Money ni kingereza, fedha asili yake ni kiarabu, hela ni kijerumani, pesa ni kireno. Shilingi na noti ni kingereza. Kwa kiswahili asilia money ni nini.
Umasikini wetu unaanzia hapo!
Na ukiona...
Kama swali nilivyouliza hivi hili neno kigogo linamaanisha nini?
Na ili mtu uwe kigogo unatakiwa kuwa na sifa zipi,?
Na huo ukigogo ni Cheo au neno tu la kumkuza mtu furani?
Note...
Mke mmoja hatoshi,sisemi alimradi
Nawala sibahatishi,kama wachimba migodi
Ngoja endezake moshi,ukung'utwe na baridi
Mke mmoja hatoshi,jikusuru na wawili.
Kama utakapo huba,basi ongeza idadi
Taona...
As explained above anybody whom knows a meaningful of that word bellow in swahili may help please
[emoji116][emoji116][emoji116]
(Alley_____)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamfano utamkuta mwamke kazaa anabadilishwa Jina lake nakuitwa Jina la mtoto wake aliomza upi usahihi wa kuitwa kwa mfano mwanawe Jina: AMINA:
1: mama amina
2: maa amina
3: mama yake amina
4...
Sabalkheri wana Jamii Forums?.
Ni mara kadhaa umewahi kusikia, ama kusoma mahali fulani usemi huu, "Mimba za utotoni". Inawezekana kabisa wanaolitumia neno hili "Utotoni" ama hawana ufahamu...
Naomba nisaidiwe kutafsi maneno hafuatayo kwa lugha ya kiingereza:
i. ASTASHAHADA.
ii.STASHAHADA
iii. SHAHADA
iv. SHAHADA YA UZAMILI
v. SHAHADA YA UZAMIVU
Natanguliza shukrani
Kuna utata kidogo umejitokeza katika kuandika barua za Kikazi hasa upande wa kichwa cha habari.
Mfano kampuni X inatangaza Nafasi kumi za kazi andika barua kuomba nafasi hizo Je Kichwa cha habari...
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii...
Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amelitaka Baraza la Kiswahili la Taifa(BAKITA) kuongeza kasi ya kusimamia maendeleo ya Kiswahili Kimataifa...
Lugha zilianza vipi, ni jambo ambalo halifahamiki. Labda rejea pekee ni kwenye Biblia na kisa cha mnara wa babeli. Hakuna anayejua hasa, Adam na Eva walizungumza lugha gani. Huenda ni vigumu kujua...
Habar wakuu,natanguliza shukran zangu kwenu wana jamvi.naomba kujuzwa maana ya nahau izi (1)kaa chonjo (2)kaa mkao wakula (3)omba radhi (4)piga mayowe .
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.