MWANZO WA NGOMA
1)Kweli hii ngoma ngumu,kuipiga na kucheza.
Kama unakunywa sumu,chunga watakulegeza.
Ipige hadi idumu,ukiacha watubeza.
Huu ndo mwanzo wa ngoma,ama kiki watafuta ?
2)wengi...
WETU MGAMBO.
1)Siwezi mi kuamini,kama ni wao wenyewe.
Imetoka ofisini,wale waje watendewe.
Ahadi zi mazishini,laona jicho la mwewe.
Hawa ndo wetu mgambo,na ndo kazi waliotumwa.
2)Wayatenda ya...
Naomba wataalamu wa Lugha mnisaidiea kuhusu suala hili.
Mimi nasikitishwa sana kuona vyombo vya Habari vya kielektoniki vikiita majina ya kiingereza baadhi ya Vipindi vyao wakati vipindi hivyo...
Jana nilikuwa naangalia Kipindi cha malumbano ya hoja kinachorushwa na kituo kimoja maarufu cha TV nchini ambacho kwa sasa kinajiita Super Brand Afrika ya Mashariki na kati.Katika malumbano yale...
TABII STAKIRI
Chunga upulikayo,
Ya walimwengu ni zakayo,
Punga ya hofu ni uikibaliyo,
Macho ya ubongo ni zaidi ya uonayo.
Ya farisi ya farisi,
Ya bahaluli tuyafilisi,
Fakiri tumuabiri vizuri...
I was perusing a local magazine here in USA then met this phrase ' characters of questionable reputation'
Could any one here let me know what does it mean as its strange
With Regards
Wanaforum habari zenu, nahitaji msaada kupata vitabu kadhaa vya Kiswahili, ni riwaya na tamthilia hasa, nimehamia ughaibuni,(Linkoping, Sweden) karibu mwezi sasa na nahitajika kujifunza Kiswahili...
USITUFUNGE MDOMO.
1)Mikono ina sauti,kali kuliko ya radi.
Ulipuka kwa kishindo,inapopanda midadi.
Acha mdomo useme,hata kama siyo jadi.
Usitufunge midomo,mikono itaongea.
2)Busara hata...
Tangu nikue, hadi nimemaliza chuo, ni neno moja tu ninaloliona na kuliskia, iwe ni dukani, kwenye TV n.k.: Blue Band. Je, kwa kiswahili inaitwaje? maana nime-google sipati jibu, japo nahisi neno...
Habari zenu wakuu,
Nimegundua kujifunza KIFARANSA pekeyangu ni ngumu sana, sipati watu wa kuzungumzanao. Nahitaji watu watatu wenye nia ya kujua lugha ya kifaransa, nitawalipia 40% kama motisha...
Watu wanaona raha gani kutumia kiswahili kibovu namna hii?Eti chama tawala.Kwanini wasiseme tu chama kinachoongoza?Kuna dhana flani ya kutishana na kukatisha wananchi tamaa kisaikolojia.CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.