Tukio la kweli.
Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.
Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi...
Pan Africanism
Pan-Africanism is a worldwide movement that aims to encourage and strengthen bonds of solidarity between all indigenous peoples and diasporas of African ancestry. It has its roots...
Mlima Kilimanjaro, ambao ni mlima mrefu zaidi barani Afrika, una historia yenye mvuto na thamani kubwa. Katika muktadha wa utafiti wa muda mrefu, Kilimanjaro inajulikana kama "Kilimanjaro" kutoka...
Sherehe zilifanyika katika uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid Arusha mwaka 1987. Mgeni rasmi alikuwa Mwl. Nyerere baadhi ya picha ziliwekwa kwa muda pale kwenye jengo la Azimio la Arusha.
Pia...
(1929 - 2024)
Hiyo taazia hapo chini niliandika majuma machache yaliyopita nilipopokea taarifa kuwa Sultan Jamshid kafariki.
Haukupita muda nikapokea taarifa kuwa si kweli yu hai.
Nilijisikia...
OPERATION BARRACUDA: "MISSION YA KIJASUSI" ILIYOKATISHA MAISHA YA PATRICE LUMUMBA, NA KUZIMA NDOTO YA UHURU NCHINI KONGO.
Na.Comred Mbwana Allyamtu
Thursday -17/1/2018
Marangu, Kilimanjaro...
Great Thinkers!
Kwa maoni yangu binafsi, Freeman Mbowe, kiongozi wa muda mrefu wa CHADEMA, ni mwanasiasa mwenye uzoefu mkubwa na mchango mkubwa katika siasa za Tanzania. Ikiwa atashindwa katika...
ELLEN G. WHITE
Ellen Gould White (née Ellen Gould Harmon; Novemba 26, 1827 - Julai 16, 1915) alikuwa mwandishi na mwanzilishi mwenza wa Kanisa la Waadventista Wasabato. Pamoja na viongozi wengine...
Je! Waislamu walikoloniza Afrika kwa njia ile ile ambayo nguvu za Magharibi zilipokoloniza Afrika, inamaanisha kweli? Uislamu ulienea Kaskazini mwa Afrika, Afrika Mashariki, na Afrika Magharibi...
IJUE HAITI (nchi ya milima) NCHI YA KWANZA DUNIANI AMBAKO WATUMWA WENYE ASILI YA AFRIKA WALIFAULU KUPINDUA UTUMWA NA KUJIPATIA UHURU TAREHE 1 JANUARI 1804.
Na.Comred Mbwana Allyamtu...
Salaam wanahistoria!
Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa...
John Mgandu alikuwa mtunzi hodari wa nyimbo za kikatoliki. Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo zilizotungwa na John Mgandu. Ifuatayo ni orodha ya midi za nyimbo zilizo...
Wakati meli ya Titanic inazama ilikua imembeba Billionare John Jacob Astor IV, Pesa aliyokua nayo alikua ana uwezo wa kujenga Meli zaidi ya 30 kama hiyo ya Titanic, Titanic ilijengwa kwa mwaka...
Hayati Bob Nyanga Makani alizaliwa mwaka 1936 katika Hospitali ya Kolandoto, Shinyanga. Alikuwa ni mmoja wa watoto wengi katika familia ya Mzee Makani.
Alipokuwa na umri wa miaka sita, alianza...
Hii ndio ilikuwa Bendera yetu, na katikati ya Bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of Arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya 1885 mpaka 1918.
Wakati...
Wengi tumekua na kuambiwa na kusoma ya kwamba chifu wa kabila la Wahehe Chifu Mkwawa aka Mkwavinyika Mwamuyinga baada ya kuzidiwa katika vita yake ya mwisho dhidi ya Wajerumank basi alijiua...
Leo jioni nimepokea mgeni adhim kupita kiasi niliyekutananae akiwa mtoto mdogo akisoma shule ya msingi.
Mtoto huyubalikuja nyumbani kwangu kaletwa na baba yake.
Ilikuwa asubuhi moja mwaka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.