Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Alama Mohamed Said ameleta mabadiliko ya historia ya Tanganyika katika medani ya Uhuru na "resistance" iliyofanywa kwa juhudi kubwa ya "Vita ya majimaji" na juhudi binafsi za na nani alikuwa...
11 Reactions
90 Replies
8K Views
Wadau wa JF Utafiti huu wa imani za Ushirikina (Uchawi) ulifanywa na Serikali mwaka 1978 kupitia Wizara ya Utamaduni wa Taifa na Vijana na lihusisha Mikoa ya Kigoma, Tanga na Rukwa Hata...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama mkiweza kuweka na picha ya Watangazaji mnaowajua itapendeza zaidi. Picha na jina la Mtangazaji. Wakati huo radio zilizotumika alimaarufu kama redio za phillps, national, panasonic na...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
https://youtu.be/UI1dwP9caIQ?si=cdOmNaWG4V_LiCLs
1 Reactions
0 Replies
206 Views
Ndugu yangu mmoja kasoma taazia niliyomwandikia Dr. Mayanja Kiwanuka (Ahmed Kiwanuka) na baada ya kusoma akaniletea picha ya kibao cha Mtaa wa Kiwanuka ulioko Upanga na akanieleza kuwa Mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
293 Views
Mkutano wa Iringa ulipitisha katiba ya jumuiya mpya ya Waislam, katiba ambayo ilikuwa sawasawa na katiba ya TANU. Hivi ndivyo BAKWATA ilivyoundwa. BAKWATA ikamchagua Saleh Masasi, Muislam tajiri...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Baada ya uhuru mwaka wa 1961 palizuka hofu kubwa sana ya kuogopa Uislam na Waislam Tanganyika. Mwaka wa 1963 ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya TANU Ukumbi wa Karimjee palizuka ugomvi kati ya...
5 Reactions
54 Replies
1K Views
https://youtu.be/tpj0t6SIreE?si=gsDZm8sHGCJQkYPJ Katika mkusanyiko huu wa Waislam chini ya Muslim Development Fund (MDF) Mwenyekiti wake akiwa Mzee Kondo, Mzee Kitwana Kondo alisema kuwa nia ya...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Hawa watu wameacha alama isiyofutika katika mataifa yao. Maana kazi waliyofanya ilikuwa ngumu na kubwa haswa. Vita ya kupambana dhidi ya umasikini ni vita ngumu inahitaji viongozi wenye akili ya...
1 Reactions
2 Replies
226 Views
MJADALA WANGU NA MAREHEMU DR. KATAROGE MAYANJA KIWANUKA (AHMED KIWANUKA) 1988 Nimepokea ujumbe huo hapo chini kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu: ‘’Historia hii itufunze mambo mengi. Kafa...
5 Reactions
19 Replies
587 Views
https://youtu.be/P1o9i3aSBUw?si=sl46f1N7qXlOe7Yb
1 Reactions
0 Replies
114 Views
https://youtu.be/T-yuovEhtwQ?si=A6xJADkt2L1dTQvk
1 Reactions
7 Replies
307 Views
Leo nimeona niwaletee kisa cha Zambia kupoteza marais wao wawili wakiwa madarakani ndani ya kipindi cha miaka 6. Levy Patrick Mwanawasa alikuwa Rais wa awamu ya tatu na Rais wa Kwanza kufia...
17 Reactions
60 Replies
2K Views
Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi. Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original. Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na...
1 Reactions
20 Replies
919 Views
Leo tuwakumbuke viongozi mahiri na shupavu kuwahi kutokea Tanzania. Naanza na Bibi Titi Mohamed, huyu kwangu mimi anabakia kuwa “Iron Lady” mwanamama mahiri zaidi katika ardhi ya Tanzania. Huyu...
1 Reactions
6 Replies
369 Views
TAHADHARI; NIMAKALA NDEFU KIDOGO,LAKINI NAOMBA USOMA HADI MWISHO ( samahani Ilitolewa vibaya na kwa kichwa tofauti, sasa nimerekibisha kidogo kimwonekano ili isomeke vizuri) Umeme: Ni janga la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
AZIZ ALI DOSSA KIDONYO-MMOJA WA WAAFRIKA MATAJIRI WAKATI WA UKOLONI NCHINI TANGANYIKA AZIZ Ali alijitengenezea umaarufu Kutokana na kwamba aliweza kumiliki majumba mengi na magari ya biashara (...
15 Reactions
36 Replies
11K Views
https://youtu.be/9LoUUlaLxFA?si=ESZUqXGFchy9-ID7
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Kwanini hakuna sanamu ya huyu mwamba wa kiafrica aliyetengeneza Jeshi la Kiafrica lililokua na ufanisi dhidi ya waarabu kama vile IDF ya israel. Mwamba toka Uganda alikuja Zanzibar akaona...
2 Reactions
20 Replies
621 Views
Kwa ufupi. Lt. Rajab Ahmed Mlima alizaliwa 30 Agosti 1977 na alifariki 27 Oktoba 2013. Luteni Rajab Ahmed Mlima alikuwa askari katika jeshi la wananchi JWTZ, alikuwa Komandoo katika kikosi...
18 Reactions
48 Replies
28K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…