Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
nlikua nafanya application nkakuta na hii sentesi "Seeks accommodation" na inatakiwa kuchagua 1.Yes if available 2.No Sasa mimi ninataka kuomba chuo hicho na nipatiwe na malazi chuoni je nichague...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Naombeni kuelimishwa ni kama tunachanganya Sana katika kuyatumia haya maneno Ninyi, Nyinyi, Wote, Nyote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Habari za humu JF wadau, Naomba tofauti kati ya maneno haya mawili: kukaimisha na kukasimisha. Kama hujui tafadhali usichangie.
0 Reactions
13 Replies
12K Views
You think you know English better? Well, here's a test for you.. Apart from 'SALARY' write any other ENGLISH word that starts with 'S' and ends with 'Y'... Your time starts Now... DON'T CHEAT -...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ni muda sasa huu msemo unanichanganya pia nashindwa kuelewa maana halisi ya msemo huu. nawaomba nyie wajuzi wa hii lugha mnieleweshe vizuri
1 Reactions
30 Replies
7K Views
KWANZA SALAM, Nimejiuliza bila majibu nini maana ya uchochezi? spika makinda amekataa hotuba ya kambi ya upinzini isiingie kwenye hansad kwakuwa eti imejaa uchochezi sasa nikawa najiuliza...
0 Reactions
97 Replies
19K Views
Ukizunguka Dar na mikoani utaona maduka mengi ya vifaa vya shule na maofisini vimeandikwa Stationary badala ya Stationery. Haya ni maneno tofauti kabisa. Rekebisheni hizo lugha.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi kweli tafsiri sahihi ya differentiate Y with respect to X ni tofautisha Y na X ,heshima zote kwa X? On a serious note ukizingatia central role of mathematics in science je lugha kiswahili...
0 Reactions
4 Replies
926 Views
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa wataalamu wa lugha na misemo ya Kiswahili, msemo unaosema "Binamu nyama ya hamu" huwa una maanisha nini? Karibuni kwenye jukwaa kwa michango.
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Naomba kufahamishwa jina la mhudumu wa hospitali wa kiume kwa jina la taaluma yake, kama wa kike ni nurse je wa kiume ni nani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Huu ni msemo unaokuja kwa kasi apa mjini au naweza kusema ndo habari ya mujini kwa sasa, Founder wa jina hilo ni mwanadada riyama ally(muigizaji) na maana halisi ya neno hilo ni rafiki/ shoga/best...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wana bodi naomba kujuzwa maana halisi ya BANDIDU.,maana nasikia kuna JASILI na KAKAMAVU. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Yalionikuta leo huko kwenye duka moja nilipofika hapo dukani nikauliza bidhaa niliokua naitafuta kwa muda mrefu madukani lakini duka hilo nimeikuta tena ndio ilibaki hiyohiyo moja tu katika...
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Habari zenu wadau ,hope mnasonga salama. Naomba kufahamu kwa wenye uelewa juu ya neno mrahaba kama linavotumika sehemu mbalimbali. Mimi sijawahi kukutana na hili neno huko shuleni. Mwenye...
1 Reactions
21 Replies
20K Views
Kichwa cha habari chajielza Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MSIWATUSI WAHENGA. 1)Kama hupendi jinyonge,Ujumbe nakutumia Ukwingie ukugonge,ukipenda weza lia Na useme na uchonge,tungo sitoifumbia Msiwatusi wahenga,kwa zo picha za ajabu. 2)Leo nawapa...
3 Reactions
5 Replies
929 Views
Habari za leo. Napenda kuwapa rai ndugu zangu. Najua sisi sote humu ndani ya hili *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza...
9 Reactions
36 Replies
5K Views
Back
Top Bottom