Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

WAMANYEMA WA DAR ES SALAAM KATIKA TANU NA SIASA ZA KUDAI UHURU Iddi Faiz Mafongo TANU Card No. 24 Iddi Tosiri TANU Card No. 25 Ndugu Wawili Katika Kupigania Uhuru wa Tanganyika, 1954 Wamanyema...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha channel Ten ambacho huwa kinazungumzia maswala ya utalii lakini leo walijikita kuzungumzia historia ya jiji la Dar es salaam.Wakati niko shule mojawapo ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waliokaa kwenye viti mbele wa kwanza Dossa Aziz na nyuma yake wa kwanza aliyesimama ni Abbas Sykes na mbele waliokaa kwenye viti wa tano kutoka kulia ni Julius Nyerere ndani ya picha moja. Jicho...
10 Reactions
15 Replies
4K Views
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe. Sababu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Jerry Rawling ni Rais wa Ghana ambaye ukiacha kwamme Nkuruma yeye anafuwata pamoja na kwamba Ghana imetawaliwa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MACHOZI YA ABBAS SYKES (1929 - ) SEHEMU YA NNE: RAMADHANI MASHADO PLANTAN NA DOSSA AZIZ Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini si CCM wala si rafiki yake mpenzi Julius Nyerere alikuwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwanza kabisa salam Wakuu Siku kama ya leo 9 September 1990 aliyekua Kiongozi wa Liberia Samuel doe alisulubiwa na kuuawa kikatili .. Ni moja ya Dikteta ambaye alikua Mkabila, akijificha kwenye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
HUYU NDIYO ALLY SYKES MZEE WA FITINA. Na.Ramadhan Makero UHURU wa Tanganyika haukuwa kazi rahisi kupatikana kama ambavyo wengi wanadhania. Ili kuwa ni shughuli pevu iliyohitaji kujitoa kwa hali...
15 Reactions
87 Replies
7K Views
Neno shule limetokana na Schule neno la Kijerumani. Ni sawa na hela limetokana na neno heller
7 Reactions
25 Replies
4K Views
A bus stop for the colored and on the bus your position was at the back.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HOSPITALI YA SOKOINE MKOANI LINDI MADUDU MATUPU Hospitali ya sokoine ndio hospitali ya mkoa wa lindi Inasikitisha sana unskilled worker ambae si daktari alimfunga POP ndugu yangu siku...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hifadhi ya Ngorongoro kwa Kiingereza: "Ngorongoro Conservation Area" ni hifadhi ya taifa kaskazini mwa Tanzania inayojulikana kote duniani, hasa baada ya kuorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mohamed Said November 30, 2017 0 historia
7 Reactions
76 Replies
9K Views
UKUMBI WA ARNAUTOGLO SAFARI NDEFU YA MWALIMU NYERERE ILIPOANZIA George Arnautoglo alikuwa Mgiriki tajiri na ndiye aliyejenga jumba hilo akalitoa kwa matumizi ya Waafrika wa Tanganyika. George...
8 Reactions
74 Replies
11K Views
Naomba kwa anaejua kuhusu utawala wa ottoman anifahamishe napenda sana kujua tawala za huko kipindi cha nyuma
0 Reactions
5 Replies
3K Views
http://knowthyself11.blogspot.com/2012/02/black-history-month-benjamin-banneker.html?m=1 Benjamin Banneker alizaliwa November 9, 1731mjini Baltimore Maryland. Baba yake Benjamin alikuwa...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
MFAHAMU ZUBER NYEPESI KABWERA. Zuber alishtumiwa sana kuhakikisha mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Musoma vijijini 2010 kutogombea ili mzee Mkono apite bila kupingwa. Zuber alifanya juu chini...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukilitaja jina la Magufuli, mabepari wanachanganyikiwa, wapiga dili Wanamakerazembe wanahaha, vigogo wababaishaji presha juu, wafanyakazi ndo usiseme, siku hizi hata walimu wa shule za msingi...
5 Reactions
59 Replies
9K Views
Back
Top Bottom