Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari wapendwa, Nahitaji kujua neno sahihi kwa nafasi iliyoachwa wazi katika sentensi ifuatayo ni lipi! "Ukimya wako..................utakaokuponza" (ndio, ndiyo) Je neno sahihi hapo ni ndio...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi ni sahihi kwa kiongozi yeyote yule kupotosha lugha? Au ndo anaikuza labda tuambiwe...mara "nawafanzia" kazi, mara "kubomoleshwa", hii misamiati iko kwenye kamusi ya TUKI?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BINTI SISO 1)Ukweli toka moyoni,kuvumilia siwezi Ameingia rohoni,kanifanya kuwa chizi Ila shida masikini,ngemfata mpaka Swazi Huyu binti binti Siso,Kumwambia natamani. 2)Kumwambia natamani,nataka...
0 Reactions
4 Replies
986 Views
Zawadi Lupelo Wanajamvi salamu kwanza! Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna...
31 Reactions
298 Replies
56K Views
Sikuwahi kufahamu kuwa katika kiswahili kuna neno linaitwa mubashara, likimaanisha "matangazo ya moja kwa moja yaani live". Jana kwa mara ya kwanza nilivyoona hilo neno chini ya nembo ya ITV...
13 Reactions
261 Replies
66K Views
Habari za mchana wana JF, Wakati nikiwa napambana na hali yangu nimewaza tu out of curiosity maana na asili ya maneno maarufu ya MAMBO na POA. Mara nyingi yamekua yametumika na watu zaidi mijini...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari zebu wadau wa lugha. Naombeni kujua ni lipi neno sahihi kati ya haya: 1- BAADHI. 2- BAAZI. ipi ni sentesi sahihi nikisema. A) BAADHI yenu hamjaoa/hamjaolewa. B) BAAZI yenu hamjaoa/hamjaolewa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Thibitisha kauli hii na toa sababu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepitia media kadhaa hasusani Azam tv nimeona huu msamiati MBASHARA na MUBASHARA je neno lipi ni sahihi hapa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
naitaji marafiki wanaojuwa kuongea na kuwandika kifaransa no yangu 0713503753
0 Reactions
2 Replies
631 Views
Lugha ya kiswahili ni moja kati ya lugha zinazoendelea kukua kwa kasi na kusambaa duniani huku mataifa mengi yakianza kujikita katika lugha yenye utamu katika mazungumzo. Lugha ambayo inavutia...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Salaam wakuu Mimi ni kijana wa kiume nipo moshi. Hivi karibuni nimepata mwaliko wa kwenda moja wapo ya nchi ya Ulaya. Tatizo langu kiingereza nachozungumza kimejaa makinikia kibao, in short my...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Hizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na baadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona 1. 2.ngassa 3.mwalimu wa diamond 4. 5.
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari wanajamii naomba kufahamu tafsiri ya neno "owe" naona linamatumizi mazuri katika lugha ya kiingereza ila kwenye lugha yetu ya Kiswahili sifahamu tafsiri yake, kwa yeyote mwenye kujua...
2 Reactions
29 Replies
9K Views
kwanza ametandika KANGA mezani ili kureflect culture ya mswahili, halafu anazungumzia terminology za kiswahili sana kama MTANDIO. SWALI FIKIRISHI: Hivi culture ya mtanzania ni mitandio na kanga au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu Leo nilitembelea kwa mjomba wangu Aisee sasa nilimsubiri kwa kitambo kweli akawa amerudi akamtuma mwanae mkubwa tu wakati anavua viatu na kumwambia ''niletee kandambili zangu" mwanae...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Helo, Nataka kujifunza kichaga, sijui kabisaa. Napenda kujua kichaga, huku kilipo watu huniita mangi, mara mchaga kisa natokea Kaskazini. Natakankujua na kichaga. #ruksa kunikosoa
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wakuu natamani kujua Lugha nyingi sana Mpaka sasa natamani kujifunza Kifaransa, Kirusi na Kichina je Nianze na lugha ipi ambayo ni Simple kumaster?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimeangalia mtandaoni naona majibu hayaendani na context. Naambiwa ni befell, disaster, destiny, tragedy na accident. Msiba naomaanisha ni wa kufariki mtu moja tu, kwa Kiingereza tunasemaje...
0 Reactions
12 Replies
17K Views
Back
Top Bottom