Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kuna makosa mengi yanajitokeza katika uandishi ambayo ni makosa ya kuunganisha maneno kana kwamba ni neno moja ilhali ni maneno mawili tofauti na yenye uamilifu tofauti. Mfano wa maneno hayo ni...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni matumizi sahihi ya iko na ipo au tuko na tupo. Ukitoa maelezo na mfano wa sentensi itakuwa vizuri zaidi
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Rais akiwa mwanamke, mume wake Waingereza wanamwita " First Gentleman" Kwa lugha yetu ya Kiswahili anaitwaje?
0 Reactions
5 Replies
834 Views
Wanangu Wa faida mpo? . Kuna vitu vinafanya wakati Fulani mtu mzima utamani kurudi utotoni Ingawa ni ngumu ki nadharia (mawazo) yanaweza kukurudisha na ukajikuta Una tabasamu peke yako njiani ...
4 Reactions
44 Replies
31K Views
A thorough perusal of the Notice of Motion and the averments in the affidavit, two major grounds on which the application is based clearly comes out.
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Niliona BBC Swahili wameandika kichwa cha habari kwamba "kikosi cha Gambia kingefariki" walipokuwa wakieelekea Afcon, je hapa hili neno limetumika ipasavyo? Hapa wanamaanisha kikosi kina moyo?
0 Reactions
1 Replies
296 Views
New Amaan Sports Complex kwa kiswahili itaandikwaje?
1 Reactions
3 Replies
303 Views
Unakuta mataifa mengine yalioendelea jinsi wanavyojadili mambo yao kwenye mitandao ya kijamii unafurahi. Mfano wachina mtu akiweka video yake ya kuelezea kitu fulani Kwa lugha ya kichina...
6 Reactions
6 Replies
607 Views
Hivi hakuna mamlaka inayosimamia na kuchuja kiasi cha uongo kilichomo kwenye movie ya kiingereza zinazotafsiriwa kwa Kiswahili humo kwenye mabasi nimemsikia akisema? My pleasure = hamna shida Let...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Hivi wakuu Wazaramo, wakwere na wadengereko ni jamii moja katika mfanano wa lugha? Jee lugha yao ni moja au zinafanana?
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Hello Jf, Everyone has got something thrilling in life, to me is learning new language. Recently I have becoming desperately of learning English language but unfortunately my settings are not...
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Amani iwe juu yenu.. Naomba kufahamu hili neno "eti" huwa linamaansha nn zaid ktk sentensi kama linavyotumka na baadhi ya wanawake, hususani mkiwa mnachati... Mfano:- - Nimekumic eti -Sijala eti...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Naomba utambuzi hapo tafadhali.
0 Reactions
22 Replies
1K Views
MASHAIRI YA SHAGALABAGALA NCHI YA AZMA ******* Nchi ya AZMA wasomi wake wanauza elimu kwa teuzi na mishahara, sina shaka na uelekeo unapoenda, Shaka ninalo namna utakavyofika unakoenda. Nguvu...
1 Reactions
4 Replies
478 Views
Hivi ilikuwaje kwenye lugha ya kiswahili mpaka mke wa kaka akaitwa "shemeji" kwa ndugu wote wa mume yaani wakiume, na wa kike wanamwita "wifi". Ila mume wa dada akaitwa "shemeji" na jinsia zote...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Tofauti ya Mwizi na Tapeli ni nini?
0 Reactions
3 Replies
508 Views
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia...
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Moja ya maneno ninayoyaona sana yakitumika na baadhi ya watu mitandaoni hata baadhi ya wasanii pia...!! DAMSHI PAMBE TUNUNU CHUCHUNGE TUKINAO
2 Reactions
29 Replies
18K Views
My dear Tanzanian compatriots, my fellow JF companions, it is with great eloquence and fervor that I implore you to eschew your linguistic provincialism and embrace the vast expanse of the English...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
It is with great erudition and lexical dexterity that I make the assertion that Diamond Platinumz, the prodigious Tanzanian musician, should consider transitioning to singing in English. While it...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom