Mara nyingi sana tumezoea kuona vicharazio vizuri na vingi vikiwa katika lugha za kigeni,hii imesumbua sana wengi kwenye simu zao hata pale inapokuwa on kwenye auto orrection.
Wengi hulalamika...
FAHAMU KUHUSU TUNZO ZA USHAIRI TANZANIA
Kuanza kwake na dhumuni la kuanzishwa kwa tunzo hizo.
Taratibu,sheria na kanuni za kumpata mshindi
Nusra M. Haji...
Wajuzi wa lugha hili neno linatumiwa sana na wadau mbalimbali,hivi nini hasa tafsiri yake?na je ni wakati hutakiwa kutumika?Je twaweza kutoa mifano?
Aksanteni
Habari za majukumu ndugu zangu,
Nimekuwa nikijiuliza faida ya vitendawili, ngano, methali na lugha nzima ya kiswahili kwa ujumla ni nini mpaka imekuwa lugha ya taifa? Amini usiamini lugha ya...
Nimevutiwa na na hili neno wakuu,nimelikuta hapa hapa JF na maana yake nimeijulia hapa..
Juzi nimejaribu kumwita rafiki yangu kwa jina hili, akaniambia tena yeye ni kilaza haswa, nikamuuliza...
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na hii dhana ya uchochezi hasa kupitia mitandao ya kijamii. Dhana hii sasa imekuwa ni kibano kikali kwa watoa maoni wote katika mitandao na wengi wetu...
Nkekuwa nasikia mara nyingi neno kuhonga likitumika sana utasikia gari lile mbona kahongwa au simu ile kahongwa tu hana lolote kwa anayejua maana yake.[emoji122]
Wakuu wa jukwaa, wakubwa kwa wadogo habarini, nimekaa nmetafakari sana nmeshindwa kupata jibu na kung´amua kiundani. Tafadhari ninaomba mnisaidie kwa faida yangu, kizazi hiki na kijacho.
Nini...
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda...
Bado unasema Kiswahili ni lugha nyepesi eti kwa kuwa tunaelewana tu!!!?Tazama.......
KIINGEREZA------KISWAHILI
Device-------------Kitumi
Photocopier------Kinukuzi...
Duplicating Machine --Kirudufu...
*Pa Pa Pa*
(Kimya)
*Pa*
- Kezilahabi, 2008 [Kwenye Diwani ya Dhifa]
*Tafakuri Fupi Juu ya Shairi Hilo*
Ushairi ni taaluma kama taaluma nyingine tanzu. Maudhui katika Ushairi...
POLE TUNDU LISU.
1)Maisha ya mwanadamu,yamejawa na mikasa
Mirahisi na migumu,mapito mengi na visa
Inapomwagika damu,nchi inajitikisa
Pole sana ndugu Lisu.
2)Ulihamka salama,kazini kuelekea...
1. Fumbo ninawafumbia, wajuaji mfumbue,
Ni siri nawaambia, werevu na wategue,
Ni swali nawarushia, Malenga jitutumue,
Ndege huyu ndege gani, Na makinda yake mia?
2. Apendeza kama nini, hilo...
Habari za muda ndugu, jamaa na marafiki? Mada tajwa ni swali tosha kuwakamata kidato cha nne, cha sita na hata wanazuoni ambao wamewekeza katika elimu, hususan lugha ya kiswahili. NECTA, TUKI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.