Kama ambavyo inajulikana manenk mengi ya kitaa huanzia jela.. Inasemekana jela ndiyo kuna masela wengi na maneno mengi ya kihuni huanzia huko.
Ingizo jipya mwaka huu ni neno'mzee baba"hili lina...
Kuna watu wanang'ang'ania kuongea English ili kujipambanua kuwa wasomi.Lakini English yenyewe ni vunjashingo. MFANO: Tundu Lisu aliongea Kiingereza Bungeni jana ktk mjadala wa wizara ya nje...
Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka TANESCO kukata umeme popote pale bila kuogopa...
Andika sentensi yoyote ya kiswahili ambayo ni ngumu kuitafsiri kwa kingereza au sentensi ya kingereza ngumu kutafsiri katika kiswahili nikupe msaada fasta.
Pia wadau mnaruhusiwa kuchangia
CHETI MWATAKA CHA NINI
1)Ingelikuwa elimu,iwekwe karatasini.
Ingelikuwa si ngumu,watu shindwa maishani.
Ingelikuwa ni sumu,ung'atwapo unyayoni. mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi ...
LUGHA YETU UTAMADUNI WETU
Naomba nitoe wito kwa wachagga wote wanaojua kichagga watufundishe kichagga na watutengenezee mada kabisa.
Ikiwa utakuwa unafundisha Kirombo useme unachofundisha ni...
SANAA YA ARUSHA.
1)Mwanzo ilianza vyema,kama nuru ikawaka
Tulionajambo jema,wengi wakajumuika
Lakini bado mapema,kama taa yazimika
Hi sanaa ya Arusha,kama dira yapoteza.
2)Wasanii wa filamu,ujumbe...
Nakumbuka wakati nipo mdogo
Mama kuna muda mwingine
Huwa ana mtuma Dada Akimwambia "oko"chungu jikoni
Lakini sasa ivi pia nasikia
Matangazo yana sema "okoa"pesa naombeni mnisaidi ili neno wapi...
Aisee katika mlolongo wa maneno lukuki yanayojitokeza kutokana na matukio ya kitaifa hivi sasa hili neno "DUDE" limeibuka na kushika hatamu katika vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii...
SENTENSI ZIMETOA UTATA KWA WATU WALIPOZISIKIA BASI KAMA UKIZIELEWA SAIDIA KUEZIELEZA.
1:yule kbogoyo asiyekuwa na meno yote leo kakamatwa sokon anaiba anaiba mifupa ya nyumbu.
2:ule mmbu...
Pisi aponi tu yu.
Kwa miaka mingi methali na semi za kiswahili zimekuwa nyenzo fikirishi ya kujifunzia,kuonya kutahadhalisha na hata kuburudisha.
Lakini sasa naona maendeleo ya teknolojia kama...
TUSHAANZA KUTISHANA.
1)Ile ni siku ya kwanza,tulidhani yamepita.
Kumbe mwanzo yalianza,bunduki kwenye utata.
Kwa lipi tunajifunza,ama mapito twapita.
Tushaanza kutishana,katika kisiwa hiki...
Mada hii inalenga kukuwezesha:
(a) Kufafanua maana ya neno "utafiti"
(b) Kueleza historia fupi ya utafiti katika bara la Afrika
(c) Kuorodhesha vifaa vinavyopaswa kuwepo ili utafiti ufaulu
(d)...
ELIMU AU MAIGIZO?
Uhakiki wa Sera ya Lugha Katika Elimu Tanzania
Z.S.M. Mochiwa katika Kioo cha Lugha 2,1996/97:41-58
Z.S.M.Mochiwa katika kuhakiki sera ya elimu katika Tanzania anaeleza...
Kila ninapotazama mbele –tuseme miaka 20 ijayo – kuhusiana na lugha yetu ya Kiswahili, naona tunakoelekea kama taifa si kuzuri sana.
Zamani ilizoeleka utani kwa watu wa kanda ya ziwa ambao kwa...
Karibia maana halisi na majina ya maeneo mbalimbali hapa nchini Tanzania tayari nimeshapata ' Kiini ' chake ILA mpaka hii leo naandika huu ' uzi ' sijapata maana halisi ya hili neno la eneo...
Kipindi tukisoma msingi na sekondari tuliimizwa sana kuifahamu lugha yetu vyema pengine na bakora zilikuwa zikitembea lakini yote hiyo ni kukufanya uelewe. Ukijiuliza namna ulivyokuwa ukijifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.