Kuna baadhi ya maneno kuelezea hali ya mazoea yatumika vibaya. Imekuwa mazoea sijui kama watu huwa wanajua wanafanya makosa. Mfano baadhi ya maneno hayo. Anakwendaga, anakujaga, anakulaga...
Kiswahili ni miunganiko ya lugha tofautitofauti duniani na nimoja ya lugha tamu na yenye kuvutia pindi uongeapo.je ni lugha ya ngapi kwa ubora duniani?
Sweet potatoes kwa Kitaalam vinaitwa 'Ipomoea batatas' hii ni njia ya kitaalam ya kuvitaja viumbe hai kwa kutumia majina mawili (binomial nomenclature).
Waatalamu wa mambO naombeni mnijibu swali hilo..
Mara Nyingi kila nikisikia USA wanaongelea vita lazima wataje neno 'allies'..
Kama sahivi wanapoongelea kuipiga NK lazima wataje 'allies'..
Tangu...
Mara nyingi watumiaji wa lugha ya kiswahili tunafanya makosa bila kujua,kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili je ni sahihi kusema kuwa"Nimemkuta hayupo" pale unapoenda kumtafuta mtu ukamkosa
Hii ni app ya biblia kutoka playstore, hapo nadhani walikuwa wanamaanisha yale mambo ya "please rate this app"
Hapa nadhani wanamaanisha "press back to exit"
Wasalaam,
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kwa nini waafrika wengi mtu anapokuwa hawezi kuongea kiingereza huwa tuna muona kama si lolote si chochote,Kuna Kipindi nimewahi kufanya hizi kazi za...
Pendo ni kitu adhimu ,Mungu ametuumbia
Tupendane binadamu ,Ushenzi kuukimbia
Tusiwe wana haramu ,Wenzetu kuwaibia
Pendo kitu cha thamani , tena kitu cha furaha.
Raha ya pendo kupendwa , Na yule...
Kwa wale ambao mnaongea lugha zaidi ya moja , hivi mawazo au fikra huwa yana lugha?
Nakumbuka nilivyokuwa secondary mwalimu wangu wa kiingereza alikuwa anaseama ili kuepuka kuongea broken "think...
Hili neno limechipuka kama uyoga.
Lilianza nafikiri Redio One au Clouds, likiwa na maudhui ya kimapenzi.
Sasa linatumika kila mahali, sasa niambieni waswahili, kama hii mada nayo ni mubashara!
Wakuu, huwa natamani kuifahamu lugha ya Kilatini lakini kwa kuanzia nikaona nitafute kamusi ya lugha hiyo, kwa bahati mbaya kwenye maduka makubwa kama Cathedral Bookshop Dar hakuna. Tafadhari...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyokieleza! Naona sasa imefikia muda sasa wa kujifunza lugha yangu ya asili, msaada please kwa anayejua wapi labda kuna sehem wanafundisha Kichagga at least kile...
Baada ya kusahau nywila(password) ya kadi yangu ya kiotomotela(ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati (juice)...
Hii nimeseji umetumwa na mtandao wa Airtel wanaisambaza ila hawajui tofauti ya haya maneno IDHAA na IDARA.[emoji85] [emoji85] [emoji85] shame on you airtel.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.