Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

https://youtu.be/9u_ZRa69IGs?si=Ea99wpBTzkTEHVwt
0 Reactions
3 Replies
171 Views
Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro ni moja ya maeneo ya kivutio zaidi nchini Tanzania na inajulikana kwa uzuri wake wa asili na wanyama wa ajabu. The Ngorongoro Conservation Area (NCA) ilianzishwa...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Habari zenu wakuu, True story!! Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningeweza kujikuta katikati ya mchezo hatari uliopangwa kwa ustadi wa hali ya juu. Ilianza kama jambo la kawaida tu — ofa ya...
77 Reactions
529 Replies
36K Views
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine. Nimekaa nyumbani kwake Humburg. Kote tunapokuwa pamoja...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Wanabodi, Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo...
82 Reactions
911 Replies
181K Views
Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao. Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama...
17 Reactions
42 Replies
8K Views
07 January 2022 Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi Katika interview hii maalum mhitimu wa chuo tajwa kabisa cha kijeshi duniani cha Sandhurst...
9 Reactions
30 Replies
13K Views
JINA la Milambo ni maarufu sana hapa Tanzania na katika eneo lote la ukanda wa Afrika Mashariki. Lakini ni watu wachache wanaoweza kueleza Milambo ni nani na alifanya nini hadi kustahili sifa...
8 Reactions
39 Replies
41K Views
𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗣𝗲𝘀𝗮 𝗭𝗮 𝗡𝗼𝘁𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 Miaka imekwenda toka enzi hizo watu wanatumia shilingi moja, mbili, senti moja nk maisha ya Watanzania yalibadilika baada ya utambulisho wa Noti kwenye...
4 Reactions
11 Replies
416 Views
https://youtu.be/X8aFsrqOgUQ?si=_R7PLruw4fYbQTWK Historia ya African Association imekosewa kidogo. African Association inachanganywa na Tanganyika African Association (TAA). African Association...
0 Reactions
3 Replies
222 Views
Mnamo Desemba 1937, wakati wa mechi ya mpira wa miguu huko Stamford Bridge huko London kati ya Chelsea FC na Charlton FC, mchezo ulisimamishwa katika dakika ya 60 kutokana na ukungu mkubwa. Kwa...
10 Reactions
12 Replies
544 Views
Nimesoma historia ya Zanzibar imejaa mambo mengi ya giza ila nitajiita kwenye hili moja. Je ni kweli Karume, Salmin Amour, Natepe pamoja na karibia ya maafisa wote wa baraza la Mapinduzi walioa...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
https://youtu.be/flAHcqxtR2s?si=PHKyLVAvpsOunFa5
2 Reactions
3 Replies
134 Views
Aiseh kweli soka la wezetu limeendelea, uki angalia kikosi chote cha kwanza cha MC Alger wote ni wazawa hata walioko subs 2 tu na ni wa Ivory Coast 🇨🇮 wote!!
1 Reactions
7 Replies
153 Views
Music albums zilizouza sana nchini Kenya kwanzia '70s hadi '90s. Pata pale aipate.
0 Reactions
2 Replies
343 Views
VIVUTIO VYA UTALII VINAVYOPATIKANA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA NA SIFA ZAKE MKOANI SONGWE. Momba ni kati ya wilaya Nne zinazo unda Mkoa wa Songwe, ambayo imebahatika kuwa na vivutio vingi vya...
2 Reactions
5 Replies
308 Views
Kwakweli kiswahili kinazidi kupaa. Zamani mtu alikuwa akisafiri kwenda Dar alitumia msemo naenda BONGO. Hivi sasa hata mtu anaeishi nje ya Dar anasema yeye mbongo pengine anamaanisha yeye M-TZ...
0 Reactions
32 Replies
18K Views
Karne ya 18 hadi 20 huko Ulaya na Marekani kanisa Katoliki huko Ulaya na Marekani walikuwa na vituo vya kurekebisha tabia kwa wanawake hasa mabinti wa makundi mbalimbali wakiwemo single mothers...
4 Reactions
3 Replies
271 Views
Unajua Sewahaji alikuwa ni nani? Sewa Haji Paroo ndio hasa alianzisha hospitali ya Muhimbili, Ingawa baadhi ya walioathiriwa na elimu ya kikoloni kwa kiwango kikubwa hushikilia kwamba Muhimbili...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom