SAA YA UKOMBOZI.
1)Watu watakuwa huru,haki itapatikana.
Utatoweka udhuru,wao watapotengana.
Tuwe wakali ka faru,kwa umoja kushikana.
Ni saa ya ukombozi,karibia inafika.
2)Natushikane...
KUTOA ELIMU KWA LUGHA YA KWANZA AU LUGHA INAYOELEWEKA KUNAMPA MTOTO FURSA YA KUUNGANISHA ELIMU NA MAISHA YA KAWAIDA. KIINGEREZA KWA TANZANIA NI UKUTA UNAOZUIA MUUNGANISHO HUO.
PIA, KUNAMPA MZAZI...
nimekuwa hapa mombasa kwa kipind kirefu pia nakaa na lamu,nilichogundua kwa miaka sita yangu katika jiji hili ni utofaut wa lahaji ya watu wa lamu, , , , , , maji=mayi moja=moya viatu=ziatu...
Sasa msianze kunirukia na kunishadadia kwa kusema mtu ana sura ya kiatu wakati kiatu chenyewe ninachokizungumzia wala hamkijui. Labda chaweza kuwa kile cha ‘ko-ko-ko' au vile vya ngozi...
Kuna haja ya kufahamu maana halisi jipu na kutumbuliwa kwake.
Yawezekana hadi sasa hatujawahi kuwa na jipu wala mtu kutumbuliwa au kama wapo basi ni wachache kuliko inavyodhaniwa.
Maana tangazo...
Lugha yetu imekuwa pana na yenye matata mengi sana.
Ndugu zangu wapenda kiswahili napenda kujua ipi kati ya hizi sentensi ni sahihi na halisi kwa huyu muusika (FUNDI)?
1; FUNDI uashi...
Wana JF nimekuwa nikipata ukakasi kuhusu matumizi ya maneno Jeneza na Sanduku la Maiti/Marehemu. Mara nyingi watu wamekuwa wakiyatumia maneno haya mawili kana kwamba yaanamaanisha kitu kimoja...
Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja''
Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini...
Taswira
Alimkuta amelala,
Akamziba masikio,
Kisha akamwambia,
"Amka[emoji779] Huu mchana wewe".
Hakua kiziwi,
Ila alikua fofofo,
Kwa mnong'ono wa jazba,
"Shauri yako na maisha yako[emoji779]"...
NDIO MFALME SASA
Kaumu vumilieni ndivyo hivyo ishakua
Yeye kashiika mpini kiongozi bwana juha
Haya mwingi akilini hata ma
mbo ya murua
Sasa ni Maliki wetu Muhimu kumuelewa
Muhimu kumuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.