Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Haya matunda yanaitwaje kwa lugha ya kabila lako
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Msaada; Nini maana ya neno au kikundi cha maneno UBWABWA WA SHINGO kwani Mara kadhaa nimewahi kulisikia pasina kujua maana yake Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
5 Replies
13K Views
1. Mafunzo kazini – on job training 2. Mafunzo tarajali – pre-service training 3. Mafunzo ya kujiendeleza – in-service/in-house training 4. Mhafidhina – conservative person 5...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau habari... Kwa dada zetu.., hv nini maana ya neno Demu, na vipi mnajisikiaje mkiitwa na wapenzi wenu demu.? Ufafanuzi please maana hili neno kwa kingereza lina maana nyingine ila kwetu naona...
0 Reactions
23 Replies
16K Views
SHIKAMOO inamaana gani kwenye salam? maana nimeona tofauti nyingi kwenye lugha tofautitofauti salam inapotoka huja au hujibiwa kama ilivopokewa.. mfano; assalaam aleykum.. hujibiwa waaleykum au...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
MBINGU, ANGA, JUA, NA UUMBAJI. Rejea mada yangu juu ya vitu sita ambavyo havikuumbwa na MUNGU. Wakati wakichangia mada yangu juu vitu sita ambavyo Mungu hakuviumba, watu kadha wa kadha Jamii...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Naomba kuuliza KANAKA ni neno la kiswahili? Kama ni neno la kiswahili lina maana gani? Nsanzi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wale wajanja wenzetu ambao lugha haziwapigi chenga aidha -Kiingereza -Kifaransa -Kihispaniola -Kireno -Kichina -Kiarabu -Kikorea Na mengineyo naomba mnisaidie kutafsiri baadhi ya nukuu hizi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Mafunzo kazini – on job training 2. Mafunzo tarajali – pre-service training 3. Mafunzo ya kujiendeleza – in-service/in-house training 4. Mhafidhina – conservative person 5...
1 Reactions
1 Replies
950 Views
eti wakuu kuna tofauti yoyote kwenye hayo maneno? karibu.
1 Reactions
26 Replies
18K Views
Maneno haya mawili yamekua yakitumika kwa kuingiliana. Mfano wathibiti ubora wa elimu, wadhibiti ubora wa bidhaa nk. Wengine wanatumia wadhibiti ubora wa elimu, wadhibiti ubora wa bidhaa. Je kipi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Màmboz wakuu humu ndani,habar za mida hii. Kwa wale wenzangu na mimi ambao bado ni wapenzi WA clouds redio Bila Shaka mtakuwa mmeshawahi kusikia ka kipind flan ambako huwa kanachomekewa asubuhi au...
4 Reactions
30 Replies
7K Views
Hili neno Tunu linamanishaga nini?
0 Reactions
6 Replies
27K Views
Haya si Mashindano Dr. Bigwa wa maandamano Wakashindwa mapatano Dr akayaaga Mashindano Dr. Naye akajiuzulu Mafisadi Msululu Wakiitaka Ikulu Udini kwenye hekalu Ikawa ya Mmoja mjinga Wanaogopa...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
*SANAA NI NINI ?* Kwa maelfu ya miaka sanaa imekuwa ikiendelea kushika uzito katika jamii nyingi za wanadamu huku ikiwa ni msaada katika jamii tofauti...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
KAMA KUPENDA NI SUMU 1)Mahaba usiniue,nifaidi penzi lakoPenziletu lichanue,niwe nawe peke yako Kwako peke nitulie,nisije kwacha mwenzako Mwenzako nisiumie, kukosa upendo wako Basi acha nizimie...
0 Reactions
3 Replies
930 Views
Uswazi ndiko misemo inakoibukia....cheki hii misemo na weka ya kwako..... Usijisifu una mbio, msifu na anaekukimbiza....... Fukara hafilisiki.... Ukijenga nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa...
0 Reactions
123 Replies
93K Views
Kuna aina mingi ya miti lakini mti hiyo inafahamika kwa majina mbalimbali. Mfano mti unawaza kuhufamu kwa jina la kiswahili au kitaalamu au kwa jina la kikabila. Naomba kufahamu mmea jamii ya...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimekuwa nikikutana na neno "BTW" kwenye nyuzi nyingi humu, ila nimeshindwa kujua maana yake naomba wazoefu was kulitumia hili neno wanisaidie kujua maana...
3 Reactions
111 Replies
18K Views
Back
Top Bottom