Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Nianze kwa semi hizi za wahenga, Heri nusu shari kuliko shari kamili" Funika kombe mwanaharamu apite Majuto ni mjukuu .Siri ya mtungi aijuaye kata. Kama kuna unayoijua tupia hapa tuwakumbuke...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
KATIKA mwezi wa Machi hali ya hewa jijini Accra, Ghana, huwa inaudhi bila ya kiasi kwa joto linavyokuwa kali. Jioni ndipo huzidi kushtadi. Nadra mvua kunyesha. Siku moja Machi 1958, saa za...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Dr. Christopher Cyrilo Utamaduni wa kuweka picha ya mtu kwenye pesa za noti au sarafu umekuwapo tangu kale. Historia inaonesha kuwa mtawala wa zamani wa dola la Rumi, aliyekuwa pia jemedari...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa. Kwanza tuangalie nini au chanzo cha neno Safwa. NENO "SAFWA"...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Taarifa: Dar/Iringa. Madiwani wawili wa Chadema katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamejiuzulu nyadhifa zao na kuhamia CCM. Wakati diwani wa Ruaha, Tandesy Sanga akitangaza uamuzi huo leo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Alexander Alexandrovich Prokhorenko ni kijana mdogo aliyekuwa Komandoo katika Kikosi cha Kazi Maalum cha Jeshi la Urusi kiitwacho SPETSNAZ akiwa na cheo cha Luteni Mwandamizi (Senior Lieutenant)...
2 Reactions
12 Replies
8K Views
. Kwa anaejua background ya huyu mbunge wa Kiteto naomba anijuze tafadhali, kuhusu taaluma, kazi, na eneo la kuzaliwa kwake "Emmanuel Papian John" Nitashukuru kwa mchango wenu.
0 Reactions
31 Replies
10K Views
IDI AMIN He killed as many as half a million people during his eight-year Ugandan dictatorship. Is it possible to distinguish the man from the monster? Idi Amin Dada was born on 16 May 1925 in...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
SIASA ZA UJERUMANI (ADOLF HITLER NA WANAZI) Jina la Hitler limepata umaarufu mkubwa sana ulimwenguni kuliko majina ya madikteta wote waliopata kutokea ulimwenguni! Huyu alikuwa na uwezo wa juu...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Zanzibar kuna wenyeji wengi hasa Kaskazini Unguja, Tanga, angani, Mombasa nk. hujinasibu kuwa wao ni washirazi.Kuna wakati kule mombasa walikuwa wanaitwa wageni na wengi ilibidi wajichanganye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Yameongewa mengi sana khs kuishambuliwa kwa Tundu Lisu na wengi wao wameelekeza lawama zao upande mmoja tu, yaani kwamba Tundu Lisu ni ,,innocent“ na watu walitaka kumdhuru! Lkn wote wanaohukunu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Vifuvu katika Shule ya Kiufundi ya Murambi, nchini Rwanda Mauaji ya Kimbari ya Rwanda yalikuwa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mnamo mwaka wa 1994 ambapo Watutsi , Watwa na baadhi ya watu wa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kwanini kuna miezi kumi na mbili katika mwaka?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Wananchi bado wanaridhika na sisi kwa hiyo njia pekee watakayofanya labda watumie mabavu na kwa kutumia mabavu CCM Mbeya wanajua, Kikwete anajua, Magufuli anajua kwamba kwa mabavu kwa Mbeya uwezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MABILIONI ya shilingi ya umma yamechotwa kutoka hazina ya taifa kinyemela na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Hamisi Mguta. Taarifa kutoka wizara ya fedha, Ikulu na ofisi kuu...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Mood naomba unipeleke kwenye jukwaa husika lkn usiutoe ili to jadili kabla hatujaufunga mwaka 2017 Humu leta tukio la aina yoyote ile iliyotikisa jamii ya kitanzania na kama itakuwa ya nje basi...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Mwalimu Mathew Douglas Ramadhani (1915-1961). Alizaliwa Zanzibar Septemba 1915. Mwalimu Mathew alikuwa Mtanganyika wa kwanza kuhitimu elimu ya chuo kikuu Uingereza, afisa elimu na mkuu wa shule...
8 Reactions
12 Replies
4K Views
Historia ya Krismasi Wakati wa zama za kale, siku ya mwisho ya majira ya baridi huko sehemu za Kusini kulisherehekewa mfano wa usiku ambao mungu wa Mama Watakatifu alijifungua mtoto akijulikana...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
SHEIKH PONDA ISSA KASHINDA RUFAA Mohamed Said December 18, 2017 0 ''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa. Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Huyu Askofu aliuawa na Idd Amin kwa kumkosoa na kupinga mateso aliyokuwa akiwapa waganda. Alifia mikononi mwa Id Amin kwa kum shoot mwenyewe. Calm before the storm. Archbishop Luwum (left)...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom