Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Hawa ni Wanandoa ambao waliishi katika himaya ya Ottoman huko Uturuki katika miaka ya 1500 Rustem Pasha alifariki akiwa na miaka 61 na Mihrma Sultan mtoto wa Sultan The magnificent alifariki...
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Unajua Kwanini Wachagga Hawali Muhogo? Na Mwandishi Wetu WACHAGGA ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi au kaskazini mwa Tanzania kandokando ya Mlima Kilimanjaro, huku mkoa wao...
5 Reactions
42 Replies
16K Views
Ali Mahfoudh na Samora Machel baada ya ukombozi wa Msumbiji Ali Mahfoudh, Samora Machel na Julius Nyerere wakati wa mapambano ya kuiomboa Msumbiji, Mahfoudh anampa Nyerere taarifa za vita...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Ukisikia jina la Ernesto che guevera… kama wewe ni mhenga , msomi mzuri wa historia au mtu ambaye anapenda kujipatika elumu katika mambo mbalimbali hasa ya kisiasa akili yako haraka sana...
7 Reactions
46 Replies
10K Views
Nimefuatilia baadhi ya hotuba za rais Magufuli, Hotuba hizo zipo "vague" na zimekosa coherent na mvuto kwa wananchi wengi isipokuwa kwa wachache walio makada wa CCM wanaojilazimisha kufurahia...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwl J.K Nyerere, muasisi wa taifa hili na amani tuliyonayo hadi leo hii. Japo alichemka kidogo kwenye siasa ya ujamaa na kujitegenea lakini alikuwa analitakia mema taifa hili. Hakukuwa na ufisadi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya vita ya pili ya dunia Uingereza ilipata upungufu mkubwa sana wa mafuta ya kupikia hivyo wakafanya mpango wa kulima karanga ili kutengeneza mafuta. Hapo ndiyo ikazaliwa Tanganyika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimetafakari sana kuhusu suala hilo. Wajuvi wa historia mnijuze hasa sarafu iliyotumiwa na ndugu zetu wazanzibar kabla ya Muungano na Tanganyika
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kati ya miji tajika katika pwani, Malindi ni moja wapo wa miji yenye historia kubwa baada ya miji kama Zanzibar na Mombasa. Inakisiwa kuuanzishwa karne ya kumi na tatu, ikiwa katika dola ya...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
VITA Kuu ya Kwanza ya Dunia (WWI), ilianzia na kuhusisha mataifa ya Ulaya lakini ikasambaa ulimwenguni kote. Vita hii ilianza Julai 28, 1914 na kufikia tamati Novemba 11, 1918. Tangu kuanza kwa...
7 Reactions
45 Replies
24K Views
Kila nikiwaona watu wa dini wananikumbusha namna ukoloni ulivyofika Afrika ikiwemo Tanzania. Hawa ni watu ambao walikuja Kwanza kabla ya wakoloni (wanyonyaji) kufika na kuua machifu wetu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Marie Aude mama wa Kifaransa Mkurugenzi wa French- Institute for Research in Africa (IFRA) Nairobi alinialika mkutano Nairobi na ‘’theme’’ ya mkutano ule ilikuwa miaka 50 ya kuwakumbuka mashujaa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
SAMWELI DANIEL SHAFIIHUNA NUJONA- "SAM NUJONA" Barabara na mitaa mingi nchuni hasa Dar-es-Salam "zimebatizwa"majina ya watu mashuhuri nyakati za ukombozi wa kupigania uhuru wa Afrika mfano Bibi...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Na huko upande wa kaskazini wa Koloni la Wajerumani la Afrika ya Mashariki, Wachagga nao, chini ya Mangi (Mteni) Meli wa Moshi, walikataa katakata kutawaliwa na Wajerumani. Katika jitihada za...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
SIKU BABU YANGU SALUM ABDALLAH ALIPOMKABILI FREDERICK MCHAURU KATIKA MGOMO WA WAFANYAKAZI WA TANGANYIKA RAILWAYS TABORA 1947 Frederick Mchauru Ndani ya gazeti la Raia Mwema (Januari 3-9, 2018)...
4 Reactions
6 Replies
4K Views
Na Alastair Leithead Mto Congo ni mmojawapo wa mito mirefu zaidi duniani. Mto huu urefu wake ni 4,700km (maili 2,920) kutoka ndani kwenye kitovu cha bara Afrika hadi Bahari ya...
6 Reactions
21 Replies
7K Views
Kushoto Netanyahu na David Kimche Nimeikuta picha hiyo hapo juu katika group moja na chini yake huyo aliyeiweka akaandika maneno haya: ‘’ Duh! Watu muhimu sana hawa katika historia ya Zanzibar!’’...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanahistoria naomba mnijuze. Vyanzo mbalimbali vinaonyesha wangoni waliingia kwa kuchelewa sana vita ikikaribia kuisha na wakajitoa fasta baada ya kugundua maji ni uongo. Inaonekana centre ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Barabara inayotoka Mwenge kuanzia kwenye makutano ya barabara ya Bagamoyo inaitwa bara bara ya Sam Nujoma (Sam Nujoma road). Hili ni jina lililotOlewa kuenzi harakati za mpigania...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kupata ufafanuzi wakati wanagawana bara la Afrika nani alipewa Tanganyika, na Muingereza alipewa kututawala ama kutusimamia mpaka tukipata uwezo wa kujisimamia wenyewe ama? Nashindwa...
1 Reactions
23 Replies
10K Views
Back
Top Bottom