Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Uhuru ni wako funguka kilugha unaweza kukutana na akupendaye kwa kilugha yako!
3 Reactions
149 Replies
14K Views
Neno 'chattle' nimeona likitumika kwa kasi hapa ukumbini ni maana yake? Ni nani alianzisha?
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Moja kwa moja kwenye mada; Naombeni mnisaidie haya maneno nitayaandikaje kwa kifaransa,nataka nimtumie sms "mapenzi ni kama ajali,huweza kutokea sehemu yeyote ile.Moyo wangu umejawa na furaha ya...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Washwahili wana msemo usemao huwezi kuogopa kinyago ulichokichonga mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wana JF natumai mko poa, Hivi kuna tofauti gani kati ya dream na nightmare?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
PAST CONTINUOUS TENSE (ULIOPITA HALI YA KUENDELEA) Hii TENSE inahusisha tendo lililotendeka kwa wakati uliopita lakini bado tukio likiendelea kutendeka...
0 Reactions
26 Replies
17K Views
Kwamfano: utamsikia kondakta anauuliza mteja wake anaesafiri maneno yafuatayo lipi lipo sahihi @ unakwenda @ unakwenda wapi @ twende @ tuondoke Au yeye atangaze kule unapokwenda ule usafiri wake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kipi kiswahili fasaha cha kumwambia mtu aliyekutu ukamwitie mtu halafu huyo mtu uliotumwa hukumuona Utakuja kumwambia jibu lipi kati ya haya hapa (A) sikumuona (b) sikumkuta (c) nimemkuta hayupo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
COMENT CHOCHOTE HATA SHAIRI LENYE KULENGA UGUMU WA MAISHA, HALI HALISI MITAANI! NAANZISHA : Kifo cha maji kushoto, Kulia Kifo cha moto: Kukubali, kukataa, Kila moja ni balaa! Kote uko...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Hayo maneno matatu mipaka yake ni IPI na nini tofauti yake. Ujasusi Ukachero Ushushushu Na Tanzania tuna wote hao?
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Habarini wana JF, Natumai ninyi ni wazima , naomba msaada kwa anaefahamu methali tano kwa lugha ya kichagga zinazomuhusu mwanamke na maana zake, ASANTENI
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, Naomba mnijuze hili neno kapuku linamaana gani humu JF maana kule kwetu Nyamalonda neno kapuku mtu asiejua lolote yani yupo yupo tu. Sasa wadau sielewi mnijuze. Sent using...
1 Reactions
15 Replies
9K Views
Naomba kutofautishiwa haya maneno Cock, hen na chicken yanatofautianaje? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
3K Views
habari za majukumu wapendwa! kama nitakuwa nimekosea jukwaa basi niwatake radhi kwanza. ila kama ni sahihi basi niendelee na swala langu hili hapa chini. neno "TOKA NJE au TOKA NDANI" huwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hamjambo wana JF wenzangu? Mimi nina swali, kama television huitwa runinga kwa kiswahili na decoder huitwa king'amuzi, je remote control inaitwaje kwa lugha ya kiswahili? Karibuni Saranga Dar!
0 Reactions
24 Replies
34K Views
Je neno Maiti liko katika ngeli ya 'a- wa' au 'i-zi'?
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Waispañola kama mpo sio mbaya tukabadilishana uzoefu na application nzuri nzuri za kujifunzia na kukazia pale tulipo, bienvenido todos en este la bueno grupo! Muchas gracias.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Tafadhari kwa wale wataalamu wa lugha naomba tafsiri sahihi ya neno "Adam's Apple" kwa kiswahili na neno "mawazo"in English
0 Reactions
2 Replies
5K Views
1. Wastaala msumbuki, wa mbili hawavai moja. 2. Hala hala, mti na macho.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom