Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kama mtu aliyekulia nje na mwenye nia ya kuboresha Kiswahili changu, si nikaamua ninunue novels za Kiswahili ili zinisaidie. Yaani nimefungua tu ukurasa wa kwanza nikakutana na hilo neno hapo juu...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni!.. Nina tatizo ambalo lanisumbua kuhusu logging in ktk account yangu ya jamii forum kwa kutumia PC yapa 2 months kwa sasa.. Mwanzo niliongeza security ya account yangu kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wajuzi wa lugha ya kiswahili naomba mnifafanulie maana ya haya maneno.takatifu na tukufu.natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The map below shows how long it takes to learn almost 70 different languages, estimated by the Foreign Service Institute, which teaches these languages to would-be or current diplomats. Countries...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima. Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Mtu aliyenusurika na ajali ni sahihi kumuita "mhanga wa ajali"?
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Kishtobe Sakala Mento
0 Reactions
170 Replies
34K Views
Habari za majukumu wakuu nimesomea korea kaskazini miaka mitatu lugha yao mimi ndio nikawa genus wa korea kaskazini sasa nimerudi tanzania kuja kuchukua kozi ya kiswahili tena maana nimeanza...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kiswahili kina changamoto usipo jifunza kila siku utashangaa hata wewe mzawa kina kushinda. Kuna utofauti gani kati ya meneno haya . Kunenepa naku nawili. Karibu!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ya leo wataalamu wa Kiswahili. Leo asubuhi nimemsikia Mwanazuoni mmoja wa Kiswahili ambaye hushirikiana na Radio Clouds akisema kwamba neno "Sitirifu" maana yake hali ya usiri. Binafsi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Napenda sana kuangalia movie za kitanzania na kuzifurahia ila kuna kitu kinanisikitisha mno. Kitu hicho ni tafsiri za kiswahili kwenda kiingereza.Wanaotafsiri sijui wanaokotwa wapi kwani...
1 Reactions
0 Replies
796 Views
Huwezi kupiga mluzi wakat unatafuna karanga[emoji9] [emoji9] [emoji9]
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sheria na Amri
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jali sana mwili wako maana ni sehemu pekee unayotakiwa kuishi[emoji108][emoji108][emoji108]
2 Reactions
3 Replies
7K Views
Sote tumekuwa tukisikia na kutumia jina KAMANDA, Je nini maana yake? na ni nani hasa walengwa wa matumizi ya neno hilo? Je ni sahihi kulitumia neno hilo nje ya matumizi yake? Kama kuna mbadala wa...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Up held ni neno gumu kwa wa Tanzania, baada ya kuangalia matangazo ya TV za Kenya zilionyesha kuwa uchaguzi wa Kenya umekuwa up held, wa Tanzania wengi ama kwa kutokufahamu ki english, kulitokea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau hali vipi?Poleni kwa majukumu ya kila siku. Moja kwa moja nawasilisha swali ambalo kwa muda sijapata jawabu lake.kuna huyu msemo ambao wanamuziki wanapenda kuutumia sana "kumwaga radhi"...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mafanikio ni kupata unachokitaka Lakini Furaha ni kutaka unachokipata[emoji122][emoji122][emoji122]
0 Reactions
2 Replies
6K Views
"Language is pure human".discuss
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Back
Top Bottom