Today French is an official language in almost 50 countries.
27 African countries speak French. It is spoken by more than 200 million people on five continents. It is also an official language of...
Wakuu nimetafakari neno hili "shubiri". Tunaikuta katika sentensi kama "Ametia tone la shubiri katika sukari", au "mapenzi ni asali lakini ni pia shubiri".
Hapo "shubiri" linataja ladha chungu...
Lugha hii mara nyingi hutamka neno mara mbilimbili KM:-
Pilipili
pikipiki
Tikitiki
tete
lialia
chuchu
kuku
koko
............. endeleza tuona wapi..!!!!
Ndugu yenu kibatari
Sitaki chenu kiburi
Mlinitupa duhuri
Kwa hiyo yenu ghururi
Na nyingi zenu shururi
Niliweza zisubiri
Nikawa kama kaburi
Wala hamnidhukuri
Mlikuwa mwafikiri
Kuwa mimi ni faqiri...
Baada ya kumaliza makala kuhusu vipimo vya kihistoria vya Waswahili kwenye wikipedia nimeongea leo hii na vijana nikiwauliza kama wameshawahi kusikia maneno kama "Wanda", "Morta" au "Shibiri"...
1.------------Ni neno refu la kiingereza ambalo ukitype kwa kutumia keyboard ya computer utatumia mstari mmoja tu wa herufi ambao ni wa kwanza(mstari wenye herufi;
P,O,Q,W,E,R,T,U,Y,I)
2.Nilikuwa...
Wasalaam wataalam wa lugha ya kiingereza.
Twende kwenye point.
Mf
This is John's pen.
Hii ni kalamu ya John.
Na kama ni ya James tunasema
This is James' pen.
Je kama wamiliki wa hiyo...
Ndugu wana jf
Poleni kwa majukumu ya kila siku kwa miangaiko ya huku na kule..... pasipo kupoteza muda ngoja niende kwenye mada
Ndugu zangu lugha ya kiswahili n lugha nzuri sana, pia ndio lugha...
habari wadau,
Natumaini humu ndani tupo watu wa kabila tofauti.Ningependa mtu anisaidie kuntafsiria hii lugha ya kinyiha ikibidi nijifunze kidogo. Nitatoa baadhi ya maneno ama sentensi hapa chini...
MTOTO WA BABA HAGUSWI.
1)Shikamo kaka mkubwa,pole kwa kuchapwa fimbo.
Usihofu ndo ukubwa,umeepuka mkumbo.
Usiuwaze ubwabwa,ulochanganywa na shombo.
Huyo mtoto wa baba,haguswi eti haramu.
2)kweli...
Habari
jamani tunabishana hapa
Wakristo cha kubebea maiti wanaita Jeneza
je waislamu kile wanachobebea maiti kutoka msikitini kupeleka makaburini wanaitaje?
1:kisukuma - Lugha ya asili angalau nikiwa vijijini napata muda wa kubadili mawazo na wazee kwa lugha asilia ( pia asiyekubali kwao ni mtumwa)
2:kihispania - ni mpenzi wa Barcelona, nafurahi sana...
Wataalamu wa lugha ya Kiswahili njoon huku mtujuze kuhusu hiyo ISTILAHI "KIFYONZEO" maana mie nimebaki kizani [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji28] [emoji3] [emoji3]
Naomba tujadili juu ya hili kosa la kifonolojia ambalo watumiaji wa kiswahili wamekuwa wakilitenda panapo au pasipo kulijua na namna ya kuliepuka. Nitaeleza halafu kisha nguli wa hii lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.