Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kila kunapokucha kiswahili kinasisitizwa sana kiwe lugha ya kufundishia kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu, Hiki kiswahili kitakupeleka wapi? Ili hali hata masomo ya art yameshapuuzwa? Wanafunzi...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Heri, Katika mapambano yangu yaku pata elimu somo la Kiswahili lilikua changamoto kwangu. Hivyo najifunza kila siku. Nini tofauti yake? " Kiswahili " na "Swahili". Wageni kutoka nje wata...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ninge penda kujua hili neno mitale na midimu, lina maana gani? kwa wasukuma. nalisikia sikia tu lakini sijui maana yake, pia kwa wa swahili mnao lijua maana yake, naomba kuwasilisha.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Mtu yoyote Au 2. Mtu yeyote Kiswahili kina changamoto tusaidiane.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Neno demu linapotumiwa kama. MTU wa jinsia ya kike ni sawa ama?????
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Certificate 2. Diploma 3. Degree 4. Post graduate 5. Masters 6. Phd Asante!
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Ninakumbuka hivi karibuni nilileta uzi wa kutaka kujuzwa njia rahisi ya kuweza kuzungumza lugha ya kingereza baada ya wadau kuchangia uzi huo miongoni mwao walishauri kwamba ni lazima kuweza...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari GTs, Naomba kujuzwa maneno: Zwazwa na hewallah yana maana gani nimekuwa nikikutana nayo kwenye maandishi JF lakini sielewi maana yake naomba kujuzwa. AHSANTENI
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Salaam wana JF Hivi kiswahili chetu kinaelekea wapi? Naona kadri siku zinavyozidi kwenda inaibuka misamiati ya ajabu ajabu hasa kwenye upande wa kiswahili cha kuandikwa Kuna hili neno "MUDA"...
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Wenye kufahamu maana ya neno Kaunti ambalo linatumika sana nchini kenya mnijuzi tafadhal
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Habari za hapa wana jukwaa la lugha wote. Naombeni mnijuze chuo kizuri hapa Arusha kinachofundisha lugha ya kihispania. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huwa na tamani sana kuona vijana wakionyesha waledi wao katika kutambua herufi za Maneno magumu/ vocabularies kwa lugha ya kizungu. Spelling Bee kwa wenzetu imewasaidia vijana wadogo kuweza...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
1)Mabadiliko ni mimi,wewe sisi na wao Mabadiliko si ndimi,ulimi sema vya kwao Mabadiliko si ngumi,na kupigana na wao Vijana youthi asembli,chanzo cha mabadiliko. 2)Vijana ndo nguvu kazi,kijana so...
1 Reactions
4 Replies
830 Views
Heshima kwenu wakuu, Naomba kufahamishwa tofauti ya maneno haya mawili, Mwambao na Pwani.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nini maana ya maneno haya wakuu Mgaagaa na upwa hali wali mkavu Yaliyopita si ndwele tugange yajayo Nini maana ya ndwele na upwa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu napenda kuuliza kama kuna utofauti wa kimaana kati ya script (katika filamu) na screenplay au ni vitu vinavyofanana? Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisaidie wakuu tofauti ya hayo maneno maana yananichanganya
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Akisafiri mzaramo kaenda ngomani ila akisafiri mchaga kaenda kusalimia wazee.NOTED. Picha haihusiani na msemo huo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanabodi naomba kujua SAMAKI MDOGO kwa kiingereza anaitwaje? Watu wa ngeli twende sawa hpo tafadhali[emoji56]
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati nipo advance riwaya zangu tamu za muda wote zilikua ni île ya vuta n'kuvute ya shafih adam shafih na île ya usiku utakapo kwisha ya mbunda msokile, vilevile cwezi kuiweka kando riwaya ya f...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Back
Top Bottom