Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

TEAM YA AL FATAH ONLINE TV WALIOPOTEMBELEA MAKTABA KWA MAHOJIANO Sijawahi kufanya kipindi cha namna hii na kwa mtindo huu. Nilimwambia Rashid na wenzake Talib na Juma kuwa Maktaba ina mitaa na...
0 Reactions
4 Replies
261 Views
Wakristo na Waislamu waliomiliki watumwa kabla biashara ya utumwa haijakomeshwa walikuwa watu wema wa dini zao au waovu watakaochomwa moto? Kwa nini inaonekana watu wa hizi dini kubwa mbili...
1 Reactions
40 Replies
946 Views
https://youtu.be/ODb5a7s6j4s?t=5 Hazina kubwa kwa taifa
1 Reactions
5 Replies
334 Views
Historia ya Mkwawa na Uhehe. Mkwawa au kwa jina defu Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (19 Julai 1898) alikuwa chifu na kiongozi mkuu wa Wahehe katika Tanzania wakati wa upanuzi wa ukoloni wa...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Akiwa na umri wa miaka kumi tu tayari alikuwa ameshauwa watu watatu na cha kushangaza zaidi mmoja kati ya hao waanga mmoja alikua ni dada yake wa tumbo moja. NI NANI HUYO. Kwa majina anafahamika...
4 Reactions
14 Replies
885 Views
habari. Jukwaa hili ni kwaajili ya kukumbushana maisha ya zamani, zana zilizotumika zamani michezo na masomo ya zamani na mengineyo yote ili vizazi vijavyo viweze kujifunza. Karibuni nyote.
0 Reactions
5 Replies
255 Views
Lucy Lameck amezaliwa huko mkoani Kilimanjaro mnamo mwaka 1934, alikuwa Mwanamke msomi ndani ya TANU, aliyehimu Vyuo Vikuu vya Oxford Nchini Uingereza na Michigan, Marekani Alikuwa mwanamke wa...
9 Reactions
18 Replies
6K Views
PITIO LA KITABU: BARAZA YA MAJESTIC NA MACHINJIONI KWA BAMKWE Hiki ni kitabu cha nne ambacho nimekifanyia patio katika vitabu ambavyo vinaeleza mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka wa 1964. Kitabu cha...
1 Reactions
2 Replies
943 Views
SMAIL BAYUMI MUASISI WA TANU CLUB MOMBASA 1950s Nimemjua Ismail Bayumi Moshi mimi nikiwa mtoto mdogo wa darasa la pili au la tatu miaka ya mwanzoni 1960s. Naukumbuka utanashati wake na gari yake...
0 Reactions
4 Replies
311 Views
Nilikuwa nasoma kitabu Desturi za Wachagga, by S. J. Ntiro, 1953. Jisomee mwenyewe. MLANGO WA 5 ASILI YA WACHAGGA Wachagga ni kabila lenye mchanganyiko wa makabila mengi sana. Makabila haya...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Malcom x alikua anatuchanganya sisi wabantu.Haiwezekani unatuambia tuachane na tamaduni za kizungu na tuache dini za kizungu na taratibu za maisha ya kizungu. Afu wakati huo huo unatushauri...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kitabu hiki kilichapwa mara ya kwanza mwaka 1930. HABARI ZA NCHI ZILIZO MAGHARIBI Somo 1-Wahima KATIKA sura ya kwanza tulisoma ya kuwa sisi Wabantu si watu wa asili wa nchi tunazokaa sasa maana...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Jina Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya au Mkushi sio jina maarufu kama walivyo wanasiasa, wanamichezo na wasanii. Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya a.k.a Mkushi, yeye ndio muasisi wa makundi...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Marehemu Major Gen. Muhiddin Kimario, mmoja ya mawaziri wawili tu wa Mambo ya Ndani katika historia ya Tanzania kuwahi kudumu katika nafasi hiyo kwa zaidi ya miaka 5. Alitumwa na Mwl Nyerere...
15 Reactions
166 Replies
38K Views
https://youtu.be/0cACJY499yk?si=DMgOElEwBVKKPc2w
1 Reactions
2 Replies
210 Views
Anaitwa Mohamed Iqbal Dar ni mtanzania anayeishi wingereza Mzee Mohamed Said shikamoo tunaomba mchango wako kwa hili
2 Reactions
18 Replies
584 Views
Asema katika Vita ya Kegara udhibiti wa mawasiliano na taarifa ulikuwa wa kiwango cha Raia Mwema: Hali ilikuwaje kule eneo la mapambano wakati wa vita ya Kagera? Jenerali Kikwelu: Kazi ilikuwa...
12 Reactions
45 Replies
19K Views
Hapo zamani za kale, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani na ndege wengine. Hakuna kati yao aliyeweza kupaa. Kuna siku njaa ilitokea. Ikamlazimu Tai kutembea umbali mrefu kutafuta...
2 Reactions
4 Replies
230 Views
#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA KABURI LA WAPENDANAO LILILOPO KATIKA JIJI KONGWE LA TANGA AMBALO LINASEMWA KUWA NDIO KITOVU CHA MAPENZI Jijini Tanga, katika kata ya Usagara karibu na uwanja wa hockey...
0 Reactions
1 Replies
310 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…