Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Nadharia nyingi za kisayansi zimejengwa katika misingi ya wanasayansi wa Kigiriki(Uyunani ya kale) Sasa mbona Ugiriki ya sasa haiwiki kama ya zamani?(wakumbukeni akina PLATO na ARISTOTLE)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Julius Kambarage Nyerere (April 13, 1922 - October 14, 1999) was President of Tanzania (previously Tanganyika), from the country's founding in 1964, until his retirement in 1985. Born in...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msikikilize Mohamed Said akimzungumza Mwalimu Nyerere katika Azam TV kuhusu harakati za TANU 1954 hadi kupatikana kwa uhuru mwaka wa 1961: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere -Azam TV | Mohamed Said
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mataifa ya Ulaya mashariki yakiongozwa na Urusi kwa nini hayakujishughulisha kutafuta na kupata makoloni Duniani kama mataifa ya Ulaya magharibi yakiongozwa na Uingereza? Pia Marekani 1884-1885...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naomba anayejua anijuze kama ni kweli paliwahi kuwepo Rais wa wachaga. Je ni kweli pia chagaland walikuwa na sarafu yao? Habari hizi nimesimuliwa na mzee mmoja hapa Nachingwea nikiwa katika...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wana JF Jina CHOGGA limekua likitajwa miongoni mwa wana Siasa nguli wa Taifa kuanzia 1960s-90s Inasemwa Mwanasiasa huyu alikua Mbunge wa Iringa kusini(1963-65),Yeye Pamoja na wenzake 8...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mohamed Siad Barre Na Nova Kambota Mwanaharakati, Ukitaja nchi za kisoshalisti za kiafrika za miaka 1970 hutaacha kuitaja Somalia ya jenerali Mohamed Siad Barre aliyewahi kuongoza Somalia...
6 Reactions
24 Replies
15K Views
Ahmed Seif Naanza kwa kusema kuwa inawezekana kabisa kuwa Ahmed Seif ndiye muasisi wa TANU mdogo kupita wote katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Yeye alijiunga na harakati akiwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nashangaa sana tunasema kwamba kasi ya serikali hii awamu ya tano ni kupambana vikali na Rushwa lakini hatujiulizi ni hatua gani juzi uchaguzi wa Meya jiji la Tanga zilichukuliwa? Hapa rushwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanamajlis, Kiasi cha kama miaka miwili iliyopita palikuwa na mjadala mkali sana hapa ukumbini kuhusu hotuba ya Mwalimu Nyerere alipomtaja Abdul Sykes. Yericko Nyerere, Maalim Faiza Foxy na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Unafikiri tunge miss nini bungeni kama mbunge wa Arusha mjini angeshindwa ubunge?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tafadhali moderator. Usiiondoe hii posting.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Ni hivi, haitajwi aliondokaje nchini, lakini alikimbilia Uingereza kupitia uwanja wa ndege nchini Kenya na serikali ya Tanzania ikatangaza baadaye sana. Kuthibitisha hilo, Jumanne ya Januari 23...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
''Mheshimiwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mwanasheria, alikuwa anafundisha wanafunzi Chuo Kikuu. Moja ya vitu alivyokuwa anafundisha ni 'NATURAL JUSTICE'. Mheshimiwa Spika, Wewe pia ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
_wengi husema kuwa kiswahili ni: _KIBANTU _KICONGO _KIARABU *KIBANTU: wengi husema kuwa chimbuko ya lugha kiswahili ni kibantu kwa sababu maneno na misamiati yatokanayo na lugha ya...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Siku Nyerere alipotishia kunichapa KIZA kilikuwa kimekwishaanza kutanda nilipoikaribia hoteli ya St. Ermins jijini London. Hoteli hiyo ni ya nyota 4 lakini ina haiba ya aina yake na ipo mahala...
11 Reactions
41 Replies
11K Views
Ni sababu gani zilizopelekea kuasi kwa jeshi 1964?Kwa anaefahamu anisaidie
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kwa wale wenye umri kama wangu watakumbuka vita Tanzania iliyopigana na Idd Amin baada ya majeshi ya Uganda kuvamia sehemu za kaskazini magharibi ya Tanzania. Ikumbukwe kuwa, Ghaddafi alituma...
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Je ulifaham kuwa Ziwa Victoria linebinafsishwa kwa Wazungu kwa muda wa takribani miaka 77 basi kama hukufaham hyo ndo historia fupi sasa je una maoni gani kuhusu jambo hili ambalo lingefanyika...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…