Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kwa wana JF ambao wako kwenye miaka yao 50 kwenda juu, watakuwa wanamkumbuka Helena mwanamke habithi mke wa rais wa Romania aliyeuawa pamoja naye Nicolae Causescu. Huyu mama alipenda udaktari...
2 Reactions
4 Replies
333 Views
Ilikuwa tarehe 19 July mwaka 64AD. Moto mkubwa ulianza kuwaka karibu na mtaa uitwao Circus Maximus, katika jiji la Rumi. Kwa sababu jiji la Rumi kwa miaka hiyo lilikuwa limejengwa kwa vitu ambavyo...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
https://youtu.be/dQtHPdH0THc?si=ubm8AfL6bpvLrT5h
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Baada ya vita ya dunia mwaka 1919, Bara na Zanzibar pamoja na Kenya na Uganda zilikuwa chini ya himaya ya mwingereza ingawa kwa mikataba tofauti. Kuanzia hapo nchi hizo zilianza kutumia sarafu...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Wakuu leo nina swali Swali: nani anaweza kutupa historia ya pesa?
9 Reactions
112 Replies
11K Views
Soloist International Mbaraka Mwinshehe Mwaruka. 1970 aliporudi kutoka Expo akakuta maneno Dar es Salaam kuwa Morogoro Jazz imependelewa kuchaguliwa kwenda Osaka. Mbaraka akawaambia wenzake kuwa...
6 Reactions
21 Replies
10K Views
1. Usuli Jumamosi mujarab ya leo, Desemba 25, 2021, siku ya Krismasi, imetimia nusu karne toka "Mnyalukolo" SAID ABDALLAH SIULANGA MWAMWINDI (42) amtangulize Mbele ya Haki, Mh. Dk. WILBERT ANDREW...
55 Reactions
220 Replies
26K Views
PICHA YA ABDALLAH KASSIM HANGA AKIBARIZI MSASANI BEACH KWENYE NYUMBA YA OSCAR KAMBONA Hakuna kitabu kilichoeleza historia ya Hanga na Oscar Kambona kwa siku chache Hanga lipokuwa anakaa nyumbani...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Nami Josephat Keraryo Nyambeya. Kikundi cha Dola ya Kiislamu maarufu kwa jina la Islamic State of Iraq and Levant (ISIL), Islamic State of Iraq and Syria (ISIS), Islamic State (IS) pia hujulikana...
4 Reactions
14 Replies
8K Views
AMESEMA ALIYESEMA NITAWAFELISHA WANAFUNZI KWA HISTORIA ZANGU ZISIZO NA VYANZO VYA KUAMINIKA Lupweko said: Mzee utawafelisha watoto kwenye mitihani yao kwa historia zako ambazo hazina vyanzo vya...
3 Reactions
56 Replies
2K Views
Yuko ambae anaweza kuniambia kuwa kauli yangu peke yake ingetosha na angeniamini bila ya ushahidi wa picha?
14 Reactions
80 Replies
3K Views
Kijana mhadhiri wa historia katika moja ya vyuo vikuu kanifahamisha upinzani dhidi yake jinsi anavyosomesha historia. Nimemwandikia hayo hapo chini: WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION 1929 NA AL...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo...
11 Reactions
152 Replies
6K Views
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire. Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa...
30 Reactions
465 Replies
40K Views
HISTORIA FUPI YA KABILA LA WAMAKONDE Kama ulikua hujui chanzo Cha Wamakonde kuweka NDONYA na kuchanja CHALE wacha nikufahamishe;- Wamakonde ni kabila linalo patikana katika wilaya zote...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
BIBI TITI MOHAMED NA LUCY LAMECK Kushoto ni Bibi Titi Mohamed na kulia ni Lucy Lameck wakiwa China na Mao Tse Tung. Hii picha kaniletea dada yangu mmoja ambae aliona nimeweka picha ya safari ya...
6 Reactions
36 Replies
10K Views
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza...
9 Reactions
49 Replies
7K Views
Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza...
5 Reactions
68 Replies
2K Views
France-Albert René maarufu kama The Boss. Alikuwa Rais wa pili wa visiwa vya[nchi ya] Seychelles aliyehudumu katika uongozi wake toka mwaka 1977 mpaka 2004. Aliitwaa nafasi hiyo kupitia...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Nchi ya Rwanda inaadhimisha miaka 30 tangu kutokea kwa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi mwaka 1994. kumbukumbu inayofanyika Jijini Kigali na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka barani...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom