Habari wana-Jamii forums! Karibuni tujifunze kwa pamoja kama mada inavyojieleza.
Tarakilishi=Computer.
Mtandao=Network.
Mdahalisi=Internet.
Barua pepe=E-Mail.
Tovuti=Website.
Peruzi=To surf...
Kama wewe ni Mdau wa lugha ya Kiswahili unakaribishwa katika jukwaa la Kiswahili lililosheheni mambo ya kutosha kuhusu Kiswahili kwa wasomaji wa ngazi zote.
Pakua App ya MWALIMU WA...
Mimi ni mwanafunzi wa Kiswahili na nina maswali juu ya lugha.
"Bwana Amri Abedi aliandika mashairi yanayokuwa magumu."
Kwa nini sentensi hii si sawa? Nataka kuandika "Bwana Amri Abedi aliandika...
Kwenu wajuvi wenye uelewa wa lugha na mila za kitanzania hebu tafadhari nijuzeni kuna maana gani mtu akisema KINYAGO TUKICHONGE WENYEWE NA KUKIWEKA SEBULENI ALAFU KITUTISHE??
Habari wanajamvi,
Nimetimba tena kwenye jukwaa letu pendwa nikihitaji ufafanuzi wa maneno haya, naona tumekuwa tukiyatumia sana kimatamshi ila yamekuwa yakinitatiza kimaandishi.
Kuna neno huwa...
Guys,
Naomba msaada wa haraka kuhusu neno "VILASI."
Nadhani hili neno linahusiana na masuala ya ubatizo; sasa kuna kifungu cha maneno nimekutana nacho ambacho natakiwa kukitafsiri kwenda...
Mimi napenda sana kujifunza Lugha yetu hii ya Kiswahili. Leo ningependa kuwashirikisha juu ya changamoto inayowakabili watu wengi sana katika kutamka baadhi ya maneno ya Kiswahili. Kuna maneno...
Wakati niko shule, yaani shule ya msingi, sekondari na hata chuo, nilikuwa naamini kabisa kwamba kiswahili ndiyo lugha yenye umiliki wa neno mama.
Pia nilikuwa naamini lugha nyingine zinazotumia...
Hakika hali wa shani,kila jambo lina asili yake.Sababu kila jambo lina asili yake,bila shaka ushairi wa kiswahili una asili yake.Hapa nina maswali yaliyomili katika kichwa cha habari hapo juu...
How Many Languages of Africa Are There?
Not only is Africa the second most populous continent in the world with over one billion people, but it is also home to the highest linguistic diversity in...
CHOZI LA MADHABAHUNI.
1)Inataka ujasiri.
Kweli kufichua siri.
Watakiwa uhodari.
Uvae ujemedari.
Tena ufanye kwa hari.
Kuitangaza habari.
Huo ni utangulizi.
Chozi la madhabahuni.
Siyo siri kuna...
KILE KITU CHA USIKU.
1) Mchana kinalegea, nguvu usiku chapata,
Kama vile chabembea, ajabu kukikamata,
Taratibu chasogea, mwendo wa pole wa bata,
Kile kitu cha usiku, hata mchana si kipo?
2) Tena...
Nina uhakika nina gundu,
Haifichiki kama nundu,
Wazi wazi bila ukungu,
Hii ya leo ni kali, nimechoka paka basi.
Nilikua daladalani,
Mtoto mzuri pembeni,
Anasimu kiganjani,
Hii ya leo ni kali...
KARIBU MKOROMIJE SISI TUNAKUNGOJEA
Daudi bashite pole, huruma nakuonea
Koromije polepole, karibu twakungojea
ulijitia kiherehere, jiji ulilivamia
sasa unarudi na ndala, kipi ulicho sahau?
Wewe...
Kama kichwa cha habari kisemavyo.
Neno gani la kiingereza lina herufi tatu tu Lakini linaleta maana.
Mi nimeeanza na.
1.And
2.Use
3.But
4.See
.
.
.
.
.
.
.
.
100.Bye
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai.
Walio na uwezo huo tafadhali waje inbox.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.