Naombeni kuwauliza wana jf hivi ule uandishi wa anuani ya mwandishi kwenye barua [emoji404] kuwa kama hivi[emoji116] [emoji116]
------------------------------
Kalenga kidamali,
S. L. P 42990...
Habari za mchana wanajf jaman naomba kujua tafsiri ya hizo pointi hapo kwenye picha naitaji kuziandika kwa Kiswahili nimeshindwa kuyaandika kwa Kiswahili hivyo naomba mwenye kujua maana yake kwa...
Habari za muda wanajamvi...?
Nimekuwa nikifuatilia habari mbalimbali za kitaifa na kimataifa, kuna maneno kama manne huwa nakosa tafsiri yake ya moja kwa moja kwa kiswahili sanifu, Wataalamu wa...
Sina budi kwenda kuoga
Sina budi kwenda kulala
----------------------
Hivi kwanini isiwe:
--------------------------
Nina budi kwenda kuoga
Nina budi kwenda kulala
--------------------------------...
Habari zenu wakuu nina msemo ambao kwangu nimgumu kidogo hivyo nilikua naomba msaada nifahamu kwamba:-
Nini maana ya msemo "MWENDA TEZI NA OMO, MAREJEO NGAMANI"
AJALI YA LUCKY VICENT.
1)Ni msiba wa taifa,umeukumba Arusha.
Tena bila taarifa,kifo hakina bahasha.
Kifo hafanyiwi dhifa,kifo hakina bashasha.
Poleni wana Arusha,msiba umetupata.
2)Ni huzuni...
Kama kuna kitu kinachonikera kwenye blogs zetu ambazo huandikwa[kutafsiriwa kwa kiingereza] ni ni oborongaji wa lugha hiyo kiasi hata nikisoma mimi ambaye ni mtanzania sielewi na mara nyingi...
Nipeni kiti nikae, nikae na niteteme,
Ndugu msinishangae, nililonalo niseme,
Ya chakula cha ukae, maneno yangu nipime,
Sambusa ni tamu bwana, hasa za kitanzania!
Nilialikwa na Rozi, Fatuma naye...
1. Neno SAFARI lina maana ngapi wakuu?
2. Kwanini neno SAFARI limewah sana kuvuka mipaka katika Dunia?
Najua wengi mtaniona mjinga, ila yote kwa sababu nataka kujua. Siku zote napendelea kuwa...
Habarini wanajamii,
Leo nimeona niwaletee baadhi ya misemo ya kinaijeria na maana zake.
Misemo hii ipo katika lugha ya PIJIN( mchanganyiko wa kingereza na lugha za asili za naijeria) ila maana...
Ndugu zangu mimi ni kijana niliyeishia darasa la saba kielimu, natafuta mtu yeyeto wa kunifundisha kingereza cha kuongea na kuandika. Kama kuna aliyetayari aniambie
Habari wana Jukwaa...
Nimekuwa nikitafuta soft copy ya Kamusi ya Kiswahili - Kiswahili kwa ajili ya matumizi ya kazi zangu (Uandaaji/Utunzi wa makala za kijamii) mtandaoni bila mafanikio..
Naomba...
KATIKA kitabu chake cha tawasifu "MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI" Shaaban Robert anasimulia dhiki, adha na udhalili alioupitia, pengine kwa sababu ya Uafrika wake, kipindi cha ukoloni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.