Historia ya Rajab Ibrahim Kirama haikupatwa kuandikwa kwa mfumo wa mathalan wa kuwa na sura ya mswada.
Hata hivyo simulizi ya maisha yake imehifadhiwa kichwani na wengi katika ukoo wake wa Nkya...
Wakuu,
Kama kuna anaejue ni nini hasa kilisababisha ugomvi kati ya hawa wazee wafuatao vs. Mwalimu Nyerere naomba atujulishe kwa historia fupi - kwa yoyote uijuayo. Na mwisho wa siku matokeo...
Alizaliwa Mombasa,akakulia Bukene Tabora.Akasoma India na akaoa binti wa familia ya kitajiri.Mfanya biashara mkubwa,mtu wa watu Andy Chande alikuwa mwanachama wa Freemason wenye heshima ya pekee...
DOUBLE AGENTS NGULI WANNE KUWAHI KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU WA UJASUSI
Mustakabali wa taifa lolote lile hutegemea pamoja na mambo mengine mifumo ya ulinzi, kwani hii ndio nguzo mhimu katika...
LEO NDIYO SIKU ALIYOULIWA MALCOLM X
MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.
Nilipofika New York...
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo...
WASIFU WA JULIUS NYERERE: MATATIZO BADO YAPO KATIKA USAHIHI WA HISTORIA YA TANU
Mwananyamala nje ya nyumba ya Mzee Mwinjuma Mwinyikambi kumeweka kibao kinachosema kuwa TANU iliasisiwa ndani ya...
Wakati huu tunapojadili rasimu ya kwanza ya katiba kuna kitu nimekiona leo kikanikumbusha swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kimoyomoyo. "Nyerere alikosea kuiunganisha zanzibar na tanganyika?"...
Historia ya Burundi ni ndefu sana, nimeielezea vizuri kwenye kitabu changu ambacho huenda mwezi ujao kikawa tayari (Inshallah). Jiandae kusoma uchambuzi yakinifu kuhusu siasa zetu za ndani na za...
Binafsi nimejipa utaratibu kuwa vitabu vinavyohusu uafrika na waafri sitavitilia mkazo sana vile vilivyoandikwa na wazungu bali vilivyoandikwa na Waafrika wenyewe! Mfano ukisoma historia ya Mkwawa...
HISTORIA YA MOROGORO, NNE YA KIRUMI NA ASILI YA BOKA, NYOKA MWENYE VICHWA SABA KATIKA MILIMA YA ULUGURU.
Leo 15:15pm 14/06/2020
Wakati wa likizo tukiwa wadogo tulipofunga Shule pale Bungo...
Zanzibar mwaka 1200
HISTORIA YA NENO ZANZIBAR:Ukweli ni kwamba kila kilichopo hapa duniani kina historia yake. Na ifahamike kuwa kabla ya kuja kwa wageni katika bara la Afrika, kila kitu kIlikuwa...
Huyu alikuwa ni sister wa kanisa Katoliki, anaelezwa kuwa wakati wa uhudumu wake alihofiwa kuwa alikuwa anamilikiwa na nguvu za giza. Jina lake kamili anaitwa Sister Josephine Rosenthal.
Mwaka...
WASIFU WA JULIUS NYERERE: NANI ATAKUWA NA UJASIRI WA KUISAHIHISHA KAULI YA MWALIMU PALE ALIPOKOSEA TAARIFA KATIKA HISTORIA YA TANU NA MAISHA YAKE MWENYEWE?
Nasoma kitabu cha historia ya Mwalimu...
Jana usiku rafiki yangu kaniletea clip ya huyu mzee anapiga gitaa mtaani.
Huyu sahib yangu kaniletea hii clip kwa kuwa ni mimi ndiye niliye mtia yeye kwenye muziki wa kupiga gitaa kupitia muziki...
Huyu mzee wa historia ni mtu asiyekata tamaa. Naangalia Jukwaa la Historia kwa siku sikosi kuona threads zake mpaka mbili au tatu.
Pamoja na vijana wengi kwa ujivuni wao wanaonekana kutochangia...
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU WILFRED MWABULAMBO ALICHARAZWA VIBOKO KWA KUMGOMEA RAIS NYERERE!
Wanafunzi wanapogoma au kufanya maandamano, dola hujibu mapigo kwa njia anuai. Ipo mifano ya wanafunzi...
NEMBO YA SIMBA
👉Kama wewe ni mpenzi wa kuangalia filamu za Hollywood, pasi na shaka utakuwa umekutana na neno MGM.
MGM ni kampuni ya utayarishaji na usambazaji wa filamu na vipindi vya Runinga...
JECHA NA NAFASI YA RAIS WA ZANZIBAR
Kuna mambo hayatokei kokote duniani ila Afrika na ukipenda unaweza ukasema Zanzibar.
Hebu fikiria kwa dakika moja tu mathalan Jecha kashinda uchaguzi wa rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.