Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Nimefikiria mbali wakati nimetulia zangu kitandani,miaka hiyo kwenye 90 kulikuwa na vitu vingi vya burudani mashuleni Mara anakuja jamaa anaendesha baiskeli juu ya paa na kamba,mara anabadili vitu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama una muda unaweza kuona jinsi wajerumani walivyopigana na waingereza hapa Afrika ya Mashariki wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia. Waingereza walijaribu kuingia Tanga ili wafike Dsm chap...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kisiwa cha Toten ni kisiwa kimojawapo cha Tanzania ambacho kinapatikana katika hori ya Tanga kwenye mwambao wa Bahari ya Hindi. Jina latokana katika Kijerumani "Toteninsel" na kumaanisha "Kisiwa...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwandishi katika video hii anaanza kuzungumza katika dakika ya 40:40 Hii ni simulizi ya mkasa wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ilipodhaniwa kalishwa chakula kilichotiwa sumu kwa nia ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Hamed bin Mohammed el Murjebi (1837 – 14 Juni 1905) Alijulikana zaidi kwa jina la Tippu Tip. Alikuwa mfanyabiashara mashuhuri katika Afrika ya Mashariki na Kati wakati wa karne ya 19. HISTORIA...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Fela Olusegun Oludotun Ransome-Kuti alizaliwa 15-10-1938 katika mji wa Abeokuta, Mkoa wa Ogun, Nigeria. Fela alizaliwa katika famila ya kipato cha kawaida, mama yake Funmilayo Ronsome-Kuti...
11 Reactions
26 Replies
10K Views
Tanganyika ni jina la kihistoria Kwa sababu za kisiasa, mara nyingi huitwa "Tanzania bara" ingawa ina visiwa pia, hasa Mafia na Kilwa. Tanganyika ilikuwa eneo lindwa la Uingereza kuanzia 1919 na...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
1. Ras Tafari Makonnen was crowned Haile Selassie the first (might of the holy trinity), king of kings, lord of lords, conquering lion of the tribe of Judah, elect of god, on November 2nd 1930 at...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Wagweno ni kabila la watu wenye asili ya Kenya wanaoishi Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro, upande wa Kaskazini wa Milima ya Ugweno. Lugha yao ni Kigweno. ASILI Kiasili Wagweno ni katika...
3 Reactions
22 Replies
16K Views
Kiukweli hakun alikuw pasi na kuwahi kutazam filamu za watoto(cartoon) haswa zile za DISNEY je wajua historia ya huyu jamaa??? Twende pamoja [emoji116][emoji116][emoji116] han tan yun #world_of_han
1 Reactions
5 Replies
853 Views
In Tanzania, Especially at times like this people are wondering which which. Let me start with some hints on moderates and the silent.Silent people,people who keep their opinions to themselves or...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
In Tanzania, Especially at times like this people are wondering which which. Let me start with some hints on moderates and the silent.Silent people,people who keep their opinions to themselves or...
0 Reactions
0 Replies
468 Views
In Tanzania, Especially at times like this people are wondering which which. Let me start with some hints on moderates and the silent.Silent people,people who keep their opinions to themselves or...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Ni mwezi maalum kwa ajili ya kukumbuka watu na matukio muhimu katika historia ya mtu mweusi. Sherehe hizi husheherekewa nchini Amerika, Canada kwenye mwezi wa Februari, na nchini Uingereza au...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
The Tanzania Peoples' Defence Force (TPDF) (swahili: Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) was created in September 1964. From its inception, it was ingrained in the troops that they were a...
1 Reactions
18 Replies
29K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Nilivyoandika jana kuna watu wanaona sikusema kwa ukali sana. Wapo wanaosema naogopa kumnyoshea kidole Rais Magufuli kwa sababu nilimuunga mkono kugombea kwake kuelekea...
11 Reactions
43 Replies
3K Views
Kama kuna mtu yeyote aliyewahi kuishi MERERANI Simanjiro maeneo ya Kilimahewa na Kazamoyo miaka ya 2002-2003 tu-share experience jamani!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeiona hii video you tube ingawa haijanipa picha ya uelewa mpana ya kilichotokea lakini si vibaya kuileta hapa ili wachambuzi na waliokuwepo watiririke zaidi
1 Reactions
3 Replies
2K Views
UKWELI: AKINA BIBI TITI HAWAKUZUKA KATIKA UONGOZI TANU—II Na Alhaji Abdallah Tambaza KATIKA safu hii Jumatatu iliyopita tulimwangalia mwanasiasa mashuhuri wa kike hapa nchini na Afrika Mashariki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom