Ndugu zangu nianze kuwasalimu kwanza hamjambo humu shida yangu ni kupata maana na tofauti kati ya maneno yafwatayo Sports na Entertainment ni maneno yanayo nichanganya sana ndo maana nimekuja...
Guys I would very much appreciate to have a soft copy of any poem book particulary those written by famous East African writers? I do remember some of them such as "After 4.30"."Son of a...
Wahenga husema ukimuua nyoka lazima ukate kichwa chake. Ukisha uchimbe mashimo mawili moja fukia mwili wa yule nyoka.
Na lile shimo la pili fukia kile kichwa cha yule nyoka.
Kama hujakikata kile...
Poleni na mihangaiko ya kutwa wana JF,
Naombeni mnisaidie maana ya neno mfawidhi.
Huwa lina maana gani maana huwa nakutana nalo sana hospitalini chumba kimeandikwa mganga mfawidhi pia mahakamani...
Wataalamu naomba msaada maana ya neno ufundi mchundo
========
Mkandarasi ni fundi mwenye taaluma ya juu kuliko mafundi wengine wa ujenzi wakiwemo wakandarasi wa barabara wanaofahamu vitu na...
Tafsiri ya kiswahili ya jina la wimbo huo wa Patoranking na diamond platnumz-Love you die , ni ipi?
Kwa tafsiri yangu ni "nakupenda.kufa" au "die" ni kinigeria kama wanavyozoeleka kuongezea "-oo"...
Kwani kuna makabila fulani yanapenda sana kutamka kwenye Maneno yanayoanzia na herufi :"m" wao huweka herufi : "N" sasa sijui wao ndio wapo sahihi au laa
Kwamfano Maneno haya
Mkate: nkate
MTO...
Haya maneno mawili,yana tafsiri zinazoshabihiana kwa maana ya "kutoelewa". Unatakiwa kama kiongozi, kuwa makini unapoyatumia maneno hayo . Nijuavyo kazi ya kiongozi yeyote,ni kutoa mwanga au...
Hey Guys,
Wimbo mpya wa Ali Kiba 'Seduce Me' unabamba sana kwa sasa na kuna maneno kadhaa ya Kiingereza yametumika kwenye wimbo huo.
Nimeleta kwenu wajuzi wa lugha tusaidiane... Pale anaposema...
Kama mada inavyojieleza
Naona hapa Mwanza wasukuma hapa wana mambo ya kishamba
Wasukuma wa mwanza kwa ushamba wanaendekeza kuongea kilugha chao mbele ya mtu ambae hajui maana ya wanachokiongea...
Ni msemo maarufu sana katka jamii zetu, katika kufkria kwangu kote bado sijaweza kujua undani wa msemo huu au maana kamili.
- Je ni mafungu kwa maana kuna fungu la kwanza mtu hultumia tangu...
Habar wanajamvi..kuna maneno haya ya kiingereza huwa yananitatisa naombeni ufafanuzo ...profession, professional &professionalism haya maneno yanatumikaje ..kinomino na kitenzi au kishazi
Naomba...
Hivi karibuni neno kukurupuka limepata umaarufu mkubwa katika ulingo wa siasa, hasa viongozi wa upande wa upinzani. Najiuliza:
1) Ni nini maana halisi ya kukurupuka?
2) Ni katika mazingira yapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.