Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Historia ya Rajab Ibrahim Kirama haikupatwa kuandikwa kwa mfumo wa mathalan wa kuwa na sura ya mswada. Hata hivyo simulizi ya maisha yake imehifadhiwa kichwani na wengi katika ukoo wake wa Nkya...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu, Kama kuna anaejue ni nini hasa kilisababisha ugomvi kati ya hawa wazee wafuatao vs. Mwalimu Nyerere naomba atujulishe kwa historia fupi - kwa yoyote uijuayo. Na mwisho wa siku matokeo...
1 Reactions
18 Replies
14K Views
Alizaliwa Mombasa,akakulia Bukene Tabora.Akasoma India na akaoa binti wa familia ya kitajiri.Mfanya biashara mkubwa,mtu wa watu Andy Chande alikuwa mwanachama wa Freemason wenye heshima ya pekee...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
DOUBLE AGENTS NGULI WANNE KUWAHI KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU WA UJASUSI Mustakabali wa taifa lolote lile hutegemea pamoja na mambo mengine mifumo ya ulinzi, kwani hii ndio nguzo mhimu katika...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
LEO NDIYO SIKU ALIYOULIWA MALCOLM X MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16. Nilipofika New York...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo...
8 Reactions
31 Replies
9K Views
WASIFU WA JULIUS NYERERE: MATATIZO BADO YAPO KATIKA USAHIHI WA HISTORIA YA TANU Mwananyamala nje ya nyumba ya Mzee Mwinjuma Mwinyikambi kumeweka kibao kinachosema kuwa TANU iliasisiwa ndani ya...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakati huu tunapojadili rasimu ya kwanza ya katiba kuna kitu nimekiona leo kikanikumbusha swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kimoyomoyo. "Nyerere alikosea kuiunganisha zanzibar na tanganyika?"...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Historia ya Burundi ni ndefu sana, nimeielezea vizuri kwenye kitabu changu ambacho huenda mwezi ujao kikawa tayari (Inshallah). Jiandae kusoma uchambuzi yakinifu kuhusu siasa zetu za ndani na za...
8 Reactions
40 Replies
8K Views
Binafsi nimejipa utaratibu kuwa vitabu vinavyohusu uafrika na waafri sitavitilia mkazo sana vile vilivyoandikwa na wazungu bali vilivyoandikwa na Waafrika wenyewe! Mfano ukisoma historia ya Mkwawa...
7 Reactions
41 Replies
7K Views
HISTORIA YA MOROGORO, NNE YA KIRUMI NA ASILI YA BOKA, NYOKA MWENYE VICHWA SABA KATIKA MILIMA YA ULUGURU. Leo 15:15pm 14/06/2020 Wakati wa likizo tukiwa wadogo tulipofunga Shule pale Bungo...
8 Reactions
35 Replies
11K Views
Zanzibar mwaka 1200 HISTORIA YA NENO ZANZIBAR:Ukweli ni kwamba kila kilichopo hapa duniani kina historia yake. Na ifahamike kuwa kabla ya kuja kwa wageni katika bara la Afrika, kila kitu kIlikuwa...
7 Reactions
38 Replies
6K Views
Huyu alikuwa ni sister wa kanisa Katoliki, anaelezwa kuwa wakati wa uhudumu wake alihofiwa kuwa alikuwa anamilikiwa na nguvu za giza. Jina lake kamili anaitwa Sister Josephine Rosenthal. Mwaka...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
WASIFU WA JULIUS NYERERE: NANI ATAKUWA NA UJASIRI WA KUISAHIHISHA KAULI YA MWALIMU PALE ALIPOKOSEA TAARIFA KATIKA HISTORIA YA TANU NA MAISHA YAKE MWENYEWE? Nasoma kitabu cha historia ya Mwalimu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jana usiku rafiki yangu kaniletea clip ya huyu mzee anapiga gitaa mtaani. Huyu sahib yangu kaniletea hii clip kwa kuwa ni mimi ndiye niliye mtia yeye kwenye muziki wa kupiga gitaa kupitia muziki...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu mzee wa historia ni mtu asiyekata tamaa. Naangalia Jukwaa la Historia kwa siku sikosi kuona threads zake mpaka mbili au tatu. Pamoja na vijana wengi kwa ujivuni wao wanaonekana kutochangia...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU WILFRED MWABULAMBO ALICHARAZWA VIBOKO KWA KUMGOMEA RAIS NYERERE! Wanafunzi wanapogoma au kufanya maandamano, dola hujibu mapigo kwa njia anuai. Ipo mifano ya wanafunzi...
11 Reactions
63 Replies
11K Views
NEMBO YA SIMBA 👉Kama wewe ni mpenzi wa kuangalia filamu za Hollywood, pasi na shaka utakuwa umekutana na neno MGM. MGM ni kampuni ya utayarishaji na usambazaji wa filamu na vipindi vya Runinga...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
JECHA NA NAFASI YA RAIS WA ZANZIBAR Kuna mambo hayatokei kokote duniani ila Afrika na ukipenda unaweza ukasema Zanzibar. Hebu fikiria kwa dakika moja tu mathalan Jecha kashinda uchaguzi wa rais...
14 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom