Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Hii ni bendera wakati tuko chini ya Wajerumani 1885-1919 Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919) Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961 Flag of Tanganyika (1919-1961) Hii ni...
4 Reactions
88 Replies
32K Views
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa. Wanawake...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
unaweza kuwa unajiuliza nini kilipelekea mpaka zaire ikaanguka ?, sababu wengi wanayoijua ni laurent kabila kusaidiwa na rwanda na uganda,lakini anguko la zaire lina mengi, kwa kuanza nitaelezea...
18 Reactions
46 Replies
9K Views
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh! Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika...
5 Reactions
34 Replies
6K Views
HOTUBA YA MWISHO ALIYOIANDIKA QADAFFI QADAFFI ANAANZA HIVI: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema.... Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki...
9 Reactions
57 Replies
11K Views
OMAR AL-MUKHTAR, SIMBA WA JANGWANI ANAYE TAZAMWA KAMA BABA WA TAIFA NA MWASISI WA TAIFA LA LIBYA, NI KIONGOZI ANAYE HESHIMIKA MNO ULIMWENGU WA KIARABU. Na. Comred Mbwana Allyamtu. Tuesday...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Shajara ya Mwana Mzizima MWAMVUA MRISHO: MWANAHARAKATI ALIYEKUWA ANASUBIRIA ‘U—FIRST LADY’ Na Alhaji Abdallah Tambaza JUMA lililopita, Shajara ilimwangazia aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu...
6 Reactions
6 Replies
4K Views
Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Utamaduni wa kutengeneza vitenge kutumia wax ulianzia Indonesia katika kisiwa cha Java. Vitenge vilitengenezwa kwa kutumia kitambaa cha batiki. Wax ya nyuki ilipochanganywa na rangi za nguo...
8 Reactions
18 Replies
7K Views
Bongo Hapo Zamani: NYERERE ALIPOONGOZA KIKAO KILICHOIUA TAA NA KUZAA TANU Kwenye kichumba kidogo kisichokuwa na hewa ya kutosha, Julius Nyerere alikaa kwenye kiti chenye meza. John Rupia alikaa...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
SHAJARA YA MWANA-MZIZIMA: Buriani Mwalimu Wetu Bi ‘Maalima’ Bahiya Na Alhaji Abdallah Tambaza JUMAMOSI ya Oktoba 19, mwaka huu, itabakia kuwa siku ya huzuni kubwa sana kwa umma wa Kiislamu wa...
11 Reactions
74 Replies
10K Views
LADY JUDITH LISTOWEL MWANDISHI WA ''THE MAKING OF TANGANYIKA'' (1965) KATIKA NYARAKA ZA SYKES Lady Judith Listowel, Ally Sykes amenieleza alikuwa msanii hodari huko Uingereza bingwa wa kucheza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
SIKU AISHA ''DAISY'' SYKES ALIPOFUATANA NA BABA YAKE MSASANI KWA MWALIMU NYERERE KUHUSU HISTORIA YA TANU 1968 Hakika wengi wangependa kama historia hii niliyoandika isingekuwa kweli na watu hawa...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Sahihisho picha ya akina mama walimsindikiza Mwalimu. Kulia ni Bi. Tatu bint Mzee na kushoto ni Bi. Chiku bint Said Kisusa Daisy Sykes akiwa msichana wa miaka 8 anamkumbuka marehemu baba yake...
7 Reactions
213 Replies
21K Views
Kuna vijana naamini wamehamasika kutafiti na kuandika upya historia ya uhuru wa Tanganyika na kwa kweli nawapongeza na nawatakia kila la kheri katika juhudi zao hizi. Nimesoma makala moja ya...
15 Reactions
75 Replies
11K Views
KUTOKA MAKTABA [emoji467] [emoji116] ⠀ ⠀ HAROLD HOLD ⠀ [emoji117]Mnamo mwaka 1967 nchini Australia ulifanyika msako mkubwa Sana Baada ya kupoteza kwa aliyekuwa Waziri Mkuu HAROLD HOLD. ⠀...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi wale wenzangu na mimi mnawakumbuka hawa? 1.Waziri wa Fedha Amiri Jamal 2.Waziri wa Afya Aaron Chiduo 3.Waziri wa Sheria Julie Marning 4.Waziri wa maji na nishati Al noor Kassum 5.Waziri wa...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Habari za jioni wana JF, Natumaini wote wazima humu, na moja kwa moja niende kwenye mada. UTANGULIZI Leo major alikuwa mwanajeshi wa Canada ambaye aliyepigana vita mbili kubwa na kuibuka...
13 Reactions
45 Replies
9K Views
Waungwana wasalaam? nakumbuka mwaka 2005 wakati wa uchaguzi mkuu viongozi wa ccm waliopo madarakani sasa walitumia maneno na majina ya ajabu kwa wagombe wenza hasa wa vyama vya upinzani mfano...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Asalam wakuu Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom