Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Wakamba ni kabila la watu wa Kenya wanaoishi Ukambani, eneo lililopo kati ya Nairobi, Voi, Mlima Kenya, na Mlima Kilimanjaro. Wakamba ni kabila la nne kwa ukubwa nchini Kenya. Lugha na Utamaduni...
3 Reactions
0 Replies
416 Views
MAKTABA YA CCM DODOMA Maktaba ya CCM Dodoma imesheheni vitabu vingi na majarida mengi. Mara ya mwisho miaka mingi iliyopita nilipokuwa hapo maktaba ilikuwa chumba kitupu mfano wa ukumbi mrefu...
0 Reactions
4 Replies
226 Views
Jumanne, Januari 14, 1958 United iliichapa Red Star Belgrade mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Ulaya kwenye uwanja wa Old Trafford. Jumatatu, Februari 3, 1958 Kikosi...
6 Reactions
14 Replies
629 Views
Bob Marley alizaliwa tarehe 6 Februari 1945 huko Nine Mile, Saint Ann Parish, Jamaika. Jina lake halisi lilikuwa Robert Nesta Marley. Alikuwa mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, na mpigaji gitaa maarufu...
3 Reactions
6 Replies
207 Views
Bahari ya Chumvi, mojawapo ya maajabu mazuri zaidi ya dunia, ni ziwa la chumvi ambalo liko kwenye sehemu ya chini kabisa ya Dunia. Mpaka wa Yordani kwa Mashariki, na Israeli na Ukingo wa...
24 Reactions
81 Replies
3K Views
Historia ya Kweli ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda KILIO CHA MIFEREJI YA DAMU IENDAYO ETHIOPIA Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu...
98 Reactions
2K Replies
477K Views
Majuma mawili yaliyopita kwenye group letu moja kuna mwenzetu mmoja aliandika maneno hayo hapo chini: "Jamani historia nzima ya Tanganyika ni Sykes and Sykes and Sykes and Sykes." Nadhani...
1 Reactions
6 Replies
599 Views
Hii imewahi kufanyika baadhi ya nchi kama South Africa, kuweka orodha ya watu muhimu waliochangia maendeleo ya nchi yetu kiuchumi na kisiasa kuanzia kabla ya uhuru na baada ya uhuru. Tunaweza...
12 Reactions
161 Replies
22K Views
PICHA HII ILISTAHILI SANA KUWAPO CCM MAKAO MAKUU DODOMA Picha hiyo hapo chini ina historia nzuri ya Dodoma kwanza kwa kupatikana kwake. Nilipokuja Dodoma kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980...
1 Reactions
0 Replies
292 Views
Kuna nadharia kificho (conspiracy theory) kwamba Sokoine na Imran Kombe waliuawa na kwamba vifo vyao vinahusiana. Je, kuna maelezo kishawishi yapi (convincing) kufanya nadharia hiyo iwe na...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Februari 26, 1982 Tanzania ilitikisika baada ya kutokea taarifa kuwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATC) imetekwa. Lilikuwa ni tukio la kwanza la aina yake kuwahi kutokea katika nchi hii na...
16 Reactions
752 Replies
236K Views
Kwa yanayoendelea Congo nimebaini kuwa vita zina propaganda nyingi sana. Kwenye historia ya Idd Amina tumeambiwa kwamba Iddi Amin akiwa Rais aliwahi kufokewa na mlemavu kwamba ameshindwa kuiongoza...
4 Reactions
11 Replies
417 Views
Haiti ndo nchi iliyopata uhuru kimafia kuliko nchi yeyote duniani na mara nyingi huwezi sikia watu au hata mashuleni ikifundishwa Haiti ilikua inajulikana kama saint-Domingue (sandoming...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo? Sawa weusi ndo...
0 Reactions
5 Replies
410 Views
MHADHARA: MCHANGO WA TABORA KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA (1945 - 1961) Niko Tabora toka jana usiku. Mwaliko wa Wazee wa CCM Tabora Kuadhimisha Kuzaliwa kwa CCM tarehe 5 February 1977...
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo Tanganyika ilikuwa tu protectorate sio colony la muingereza Wanaosema waingereza walikuwa...
8 Reactions
51 Replies
1K Views
Wakuu msaada kwenye tuta, gari nimeagiza hata miezi mitatu haijapita ila rangi inapauka kwa speed kali sana! Nilinunulia cover wakati inafika tu ila haijasaidia kitu. Ila cha ajabu nina jirani...
2 Reactions
25 Replies
599 Views
Hayati Luteni Jenerali Mayunga Mti Mkavu Wakuu taarifa za uhakika nilizopata kutoka nchini India kuwa mpiganaji wetu shupavu na kiongozi mwadirifu, Meja Gerenali Silas Mayunga (Kushoto pichani...
13 Reactions
165 Replies
82K Views
https://www.youtube.com/live/DbZXc2xgRBw?si=a-oNRfgTi6lXcL_v
2 Reactions
0 Replies
116 Views
. Aliitwa Phillis, kwa sababu hilo lilikuwa jina la meli iliyomleta, na Wheatley, ambalo lilikuwa jina la mfanyabiashara aliyemnunua. Alizaliwa Senegal. Akiwa na miaka kumi na tatu, tayari...
3 Reactions
2 Replies
338 Views
Back
Top Bottom