Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

MOJA YA PICHA ADIMU ZA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Iko siku miaka michache iliyopita nilikwenda kumtembelea nyumbani kwake Magomeni Mikumi Kisiwani, rafiki yangu toka udogoni...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
WASIFU WA JULIUS NYERERE: COMBINED DANCING CLUB TABORA 1945 Katika Wasifu wa Julius Nyerere mwandishi kaeleza uhusiano wa Mwalimu Nyerere na Maulidi Kivuruga mmoja wa wanachama wa Combined Club...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
MASIJALA YA KITUME YA VATIKANI - Vatican Apostle Archive. Imekuwepo zaidi ya karne 3 sasa, ni KIINI cha SIRI za Kanisa KATOLIKI Duniani. Mwanzoni iliitwa MASIJALA YA SIRI ikabadilishwa jina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kabla ya Mwaka 1920 Hakukuweko na nchi ikiitwa Tanganyika Kwa kuwa chini ya utawala wa Kijerumani Tanzania Bara iliitwa Deustche Ost-Afrika, ilikuwa lazima Waingereza kutafuta jina lingine mara...
5 Reactions
41 Replies
7K Views
VIPI ILIUNDWA TANU NA NANI WALIUNDA TANU 1954? Nimeulizwa swali hilo hapo juu katika group moja. Swali nimelifanyia uhariri kidogo ili mada ikae vyema. Jibu la swali hili ni hili hapa chini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna mtu alisoma makala hiyo hapo chini niliyomtaja Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwaka wa 1956 alishiriki dua shambani kwa Sheikh Abdallah Iddi Chaurembo, Mtoni yeye akahangaika...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Katika Maisha Kuna Milima Mabonde, Na Yote Tumeumbiwa Binaadamu Hatuna Budi Kuyavuka. Kwenye Maisha Feli,Kosea, Anguka Mara 100 Ili Ufaulu Mara Moja Ben Carson Alibaguliwa Sana Kutokana Na Rangi...
4 Reactions
10 Replies
7K Views
Waliokuwepo au wanaofuatilia siasa hebu tupeni utamu zaidi nini unajua au kukumbuka kuhusu hii kitu
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Wakuu habari za mchana, naomba anayejua kuhusu hii marshal plan ya US baada ya vita kuu ya pili ya dunia ilikuwa ni nini haswa, anisaidie, ikiwezekana kwa Kiswahili nitashukuru sana.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Miaka ya 1990 mchoraji maarufu mwanamama Laura P raia wa US aliichukua picha orijino iliyopigwa na mpiga picha James Kidd katika mashindano ya kukimbiza farasi huko Tombstones, Arizona US na kisha...
3 Reactions
35 Replies
7K Views
Majanga yanaanzia Septemba 23, 1955, ambapo James Dean raia wa Los Angeles US alinunua gari yake ya michezo aina ya Porsche 550 kwa muuzaji George Barris na akaenda kuiboresha zaidi ionekane vile...
14 Reactions
17 Replies
4K Views
KWENYE PICHA Kwenye picha hii kuna watu Wanne. Hao wanaume Weusi Mmoja ni Susi Na mwingine ni Chuma Wakiwa Nchini Uingereza Kwenye Mazishi. Chuma na Susi ndio Waafrika Pekee waliobeba Mwili wa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtawala wa Saadani, Alitawala chini ya Sultani wa Zanzibar kama mkubwa wake lakini akafaulu kutetea nafasi yake kama sultani aliejitegemea. Mwaka 1882 aliweza kushinda jeshi la Sultani Sayyid...
5 Reactions
17 Replies
9K Views
Umuofia kwenu! Naomba kujuzwa machache kuhusu Taifa hili, linaloongozwa na Mfalme Mswati (kwa sasa). Kijiografia limezungukwa (limemezwa) na nchi ya Africa Kusini, machache kati ya mengi ni kama...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
THE 1966 CRISS; TO ATTACK THE MENGO KABAKA'S PALACE ON MAY 24th 1966 By Comred Mbwana Allyamtu mbwanaallyamtu990@gmail.com At the time of the attack, Sir Edward Muteesa, the then 35th Kabaka of...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
HOTUBA YA RAIS WA TANGANYIKA JULIUS NYERERE BUNGENI 10 DESEMBA 1962 WAKATI TANGANYIKA INAKUWA JAMUHURI ‘’Hakuna njia nyepesi ya kuondoa tafauti baina ya raia wetu Waafrika na wasio Waafrika...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna muda huwa nawaza kuhusu Iddi Amin nikagundua alikuwa kiongozi mzuri aliyeandikwa vibaya Iddi Amini angekuwa hai pengine Uganda ingekuwa na maendeleo kupita hata Marekani. Iddi Amini...
6 Reactions
53 Replies
8K Views
(MAZINGE WA INDIA) Dr. Zakir Naik Dr. Zakir Naik kwa wale watazamaji wa TV iitwayo Peace Tv inayo endesha vipindi vya dini sio sura ngeni kwa mtaalamu huyu. Dr. Naik ni mwanaharakati wa dini...
9 Reactions
25 Replies
6K Views
3 Karimjee Jivanjee & Co in Tanzania, 1860–2000: A case for ‘diasporic family firms’1 Gijsbert Oonk Erasmus University Rotterdam Oonk@eshcc.eur.nl To be published in Ute Röschenthaler and...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
SAYYID SALIM OMAR L’ATTAS Nina kawaida kila ninapopata taarifa za historia za watu ambao jamaa zao wapo hai huwa nawapelekea ili ikiwa wana jambo ambalo mimi silijui wapate kunifahamisha na hii...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…