Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Wakutu ni Kabila linalopatikana mpakani mwa mkoa wa Morogoro na Pwani. Kwa mkoa wa Morogoro wanapatilana katika wilaya ya morogoro ( Morogoro vijijini ) katika vijiji vya Dutumi, Mvua, kisaki...
5 Reactions
18 Replies
529 Views
Njombe ni mmoja wa mikoa 31 ya Tanzania, uliorasimishwa kuwa mkoa mwaka 2012 mara baada ya kutenganishwa na Iringa inayopatikana Nyanda za Juu kusini Kwa Tanzania. Hapo awali Njombe ilikuwa ni...
26 Reactions
81 Replies
22K Views
KITABU CHA MAISHA YA JAKAYA MRISHO KIKWETE Rafiki yangu kanipigia simu kutoka duka la vitabu la Mkuki na Nyota, Samora Avenue ananitaarifu kuwa kipo kitabu cha maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete...
9 Reactions
48 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina...
17 Reactions
37 Replies
8K Views
MTU WA AJABU ALIYEDAI KUTOKA NCHI ISIYOJULIKANA – LAXARIA Katika historia ya visa vya ajabu vinavyohusiana na watu wanaotokea katika maeneo yasiyojulikana, kuna kisa cha kushangaza cha mtu...
0 Reactions
4 Replies
288 Views
Jamani hii story niliwahi kuisikia kipindi cha Mtikila kuhusu Dola ya Bahima lakini historia yake hadi leo sijaifahamu ilianza mwaka gani, ni nani aliianzisha lakini pia ni wapi inapopatikana...
0 Reactions
31 Replies
16K Views
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Je, Tunaweza Kuweka Utamaduni Wetu hai
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Anaandika Mo Mlimwengu Ukisikia la mgambo ujue tayari kuna jambo, ni simanzi na majonzi kubwa kwa Namibia na bara la Afrika kuondokewa na mwanamapinduzi halisi. Sam Nojuma alizaliwa mnamo 12 Mei...
1 Reactions
3 Replies
227 Views
BURIANI MWALIMU AHMED RAJAB ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab? Najiuliza. Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia...
16 Reactions
16 Replies
941 Views
KUMBUKUMBU YANGU NIKIANGALIA MAZIKO YA AHMED RAJAB Allah ana shani yake. Naangalia hii clip ya maziko ya Ahmed Rajab na imenirejesha nyuma na kunikumbusha mengi. Namuona hapo Talal mwanae...
0 Reactions
2 Replies
386 Views
Ngoja nikuelezee kwa ufupi, Mwezi Oktoba mwaka 1582 ulikuwa wa kipekee kwa sababu ya mabadiliko ya kalenda yaliyotokea. Huu ndio mwezi ambao Kalenda ya Kijuliani ilibadilishwa na Kalenda ya...
1 Reactions
2 Replies
206 Views
Kuna bustani moja katikati ya jiji la Dar es salaam (katikati ya barabara ya Samora, India na Mosque) maeneo ya clock tower. Ukifika katika bustani hiyo, kitu cha kwanza utakachokiona pale ni...
22 Reactions
300 Replies
81K Views
Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa Charan Singh . Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN. Waganda...
8 Reactions
24 Replies
960 Views
Eloi Eloi Lama sabakhtani " Mungu wangu. Mungu wangu mbona waniacha." Je alipokuwa mimba ina maana dunia haikuwa na Mungu? Je Mungu hakuwa na namna ya 'kuwakomboa' hao waliopotezwa na shetani...
6 Reactions
13 Replies
362 Views
Habari zenu wana JF leo nimeona sio mbaya nikiwaletea hadithi fupi ya Mussa alivyo tumwa Kwa Firauni na Majibizano kati ya Mussa na Mungu wake juu ya mikakati ya kumkabili Firauni, Mungu...
2 Reactions
7 Replies
279 Views
https://youtu.be/7-aawj-gB-8?si=MdmVCSuiHMShsedm
0 Reactions
1 Replies
131 Views
Tarehe 17 October 1917, maelfu ya watu takriban watu 70,000, walishuhudia jua likifanya kitu kisicho cha kawaida, waliweza kuliangalia kwa takriban dakika 15 bila kuumia macho, waliokua wanaliona...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
PROF. KABUDI: HISTORIA YA WANAWAKE WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Siku mbili hizi zimekuwa siku za furaha kwangu kwa kuona katika hadhira kubwa sana za CCM wapigania uhuru waliosahauliwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Unamkumbuka Andrew Arshavin?! Wengi wanamkumbuka Andrew Sergeyevich Arshavin, kama winga machachari aliyekiwasha ndani ya klabu ya Arsenal. Lakini duru za kijasusi ulimwenguni zinamtambua kama...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom