Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Wengi ukiongolea Utumwa wanafikiri ni wale tu waliosafirishwa kwa meli mpaka Amerika, wanasahau kwamba Biashara ya utumwa ilifanyika hapa hapa pia, mfano wengi wanaojiita Wazanzibari leo hii...
11 Reactions
71 Replies
5K Views
Hii picha inazunguka kama umeme wa songasi au gesi ya Putin mitandaoni huyu demu ni nani? USSR
9 Reactions
21 Replies
4K Views
Mnamo mwaka 1696 hadi 1698 utawala wa Unguja unatajwa kuwa uligawanyika ambapo aliyekuwa mtawala wa Zanzibar Kaskazini alikuwa ni Malkia Fatuma binti Yusuf al-Alawi. Fatuma alikuwa mtoto wa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
MAZIKO YA KAKA YETU NUSURA FARAJ Kama ingekuwa hakuna mvua labda umati uliojitokeza Makaburi ya Kisutu kumzika kaka yetu Nusura Faraj ungekuwa mara mbili ya watu waliofurika hapo Kisutu. Miezi...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Nyerere alicheza Msondo, wewe nani usicheze? Miaka 56 iliyopita, nazungumzia mwaka 1964, bendi mbili kubwa za Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, zilipiga dansi maalumu la kuchangia chama cha...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
. Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Wengi hawajui hili lakini alikuwa akifikia mitaa Gerezani.
21 Reactions
62 Replies
6K Views
Saparmurat Niyazov Kuanzia mwaka 1985-2005 Turkmenistan ilikuwa chini ya dikteta Saparmurat Niyazov. Alifanya maajabu haya. - Alijenga sanamu yake kubwa sana. Sanamu hiyo ilikuwa inazunguka ili...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
MTAA WA SHEIKH YUSUF BADI LINDI Sheikh Yusuf Badi hakupenda kupigwa picha na hadi leo sijapata picha yake. Sheikh Mohamed Yusuf Badi ni sheikh pekee katika masheikh waliopigania uhuru wa...
6 Reactions
2 Replies
995 Views
Je Wajua? KABILA LA WAKURYA Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za...
23 Reactions
115 Replies
28K Views
LUTHERAN PRIMARY SCHOOL MOSHI KAMA ILIVYOKUWA 1950s NA SASA Nilianza darasa la kwanza mwaka wa 1958 kwenye jengo hilo hapo chini lililokuwa ni Kanisa la Kilutheri. Baada ya miaka mingi nilifika...
35 Reactions
104 Replies
8K Views
Dkt, John Joseph Pombe Magufuli ni mwalimu na mtalaamu wa kemia akiwa na Shahada ya Uzamivu (PhD). Kuzaliwa Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la...
6 Reactions
112 Replies
16K Views
Miaka ya nyuma tuliona maandalizi ya hii siku kuanzia kwenye vyombo vya habari na hata viongozi wetu walikuwa wakilitaja hili jina kuanzia April mosi hadi siku kama ya leo kilele. Lakiini sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwalimu Nyerere anabaki kuwa ALAMA ya baraka tele kwa taifa letu adhimu. Komredi Manyerere Jackton anasema kuwa kila ukikutana na kuongea na Mwalimu Nyerere ulikuwa unaihisi nguvu ya ajabu na ya...
6 Reactions
44 Replies
4K Views
Ninawi ni mji mkongwe na uliokuwa maarufu zaidi miaka ya Yona, mji huu unapatikana katika nchi ya Syria karibu kabisa na mji unaoitwa Mosul uliopo Iraq. Ninawi ulikuwa mji muhimu sana kwa sababu...
13 Reactions
39 Replies
24K Views
Kushoto ni Brian Wills kutoka Conservative Party ya Uingereza akisimamia uchaguzi wa UTP huyo pembeni yake ni Sheikh Hussein Juma aliyekuwa Makamu wa Rais wa UTP.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 100 YA MWALIMU NYERERE WIZARA ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wadau imeandaa na kuzindua programu ya Maadhimisho ya miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa...
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Wanabodi, Huu ni utambulisho wa kipindi maalum cha Kumbukumbu ya Kifo cha Hayati Abedi Amani Karume, uliofanywa na Mtangazaji Festos Makerubi wa TBC-1 akiwa mjini Zanzibar. Kuna makosa ambayo...
6 Reactions
39 Replies
11K Views
Mganda kiongozi wa kikosi cha Mapinduzi ya Zanzibar. Wakati anampindua Mwarabu, Hayati Karume alikuwa Tanganyika amejificha. Okello aliongoza mapinduzi na akatangaza baraza la mapinduzi kisha...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…