Kwenye Kiswahili hakuna neno "kupelekea".
Hili ni moja ya maneno yaliyopata mashiko siku hizi
lakini ukweli ni kuwa hiyo ni "broken language".
Mfano:
1. Tatizo hili limepelekea kila mtu...
kutokana na jina hili kuwa maarufu TANZANIA,ni jepesi kulitamka hata watoto wadogo wamelishika haraka na kulitamka kama BASITE licha ya hivyo ni neno lenye tafsida linalobeba maana nyingi...
WanaJF naomba mnisaidie, mfano sentensi ifuatayo nitaibadilije iwe ktk lugha ya kiingereza?
Baba! Mimi ni mtoto wako WA ngapi?
Ni hilo tu, asanteni.
Naomba kuwasilisha.
Mara nyingi mtaani utasikia watu wakisema, “Jamaa anapiga slang si mchezo.”
Wengi hudhani “slang” ni Kiingereza cha Kimarekani.
Lakini maana halisi ya “slang” ni lugha ya mtaani. Ni ile lugha...
Tumezoea sana kutumia neno "darubini" kwa maana ya kifaa kinachotumika hospitalini kwa ajili ya kuchunguzia vijidudu.
Lakini ukweli ni kwamba, hiyo si "darubini" bali ni "hadubini". Tazama picha...
Katika mambo ya utawala na menejiment (administration and management), kuna istilahi mbalimbali zinazohusika ambazo huenda hazijajulikana kwa wengi. Kwa mfano:
1. Mrejewa – referee...
Naomba kwa wataalamu ya lugha ya kiswahili na kiingereza wanisaidie kunipa tafsiri ya kina ya maneno yafuatayo:
1. FORESIGHT
2. INNOVATION
3.CATALYST
Nawakilisha
Mtu wa Tanzania anaitwa Mtanzania. Je, wakutoka hapa wanaitwaje kwa Kiswahili sanifu?
1. Finland
2. Thailandi
3. Urugwai
4. India
5. Afughanistani
Kiswahili kina maneno mengi ambayo...
Sijui kama na wewe unapenda mashairi (poetry) kama mimi. Ngoja nikuwekee shairi moja la William Blake liitwalo A Poison Tree, yaani Mti wa Sumu. Nimejaribu pia kuweka tafsiri yake kwa Kiswahili...
Kila fani ina msamiati wake (jargon).
Yafuatayo ni baadhi ya maneno yanayotumika kwenye saikolojia:
1. Fakali (faculties)
2. Haiba (personality)
3. Fadhaa (neurosis)
4. Kumbukumbu limbiko...
¡Hola amigos,Estoy aprendiendo el idioma español desde hace un año. ¿Hay alguien aquí interesado en intercambiar comunicación en español?
Por favor, hágamelo saber.
Saludos,
Belinda
NGUVU MWISHO WA AKILI.
1>alipewa mwanadamu,mnyama zake ni pungufu.
Toka zama zama damu,zama zisizo na harufu.
Wote twende zamu zamu,ndivyo ataka raufu.
Nguvu mwisho wa akili,wajinga hawatambui...
Wadau mi nipo Dar nafuta mtu au mahala ambapo naweza kufundishwa lugha za kiarabu na kingereza.
Hivyo anayeweza kunisaidia ktk hilo naomba msaada wake.
Ikiwezekana tuwasiliane.
+255 716 453 548
Habari wakuu,tukumbushane kidogo kuhusu maandiko juu ya kichwa cha mada hapo juu..
Je ipi ni dhambi kutokana na maandiko na amri za mungu..?!
Karibu kujifunza..
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Kwanza
MTUNZI:ENEA FAIDY
Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.