Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Nilichokisema na ninachoendelea kukisema mpaka sasa ni kuwa, huruma yetu ya machoni au machozi yetu tunayoyaonyesha hayawezi kubadili uamuzi wa mahakama, kama tunadhani hilo linawezekana basi ni...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Mababu weusi wa kale huko misri walikuwa wanaamini kuwa Maisha na watu walikuwa na mwanzo, kivipi!!? Elimu ya mababu hao inasema hapo mwanzo kulikuwa na maji yaliyokuwa yamejaa Dunia Nzima...
6 Reactions
81 Replies
22K Views
Nakusalimu maalim Mohamed Said Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Anaitwa Mfalme Henry VIII Alimuona mwanamke mrembo anayeitwa Catherine wa Wales. Ni mwanamke aliyempenda ila tatizo lilikuja pale ambapo mwanamke huyo kila alipokuwa akipata mimba, alizaa watoto...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Afrika ilipoteza wana mapambano wawili kwa mpigo, Afrika imeshudia kumpoteza Kofi Annan Katibu Mkuu wa kwanza mweusi kutoka Afrika hii ni pigo kwa wana mapambano wa haki duniani. Lakini mapema...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kinjeketile Ngwale 2. Mkwawa Munyigumba 3. David Musuguri 4. Chief Chabruma 5. Robert Mboma 6. ...
3 Reactions
132 Replies
25K Views
Wengi wetu tumekulia Dar es Salaam na tumeuona unazi wa Simba na Yanga ulivyokuwa. Nakumbuka siku kama ya leo ambayo sasa tunaita Dar es Salaam Derby ukipenda Kariakoo Derby ilivyokuwa...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Historia ya Afrika ni historia[1] ya bara hilo lililo asili ya binadamu wote. Kwa ujumla, historia ni kumbukumbu ya maisha ya mwanadamu duniani, hasa ile tarehe iliyosajiliwa na kuhifadhiwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
PART 2 : tulipoishia.... Jina “WAYAHUDI” lilitumiwa kwa mara ya kwanza na Mordekai ndani ya Biblia katika kitabu cha Esther kuwatambulisha watu wa kabila la Yuda waliokuwa uhamishoni kwenye nchi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Montaza Palace, Alexandria June 1988 Ndugu zangu nilikuwa napita Maktaba Idara ya Picha. Nia yangu ni kuandika kitu kidogo kuhusu mji wa Alexandria. Katika pekua pekua nikakuta picha hiyo...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Wadau wote wa humu na wale ambao wamebarikiwa kuwa na ujuzi wa masuala mbalimbali hasa kwenye mambo ya imani n.k ningependa kufahamu na si mimi peke yangu hata wengine pia wangependa kujua je, ni...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Written by Mohamed Said; [/B][/COLOR]Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle What is saddening about the history of Tanganyika’s struggle for independence is the fact that, more than four...
9 Reactions
2K Replies
168K Views
Wanaukumbi, Imekuwaje leo Uislam wa Zanzibar unakuwa neno miaka 50 baada ya muungano? Kuna kitu hapa hakisemwi kwa kuwa kinatisha. Dunia nzima hivi sasa Uislam unakuja juu na huu ni ukweli...
25 Reactions
599 Replies
64K Views
PART 1 : JEWISH DIASPORA Ni matumaini yangu mwana JF mwenzangu kuwa u mzima wa afya. Nataka nikuletee kwa ufupi hii mada inayosumbua ulimwengu wa leo Kwanza tutaanzia mwanzo kbs kwenye zama za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu hii clip ya Rais Magufuli akinywa madafu Odeon Cinema imenikumbusha mbali sana. Kwanza imenikumbusha jengo la senema yenyewe ambayo sisi tumezaliwa tumeikuta na umaarufu wake kwa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Abdulkarim Karimjee (kushoto) akiwa na afisa raia wa uimgereza UKUMBI wa bunge uliokuwa unatumika jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Dodoma unaitwa Karimjee Hall. Kwa kifupi, majina hayo...
9 Reactions
16 Replies
7K Views
NA Sanamu ya Dr. David Livingstone Hii picha ya kuchora hapo ni Ujiji inaonyesha Dr. David Livingstone alipokutana na Henry Morton Stanley tarehe 10 November, 1871. Karibu ya Glasgow kuna...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Wao wanazungumza Maa, mojawapo ya familia ya lugha za Kinilo-Sahara inayohusiana na Kidinka na Kinuer. Kwa sababu ya uhamiaji, Wamasai ni wazungumzaji wa Kiniloti wa Kusini zaidi. Pia wameelimika...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Aliteuliwa na Ibn Malik kuwa Mtawala mwaka 694H kutoka ktka familia ya Ban Umayda. Huyu alikuwa ni mtawala wa eneo la Iraq na Iran hususani katika miji ya Kuffah, Sham na Basra. Maajabu ya huyu...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wanabodi, Kwanza naomba nianze kwa kumuombea rais wetu umri mrefu na nguvu za kuweza kuchapa kazi bila kuyumbishwa na vibaraka wa mabeberu bila kusikiliza kauli za wanaotaka kutuingiza...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…