Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kwenye Kiswahili hakuna neno "kupelekea". Hili ni moja ya maneno yaliyopata mashiko siku hizi lakini ukweli ni kuwa hiyo ni "broken language". Mfano: 1. Tatizo hili limepelekea kila mtu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kutokana na jina hili kuwa maarufu TANZANIA,ni jepesi kulitamka hata watoto wadogo wamelishika haraka na kulitamka kama BASITE licha ya hivyo ni neno lenye tafsida linalobeba maana nyingi...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Mama nimeshakua.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF naomba mnisaidie, mfano sentensi ifuatayo nitaibadilije iwe ktk lugha ya kiingereza? Baba! Mimi ni mtoto wako WA ngapi? Ni hilo tu, asanteni. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mara nyingi mtaani utasikia watu wakisema, “Jamaa anapiga slang si mchezo.” Wengi hudhani “slang” ni Kiingereza cha Kimarekani. Lakini maana halisi ya “slang” ni lugha ya mtaani. Ni ile lugha...
1 Reactions
48 Replies
6K Views
Tumezoea sana kutumia neno "darubini" kwa maana ya kifaa kinachotumika hospitalini kwa ajili ya kuchunguzia vijidudu. Lakini ukweli ni kwamba, hiyo si "darubini" bali ni "hadubini". Tazama picha...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Katika mambo ya utawala na menejiment (administration and management), kuna istilahi mbalimbali zinazohusika ambazo huenda hazijajulikana kwa wengi. Kwa mfano: 1. Mrejewa – referee...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kwa wataalamu ya lugha ya kiswahili na kiingereza wanisaidie kunipa tafsiri ya kina ya maneno yafuatayo: 1. FORESIGHT 2. INNOVATION 3.CATALYST Nawakilisha
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mtu wa Tanzania anaitwa Mtanzania. Je, wakutoka hapa wanaitwaje kwa Kiswahili sanifu? 1. Finland 2. Thailandi 3. Urugwai 4. India 5. Afughanistani Kiswahili kina maneno mengi ambayo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CHENZA kwa kiingereza huitwaje????
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Sijui kama na wewe unapenda mashairi (poetry) kama mimi. Ngoja nikuwekee shairi moja la William Blake liitwalo A Poison Tree, yaani Mti wa Sumu. Nimejaribu pia kuweka tafsiri yake kwa Kiswahili...
1 Reactions
2 Replies
896 Views
Kila fani ina msamiati wake (jargon). Yafuatayo ni baadhi ya maneno yanayotumika kwenye saikolojia: 1. Fakali (faculties) 2. Haiba (personality) 3. Fadhaa (neurosis) 4. Kumbukumbu limbiko...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
¡Hola amigos,Estoy aprendiendo el idioma español desde hace un año. ¿Hay alguien aquí interesado en intercambiar comunicación en español? Por favor, hágamelo saber. Saludos, Belinda
3 Reactions
204 Replies
17K Views
NGUVU MWISHO WA AKILI. 1>alipewa mwanadamu,mnyama zake ni pungufu. Toka zama zama damu,zama zisizo na harufu. Wote twende zamu zamu,ndivyo ataka raufu. Nguvu mwisho wa akili,wajinga hawatambui...
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Heshima kwenu wakuu Nipeni tofauti ya maneno haya KUPENDA na KUTAMANI maana nashindwa kuyatofautisha vizur msaada please kwa anae fahamu.
1 Reactions
5 Replies
995 Views
Wadau mi nipo Dar nafuta mtu au mahala ambapo naweza kufundishwa lugha za kiarabu na kingereza. Hivyo anayeweza kunisaidia ktk hilo naomba msaada wake. Ikiwezekana tuwasiliane. +255 716 453 548
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wakuu,tukumbushane kidogo kuhusu maandiko juu ya kichwa cha mada hapo juu.. Je ipi ni dhambi kutokana na maandiko na amri za mungu..?! Karibu kujifunza..
1 Reactions
45 Replies
30K Views
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Kwanza MTUNZI:ENEA FAIDY Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
5 Reactions
71 Replies
50K Views
Back
Top Bottom