Naomba kupewa ushirikiano hapa.
Naona style mpya ambayo risala na wasifu wa marehemu huandikwa na kusomwa mbele ya umma msibani tofauti na tulivyozoea.
Hili nimeliona ndani ya kanisa Katoliki...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama unakumbuka hapo awali neno maarufu lilikuwa ni utaisoma namba, ilikuwa tu ukikosea kitu na ukijichanganya kitu fulan watu walikuwa wanasema utaisoma...
Nimewahi kusikia msemo "the guilty are afraid". Naomba yeyote awezaye anipe tafsiri ya huo usemi. Na ikiwezekana, anifafanulie kwa kutoa mifano. Asanteni.
Ninasikitika sana mtanzania kumcheka mtanzania mwenzake eti hajui kiingereza huku akijua fika kiingereza nchini ni marufuku mpango huu upo kwa makusudi ili mtanzania asiwe na uelewa mpana wa elimu...
Humu JF kuna wataalamu wengi sana wanaojua vizuri English japo kuwa hawajaishi nchi zinazoongea English kama lugha ya taifa hivyo tunaweza peana mbinu za kumudu hii lugha.
Mimi Kwa uzoefu wangu...
If something has gone to the dogs, it has gone badly wrong and lost all the good things it had. Example Tanzania has gone to the dogs-Maana yake tumepoteza sifa nzuri ambazo zilitambulisha...
Napenda sana niweze kuongea kiingereza lakin tabu inakuja namna ya kuunga maneno ili yalete maana kama kuna mtu anaweza anisaidie maana nakosa fursa nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mutabaruka – Dis Poem Lyrics
This poem
Shall speak of the wretched sea
That washed ships to these shores
Of mothers cryin for their young
Swallowed up by the sea
This poem shall say nothin new...
Weep not child,
Weep not my darling,
The ravening clouds shall not be victorious,
They shall no longer posses the sky.
Discuss;
Who is the child?
Who is the darling?
Who is/are the ravening...
Habari Wadau.
Kwa kutambua kuwa tunao wasomi,
Wajuzi na Wabobezi wa Lugha anuai humu ndani,
Nachukua fursa kuomba nipewe shule ya maneno linganifu yaliojibebea umaarufu wa kutosha katika...
SOCIALISM: You have two cows, and you give one to your neighbor.
COMMUNISM: You have two cows, the government takes both and gives you milk.
FASCISM: You have two cows, the government takes both...
Kuna Watu huwa wakiwa misibani hupenda kusema moja wapo ya neno hili kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambapo Kiukweli Mimi ambaye ni Mgeni hapa nchini Tanzania huwa nashindwa kujua nilishike...
Jamani nawasalimu wote kwa mujibu wa imani ya kila mtu.... kama sitakuwa nimekosea nahisi JF kuna thread nyingi zimeanzishwa kwa ajili ya movies wakishare movies walizonazo..
Baada ya kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.