nlikua nafanya application nkakuta na hii sentesi
"Seeks accommodation"
na inatakiwa kuchagua
1.Yes if available
2.No
Sasa mimi ninataka kuomba chuo hicho na nipatiwe na malazi chuoni je nichague...
You think you know English better?
Well, here's a test for you..
Apart from 'SALARY' write any other ENGLISH word
that starts with 'S' and ends with 'Y'...
Your time starts Now...
DON'T CHEAT -...
KWANZA SALAM,
Nimejiuliza bila majibu nini maana ya uchochezi? spika makinda amekataa hotuba ya kambi ya upinzini isiingie kwenye hansad kwakuwa eti imejaa uchochezi sasa nikawa najiuliza...
Ukizunguka Dar na mikoani utaona maduka mengi ya vifaa vya shule na maofisini vimeandikwa Stationary badala ya Stationery.
Haya ni maneno tofauti kabisa. Rekebisheni hizo lugha.
Hivi kweli tafsiri sahihi ya differentiate Y with respect to X ni tofautisha Y na X ,heshima zote kwa X? On a serious note ukizingatia central role of mathematics in science je lugha kiswahili...
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa...
Naomba kufahamishwa jina la mhudumu wa hospitali wa kiume kwa jina la taaluma yake, kama wa kike ni nurse je wa kiume ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni msemo unaokuja kwa kasi apa mjini au naweza kusema ndo habari ya mujini kwa sasa, Founder wa jina hilo ni mwanadada riyama ally(muigizaji) na maana halisi ya neno hilo ni rafiki/ shoga/best...
Yalionikuta leo huko kwenye duka moja nilipofika hapo dukani nikauliza bidhaa niliokua naitafuta kwa muda mrefu madukani lakini duka hilo nimeikuta tena ndio ilibaki hiyohiyo moja tu katika...
Habari zenu wadau ,hope mnasonga salama.
Naomba kufahamu kwa wenye uelewa juu ya neno mrahaba kama linavotumika sehemu mbalimbali.
Mimi sijawahi kukutana na hili neno huko shuleni.
Mwenye...
MSIWATUSI WAHENGA.
1)Kama hupendi jinyonge,Ujumbe nakutumia
Ukwingie ukugonge,ukipenda weza lia
Na useme na uchonge,tungo sitoifumbia
Msiwatusi wahenga,kwa zo picha za ajabu.
2)Leo nawapa...
Habari za leo. Napenda kuwapa rai ndugu zangu.
Najua sisi sote humu ndani ya hili *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.