Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Leo siku ya Eid El Fitr asubuhi nimejiinamia na mengi katika maisha yangu ya utoto yakanijia nikikumbuka ilivyokuwa asubuhi ya Eid wakati wetu. Nimemkumbuka kinyozi wetu jina lake Muingereza...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Historia ya vita ya Majimaji imekuwa ikielezwa kwa namna mbalimbali. Kila mmoja anasimulia kwa namna alivyosikia. Wananchi wengi wa ukanda wa kusini walikimbia vita na kuishi sehemu tofauti...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Uchaguzi wa Urais Zanzibar uko njiani unakuja. Historia ya uchaguzi visiwani inazidi kupambika na kuwa ya kugusa hisia ya kila mwanafunzi wa somo la historia ya siasa za Zanzibar na Afrika. Dkt...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
MAZUNGUMZO NA MAGGID MJENGWA WASIFU WA JULIUS NYERERE: MAMA SAKINA BI CHIKU BINT SAID KISUSA WANAWAKE KUTOKA UANI HADI UWANJANI MNAZI MMOJA KUDAI UHURU Mara ya mwisho kumuona Mama Sakina, yaani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Moyo wangu umejawa na simanzi, macho yamefunga kwa huzuni, uso umesawajika kwa haya ninayoyasoma yaliyotendwa na binadamu kwa binadamu wenzao. Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu Wana Jamii Forum, Humu Ndani Tume Bahatika Kuwa Na Mdau Echolima, Alishiliki Vita Ya Uganda, Kama Unaswali Tunaweza Tukamuuliza, Kama Unajibu Bara~bara Zaidi Unaweza Ukamsaidia Pia Kujibu...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
ASILI YA JINA TANGANYIKA. Leo 20:30pm 15/06/2020 Ni furaha yetu sote kuwa tuliobarikiwa kuishi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Sisi wananchi wengi na raia wa nchi hii tumeishi zaidi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Due to the nature of the Transatlantic Slave Trade and the practices of American slave owners, enslaved Africans brought to the U.S. lost much of their connection to the West African cultures from...
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Burundi nchi ndogo iliopo katika Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu...
3 Reactions
32 Replies
21K Views
Na , Mwanshinga Jr. Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa. Kwanza tuangalie nini au chanzo cha neno Safwa...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
KWENYE PICHA Kwenye picha hii kuna watu Wanne. Hao wanaume Weusi Mmoja ni Susi Na mwingine ni Chuma Wakiwa Nchini Uingereza Kwenye Mazishi. Chuma na Susi ndio Waafrika Pekee waliobeba Mwili wa...
1 Reactions
1 Replies
890 Views
JULIUS NYERERE ALIPOSIMAMA JUKWAANI KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1955 Nimezungumza na Maggid Mjengwa kuhusu historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama ilivyoandikwa. Hebu...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
PICHA MBILI ZA WAASISI 17 WA TANU MWAKA WA 1954 Kuna picha mbili za waasisi 17 wa chama cha TANU tarehe 17 Julai 1954. Picha ya kwanza ambao hawaonekani katika picha ni ni Ally Sykes, Tewa Said...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Historia imehukumu.ikiwa imepita miaka takribani 16 hivi! WAZEE ,KINA MAMA NA VIJANA,WAMKUMBUKA NALAILA KIULA JIMBONI IRAMBA MAGHARIBI. Wewe kijana sijui kama ulikuwa umezaliwa,tulikuwa na...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
hebu tujadili hili kidogo kwanini nchi nyingi za kiafrika kiongozi akishapewa mamlaka makubwa anajikuta yeye ndio ana akili nyingi na uelewa mpana kuliko yoyote je hiyi hali inatokana na nini? na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzee Popo au Baba Popo wa Isevya Mtaa wa Kanoni ndiyo babu yangu mzaa baba. Jina lake ni Salum Abdallah ingawa jina lake alilopewa na baba yake ni Rashid. Alibadilisha jina baada ya kufungwa kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Makala: Haile Selassie, ‘Masiha’ Aliyeuawa na Kutupwa Chooni, Kutukuzwa na Kupingwa 6 hours ago [https://4] Machi Mosi 1896, Kibanga alimshushia mkoloni kipigo cha mbwa koko katika ardhi ya...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hastings Kamuzu Banda Joyce Banda Wiki iliyopita nilijaribu kuwapa historia fupi ya Rais wa kwanza wa Malawi Mh Kamuzu Banda. Leo ninataka niwapitishe kidogo kwenye historia ya Joyce Banda moja...
6 Reactions
9 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza picha hii ilionekana Indiana US augost 5, 1948 ikionyesha kuna watoto wanne wamekaa mbele ya bango lenye maandishi '4 children for sale' yaani 'watoto wanne wanauzwa' na pembeni...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Bacon ni nyama iliyowekwa chumvi, mara nyingi nyama hii hutoka tumboni au mgongoni mwa nguruwe. Huliwa kama chakula cha nyongeza hasa katika kifungua kinywa Utaratibu wa kuhufadhi nyama hasa ya...
6 Reactions
21 Replies
6K Views
Back
Top Bottom