Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Habari za weekend wanajamvi. Kunako miaka ya 1990s kulikuwa na gazeti pendwa lililokuwa likijihusisha na masuala ya sayansi na saikolojia ya binadamu likifahamika kwa jina la JITAMBUE. Hili...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Wakuu naombeni msaada wa wagunduzi waliogundua kusoma saa kwa maana ya kuanza kuhesabu masaa, siku, miezi na mwaka.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
> Mojawapo ya tamaduni ninayochukia katika kabila letu la wamasai ni kulazimishwa kuoa au kuolewa na mtu usiyempenda. Kwa imani zao potofu wanaamini kuwa mkipendana kabla ya ndoa, mkioana...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mohamed Said: MAHOJIANO SWAHIBA FM - MIAKA 55 YA UHURU WA TANGANYIKA WASHIRIKI ENZI TALIB NA MOHAMED SAID WAKIHOJIWA NA SULEIMAN SHABAN
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Hope the Photographer saved his/her life ----------------- Picha hii ilipigwa mwaka 1994 huko nchin Sudan. Alikuwa mtoto mdogo asiye jiweza baada ya kukukosa lishe bora. Alikuwa akijikokota...
2 Reactions
236 Replies
59K Views
Wadau mm naomba kuuliza hivi haya mashindano ya cecafa kwann tusitumie tanganyika na zanzibar kwa maana Tanzania ni nchi ya muungano au wenzetu tanganyika hawana nchi
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Prof. Lipumba akizungumza katika mkutano wa kampeni ya urais Same Uchaguzi Mkuu 1995 Picha hiyo hapo juu ni Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, msomi wa Chuo Kikuu Cha Stanford Marekani, akihutubia...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Kulia Abdulwahid Sykes na mdogo wake Ally Sykes wakiwa katika kikosi cha Burma Infantry 1942 Utangulizi Leo ni siku ya kumbukumbu ya walipoteza maisha yao katika Vita Kuu mbili za Dunia...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
UHURU DAY: TUWAKUMBUKE MASHUJAA WA UHURU WA TANGANYIKA Mohamed Said December 08, 2017 0 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999) MASHUJAA WALIONYANYUA SILAHA Bushiri Bin...
5 Reactions
21 Replies
12K Views
Kwanza kabisa nitanguize pongezi kwa Watanzania kwa kuadhimisha miaka 56 ya Uhuru.Ni jambo la kujivunia kwa Watanzania ,kwani katika kipini hiki nchi yetu imekuwa na amani,ushirikiano na maendeleo...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
I salute those who actively participated in stopping slave trade in the later years of the nineteenth century. They made us proud. But a simple question is this: Where did money and wealth...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Pitia video hii hapa chini upate ufahamu: -
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Buriani ‘Kaka Kleist’ Na Alhaji Abdallah Tambaza Mwandishi wa makala Abdallah Tambaza ni huyo wa kwanza kushoto, Bubby Bokhari, Kleist Sykes, Yusuf Zialror, Mohamed Said, waliochutama kushoto...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Utangulizi Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema. Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu nilikutana Taarifa kumbe miaka ya nyuma Mji wa manzese ulikuwa unaitwa SOWETO. KWA WALE WENYE KUMBUKUMBU HEBU MTUAMBIE ILIKUWA HUU MJI ULIKUWA UNAITWA SOWETO BADAE SERIKALI...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
TAAZIA: BURIANI NDUGU NA RAFIKI YANGU MPENZI MUUNGWANA KLEIST… (27 June, 1950 – 24 November, 2017) Usiku wa Jumanne tarehe 23 nimeona katika ukurasa wa FB wa kaka kaka yangu Prof. Charles Mgone...
23 Reactions
41 Replies
7K Views
Hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia sana yanayotokea huko Africa ya Kazikazini. Watu weusi hasa weusi kutoka kusini mwa jangwa la sahara wamekuwa wakiuzwa kama nyugu bila kujali ubinadamu wao..nn...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ulisema:".....African's can not rule themseleves.Give them guns and they will kill each other.They are good in nothing else but makingi noise, dancing,marrying many wives and indulging in...
11 Reactions
56 Replies
6K Views
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama Kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara...
6 Reactions
54 Replies
11K Views
  • Closed
Watu wengi Sana wanamfahamu Adolph Hitler kadri vyombo habari mashuhuri vinavyo mbainisha...., Kwa kifupi Adolph Hitler ndiye mtu anayechukiwa kuliko wote Duniani. Katika utafiti wangu wengi wa...
7 Reactions
280 Replies
23K Views
Back
Top Bottom