sent using...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF, Tafadhali naomba ambaye anaweza kunisaidia hizi selection za mkoa wa Dar wanao ingia form one mwaka 2020 zinapatikana wapi siku zinaaisha niko njia panda tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini wanaJF, Mimi ni kijana ninayetarajia kuhitimu masomo yangu ya A level hapo Mei mwakani. Nimejikita katika tahasusi ya PCM kwa kuwa ndio niliipenda sana. Suala langu ni kwamba napata...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom