Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

JOB LUSINDE (1930 – 2020) AFARIKI Job Lusinde amefariki dunia leo tarehe 7 Julai siku ambayo mwaka wa 1954 wazalendo 17 walikutana katika ofisi ya TAA New Street, Dar es Salaam kuunda chama cha...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
MOHAMED NA MOHAMED SOMO NA SOMO: GUMZO LA MOHAMED GHASSANI Huwezi kuchoka kumsoma wala huwezi kuchoka kumsikiliza Mohamed Ghassani. Kipindi chake ''Gumzo la Mohamed Ghassani'' kina wafuatiliaji...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
HISTORIA YA TANU KUTOKA NYARAKA ZA SYKES KISA CHA ALLY SYKES, DENIS PHOMBEAH NA KENNETH KAUNDA TANGANYIKA NA MKUTANO WA WAPIGANIA UHURU KUSINI YA SAHARA 1953 SEHEMU YA KWANZA Mwaka wa 1953...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
kifo cha mwasisi wa Taifa la Zanzibar, na pia mmoja wa waasisi wa Muungano wa Tanzania, hayati Abeid Amani Karume aliyefariki kwa kupigwa risasi na wanajeshi Aprili 7, 1972 mjini Unguja. Bado...
6 Reactions
9 Replies
4K Views
KISA CHA ALLY SYKES, DENIS PHOMBEAH NA KENNETH KAUNDA TANGANYIKA NA MKUTANO WA WAPIGANIA UHURU KUSINI YA SAHARA 1953 SEHEMU YA KWANZA Mwaka wa 1953 Harry Nkumbula alikuwa amechaguliwa rais wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SHEIKH YUSUF BADI WA LINDI Inaaminika kuwa hakuna picha ya Sheikh Yusuf Badi popote kwani alikuwa hapendi kupigwa picha. Juhudi zangu za kupata picha yake hazijafanikiwa hadi hivi sasa. Rafiki...
10 Reactions
24 Replies
4K Views
Zanzibar na Oman ♥♥♥♥♥♥ Katika historia ya Oman si rahisi kuielezea bila kuhusisha uhusiano wake na kisiwa cha Zanzibar na maeneo mengine ya Afrika Mashariki. Kuna kipindi katika historia...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili sumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MANENO YANGU KUHUSU KIFO CHA SHEIKH ISSA BIN NASSER MWANDISHI WA ‘’ZANZIBAR KINYANG’NYIRO NA UTUMWA’’ Na Sheikh Ponda Issa Ponda Mimi ni mmoja katika watu wanaofanya uchunguzi katika historia ya...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwandishi amesimama Lincoln Memorial aliposimama Dr. Martin Luther King alipotoa hotuba yake, ''I Have a Dream.'' Siku kama ya leo Martin Luther King aliuliwa Memphis kwa kupigwa risasi na hii...
14 Reactions
30 Replies
7K Views
MWANADAMU NA MUUJIZA Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri. Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Alikua ni raia wa Marekani alizaliwa 18/5/1889 nchini Marekani. Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na yote ilikua inafanya kazi alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili (2) Shemu za siri...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
HAZINA YA MZEE KISSINGER KATIKA MAKTABA YA MOHAMED SAID Kama waandishi wa Wasifu wa Julius Nyerere wasingesema kuwa Maktaba yangu ni katika maktaba tatu bora walizoziona wakati wanatafiti maisha...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
TAAZIA: BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA KITWANA SELEMANI KONDO MARAFIKI WALIOPENDANA KWA DHATI Kitwana Selemani Kondo wengi huenda watashangaa kusikia kuwa alikuwa rafiki kipenzi wa wa Benjamin William...
7 Reactions
38 Replies
5K Views
TAAZIA YA DR. DAU KWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA YALE MAKUBWA NA MAZITO AMBAYO HAKUYASEMA Hakuna kitu kinagusa fikra na linabaki akilini na kuhifadhika kwengineko kama neno lililoandikwa...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
WAKILI MUSA KWIKIMA (1939 – 2020) KATIBU TUME YA WAISLAM YA MGOGORO WA EAMWS, 1968 Unaanzaje kuandika historia ya mtu kama Musa Kwikima katika Mgogoro wa EAMWS? Unaanzaje? Historia ya Musa...
7 Reactions
41 Replies
7K Views
Kuna mtu kaniletea makala ya Bi. Titi Mohamed na akaniuliza usahihi wa makala hiyo. Nimeisoma na mimi nikawa mwanafunzi makala ina mengi ambayo kwangu sikuyajua kwa undani wa kiasi kilichoandikwa...
8 Reactions
8 Replies
5K Views
DR. RAMADHANI KITWANA DAU ANAVYOMKUMBUKA RAFIKI NA KIONGOZI WAKE RAIS MSTAAFU BENJAMIN WILLIAM MKAPA KWA NINI NAMLILIA MZEE BENJAMIN WILLIAM MKAPA Dkt. Ramadhani K Dau Ilikuwa siku ya Ijumaa...
12 Reactions
6 Replies
2K Views
Wale ambao hawawezi kukumbuka historia, ndiyo ambao kimakosa wanarudia makosa ya kihistoria” - George Santayana Rais wa 40 wa taifa la Marekani, mwenye daraja la 33 kwenye asasi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom