Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Niliwahi kusikia kuwa kulifanyika 'majaribio' ya kumpindua Mwl. Nyerere mwanzoni mwa utawala wake..je ni kweli??
0 Reactions
0 Replies
985 Views
ZANZIBAR inaumwa; tena inaumwa ugonjwa unaoua hima (terminal disease) isipopata tiba makini, tiba yenye nguvu na kwa dozi kubwa. Vipimo vya kitaaluma vinaonesha inasumbuliwa na mashetani, mizuka...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Nasaha za Mihangwa ABEID KARUME: Aliuawa kulipiza kisasi au kumpindua? II Joseph Mihangwa Toleo la 127 31 Mar 2010 KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya wiki iliyopita, tuliona juu ya utata...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Salaam wana jamvi wote!! Ninaomba mwenye data za uhakika juu ya nini hasa kilisababisha mwana wa afrika kwame nkurumah kupinduliwa hapo 1966,maana kuna uvumi kuwa alipinduliwa mara baada tu ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Polisi kuua raia hovyo Mawaziri na viongozi kufanya na kusema watakacho Jumuiya za kidini kugomea sensa bila kujali Ufisadi wa kutisha nchini unaoendeshwa bila woga Migongano ndani ya CCM kufikia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hili kundi ndio lilihusika na mauaji ya wanamichezo wa Israel mjini Munich wakati wa michuano ya Olympic 1972. Wanamichezo 11 waliuawa wakati hawa jamaa walipofanya ambush kwenye kambi ya Olymic...
9 Reactions
63 Replies
10K Views
J. F. Kennedy was a very close friend of Nyerere. They have been in touch for a little while before making this State Visit in the summer of 1963. Tanganyika was changing and so was US. The two...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pull back from Tanzain Coat of Arms to platform of Victoria Station as train pulls in. MS The Queen & Duke of Edinburgh. President Nyerere from train shakes hands with Queen and Duke, then Prince...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya Marekani kusitisha msaada wake kwa Tanzania kupitia MCC, kumeibuka mijadala mikubwa sana, kuhusu uhalali wa Marekani kufanya hivyo, na ni kiasi gani Tanzania kama inchi inaweza kuathirika...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nilipata kutizama sinema moja muda mrefu kidogo ambayo ili semwa(based on the true story) ikieleza jinsi ilivyo kuwa,kwanza tutambue wakati wa biashara ya utumwa watumwa wengi walio toka Afrika ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuna wimbi la kutaka kuandika upya historia ya Australia kwani iliyopo inapotosha. Wanafunzi wamekuwa wakihamasishwa kukwepa baadhi ya maneno yaliyopo kwenye historia ya sasa. Wanatakiwa kusema...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Mgombea urais marekani Dornald Trump amekuwa akijadiliwa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa za kimataifa , kuwa ikiwa atashinda Africa na Dunia zi hatarini Je, Trump n tishio kwa mambo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajamvi? Mie shauku yangu kuuubwa naombeni kufahamu 1.Nani mjenzi wa sanamu lile? 2.Dhima yake ilikua ni nini? 3'Kwanini liliwekwa mahala pale na si kwengineko? Nawasilisha naomba wajuzi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mohamed Abdallah Kaujore Kaujore aliua watu msikitini katika hali ya kuwa alikuwa amelewa akitokea kwenya bar moja karibu na Marikiti. Kaujore hakuhukumiwa na aliendelea kuwa Memba wa Baraza la...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Boko Haram ni jina ambalo hutumika kulitambulisha kundi lijulikanalo kama “watu waliojitolea kueneza mafundisho ya mtume na jihad” yaani Ahlisunnah Lidda’awati wa’l-Jihad’. Boko Haram ni neno la...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Tunawezaje kulinda hawa Tembo wetu wachache wanaohesabika Mbugani? ni kwa kutolewa adhabu kama ya walee Wachina? Kuna nini katika haya meno ya tembo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanamajlis, Wakati tunajitayarisha kupiga kura huu ni wakati mzuri sana tukaangalia nyuma wapi nchi yetu ilipotoka na iliweza kuvuka na kuruka viunzi vipi hadi Tanganyika ikapata uhuru wake bila...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Wanajamvi naomba kufahamu yule mtoto aliyekamatwa muhimbili akila kichwa cha mtu kesi yake ilikwisha vipi mwenye ufahamu anijulishe.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom