Leo siku ya Eid El Fitr asubuhi nimejiinamia na mengi katika maisha yangu ya utoto yakanijia nikikumbuka ilivyokuwa asubuhi ya Eid wakati wetu.
Nimemkumbuka kinyozi wetu jina lake Muingereza...
Historia ya vita ya Majimaji imekuwa ikielezwa kwa namna mbalimbali. Kila mmoja anasimulia kwa namna alivyosikia. Wananchi wengi wa ukanda wa kusini walikimbia vita na kuishi sehemu tofauti...
Uchaguzi wa Urais Zanzibar uko njiani unakuja.
Historia ya uchaguzi visiwani inazidi kupambika na kuwa ya kugusa hisia ya kila mwanafunzi wa somo la historia ya siasa za Zanzibar na Afrika.
Dkt...
MAZUNGUMZO NA MAGGID MJENGWA WASIFU WA JULIUS NYERERE: MAMA SAKINA BI CHIKU BINT SAID KISUSA WANAWAKE KUTOKA UANI HADI UWANJANI MNAZI MMOJA KUDAI UHURU
Mara ya mwisho kumuona Mama Sakina, yaani...
Moyo wangu umejawa na simanzi, macho yamefunga kwa huzuni, uso umesawajika kwa haya ninayoyasoma yaliyotendwa na binadamu kwa binadamu wenzao.
Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake...
Ndugu Wana Jamii Forum, Humu Ndani Tume Bahatika Kuwa Na Mdau Echolima, Alishiliki Vita Ya Uganda, Kama Unaswali Tunaweza Tukamuuliza, Kama Unajibu Bara~bara Zaidi Unaweza Ukamsaidia Pia Kujibu...
ASILI YA JINA TANGANYIKA.
Leo 20:30pm 15/06/2020
Ni furaha yetu sote kuwa tuliobarikiwa kuishi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Sisi wananchi wengi na raia wa nchi hii tumeishi zaidi...
Due to the nature of the Transatlantic Slave Trade and the practices of American slave owners, enslaved Africans brought to the U.S. lost much of their connection to the West African cultures from...
Burundi nchi ndogo iliopo katika Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu...
Na ,
Mwanshinga Jr.
Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa.
Kwanza tuangalie nini au chanzo cha neno Safwa...
KWENYE PICHA
Kwenye picha hii kuna watu Wanne.
Hao wanaume Weusi
Mmoja ni Susi
Na mwingine ni Chuma Wakiwa Nchini Uingereza Kwenye Mazishi.
Chuma na Susi ndio Waafrika Pekee waliobeba Mwili wa...
JULIUS NYERERE ALIPOSIMAMA JUKWAANI KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1955
Nimezungumza na Maggid Mjengwa kuhusu historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama ilivyoandikwa.
Hebu...
PICHA MBILI ZA WAASISI 17 WA TANU MWAKA WA 1954
Kuna picha mbili za waasisi 17 wa chama cha TANU tarehe 17 Julai 1954.
Picha ya kwanza ambao hawaonekani katika picha ni ni Ally Sykes, Tewa Said...
Historia imehukumu.ikiwa imepita miaka takribani 16 hivi! WAZEE ,KINA MAMA NA VIJANA,WAMKUMBUKA NALAILA KIULA JIMBONI IRAMBA MAGHARIBI.
Wewe kijana sijui kama ulikuwa umezaliwa,tulikuwa na...
hebu tujadili hili kidogo kwanini nchi nyingi za kiafrika kiongozi akishapewa mamlaka makubwa anajikuta yeye ndio ana akili nyingi na uelewa mpana kuliko yoyote je hiyi hali inatokana na nini? na...
Mzee Popo au Baba Popo wa Isevya Mtaa wa Kanoni ndiyo babu yangu mzaa baba.
Jina lake ni Salum Abdallah ingawa jina lake alilopewa na baba yake ni Rashid.
Alibadilisha jina baada ya kufungwa kwa...
Makala: Haile Selassie, ‘Masiha’ Aliyeuawa na Kutupwa Chooni, Kutukuzwa na Kupingwa
6 hours ago
[https://4]
Machi Mosi 1896, Kibanga alimshushia mkoloni kipigo cha mbwa koko katika ardhi ya...
Hastings Kamuzu Banda
Joyce Banda
Wiki iliyopita nilijaribu kuwapa historia fupi ya Rais wa kwanza wa Malawi Mh Kamuzu Banda. Leo ninataka niwapitishe kidogo kwenye historia ya Joyce Banda moja...
Kwa mara ya kwanza picha hii ilionekana Indiana US augost 5, 1948 ikionyesha kuna watoto wanne wamekaa mbele ya bango lenye maandishi '4 children for sale' yaani 'watoto wanne wanauzwa' na pembeni...
Bacon ni nyama iliyowekwa chumvi, mara nyingi nyama hii hutoka tumboni au mgongoni mwa nguruwe. Huliwa kama chakula cha nyongeza hasa katika kifungua kinywa
Utaratibu wa kuhufadhi nyama hasa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.