Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Utangulizi Barua hiyo hapo chini kutoka Ikulu inasema kuwa uhusiano wa Zambia na Tanzania ulianzishwa na Baba wa Taifa. Ningependa kwa faida ya historia ya taifa letu lau kwa mukthasari...
2 Reactions
20 Replies
8K Views
1.Ntwadumela ni neno la kisavuti lenye maana ya "He who greets with fire".Katika msitu wa savuti uliojaa miti,wanyama na mto ukikaribia kufika utakutana na kibao kilichoandikwa " He who greets...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mohamed Said: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere -Azam TV
1 Reactions
3 Replies
3K Views
WAHADZABE au WATINDIGA Ni kabila ambalo kwa kiasi fulani bado wanaishi maisha yale ya ujima . Wao bado wanategemea asali , matunda , mizizi na nyama kama chakula kikuu . Bado wanaishi mapangoni...
3 Reactions
5 Replies
9K Views
Katika kuelekea siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl J.K.NYERERE nimeandaa historia fupi ya maisha ya Mwalimu!Tafadhali sikiliza sehemu hii ya kwanza,usisite kutoa maoni na ushauri pia...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
JONAS MALHEIRO SAVIMBI, MWANAHARAKATI ALIYEBADILIKA KUTOKA MSOMI NA MWANAMAPINDUZI MPAKA KIBARAKA NA KIBAKA KWA WATU WAKE WA ANGOLA. Na, Comred Mbwana Allyamtu. Sunday - 01/10/2017. JONAS...
1 Reactions
5 Replies
9K Views
Katika kusimulia historia ya Tanzania huwezi kuacha kusimulia historia ya vita vya Maji Maji ambavyo vilipata kutokea miaka ya 1900-1910. Vita hivi vilikuwa vinahusisha Watanganyika (watanzania)...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
na Sabina Chrispine Nabigambo Nchi ya Nigeria inaadhimisha miaka ya 57 ya uhuru wake,tangu kumalizika kwa utawala wa kikoloni mwaka 1960 Akihutubia taifa hilo hapo Jana Rais Mohammadu Buhari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HISTORIA YA TOM MBOYA WA KENYA (1930-1969). Moja ya matukio ya awali kabisa katika historia ya Afrika huru lilimpata aliyekuwa Waziri wa Mipango, Uchumi na Maendeleo wa Kenya Tom Mboya...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
WAGOGO Wagogo (mmojawao anaitwa Mgogo) ni kabila kubwa la Tanzania ya kati, wenyeji wa mikoa ya Dodoma na Singida . Wanakadiriwa kuwa zaidi ya 1,500,000. Lugha yao ni Cigogo (kwa Kiswahili...
11 Reactions
42 Replies
20K Views
Mohamed Said Asaria nakuwekea hii ili uone jinsi nilivyokutana na Dr. Mwanjisi katika Nyaraza za Sykes na In Shaa Allah nitakwenda hivi kwa wazalendo wengine ambao si wengi wanajua michango yao...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
The Anglo-Zanzibar war, ilikuwa vita kati ya Zanzibar na Uingereza iliyotokea Ijumaa ya tarehe 27 August 1896.Hii ndio vita iliyodumu kwa muda mfupi zaidi hapa duniani, vita ilidumu kwa muda wa...
2 Reactions
10 Replies
8K Views
Mathew Fontaine Maury kwa wale waliosoma mambo ya history of marine Navigation Mnaweza mkawa mlimsoma , kwani ndiye Mtu wa kwanza akugundua " path of the sea current " yaani Mikondo ya bahari...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama ulikuwepo enzi hii pesa inatumika. Je iliweza nunua nini?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hivi kuna tofauti kati ya wabarbeig na Wamang'ati?
0 Reactions
9 Replies
12K Views
Kuna kila dalili zinazonionyesha kwamba Mabadiliko ya kweli kamwe hayawezi kutokea ndani ya CCM, hata kama wangelishuka kutoka mbinguni akina Dr. Magufuli milioni moja wakasaidiana kuliongoza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo wakati naangalia tukio la kurudi ccm wanachama-madiwani wa chadema nikapata swali la kujiuliza... hivi wachaga na waarusha wamewahi kutoa watemi au machifu wenye nguvu? Nawaona wadhaifu sana...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hakuna...hakuna...hakuna mwarabu mwenye kujifaharisha kwa majina Yetu. Mwarabu wa kuitwa Masanja, Chacha,Masawe au Mwakitabu hayupo. Hata wale waarabu ndugu zetu wa Puge kule Nzega, au wale...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
IJUE HISTORIA YA "Vladimir Ilyich Lenin" MWASISI NA BABA WA TAIFA WA DOLA LA USSR. •Makala hii ni sehemu ya maombi ya wadau wa Facebook. First Edition. NA Comred Mbwana Allyamtu kwa ushilikiano...
4 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom