Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Alama, inayojulikana pia kama International Day of Sign Languages, husherehekewa kila mwaka tarehe 23 Septemba. Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa ili kuongeza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeona likitumika mahali kadha wa kadha, asili ya ili neno bosheni ni nini? Na maana yake ni nini?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukifika mitaa ya Mbezi mwisho ukiulizia mkalimani Clark huwezi nikosa kabiiiiiisa Ni Mimi mtaalamu wa lugha ninayeweza kuongea Hadi lugha tano 😌 Leo tunaanza na salamu za asubuhi...
1 Reactions
3 Replies
421 Views
Kwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Naona hili ni tatizo kubwa sana kwa watangazaji wetu wa vituo vyote vya redio kuanzia redio ya taifa mpaka vituo vidogo vya redio linapokuja jina lenye asili ya kijerumani matamshi yanakuwa ndivyo...
17 Reactions
52 Replies
3K Views
Mara nyingi nasikia Pembe za Ndovu na meno ya Tembo na sio vice versa je tofauti yake ni nini? Naombeni mnisaidie kwa hili.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili ni gazeti la lugha ya kiingereza la leo 12/09/2023 kutoka Tanzania! Kichwa cha habari ni sahihi? Najua ujumbe kusudiwa umefika! Najua ni makosa ya kibinaadamu! Tatizo wakenya wataanza...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Huyu dada anaimba lugha gani. Na wimbo una maanisha nini? Nyimbo amabazo anacheza huku amesimama ninazo pia ila mpaka ulipie hela
0 Reactions
0 Replies
378 Views
It was July 2022, I woke up early in the morning the rays of sunlight was brightly shining like a pieces of broken glass exposed to the sunlight...
0 Reactions
1 Replies
314 Views
Kuna tofauti gani iliyopo kati hizo terms hapo huwa zinanitatiza.Kwenu JF
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nanukuu "wakenya mnakiswahili kibaya inatakiwa mpewe darasa la kiswahili"- Samia s. Hassan "Sisi ndio tunakiswahili kibaya ila tunawajibu kwa kiswahili kibaya na watanzania mnatujibu kwa...
2 Reactions
9 Replies
905 Views
Wakuu hivi ukiambiwa eating gluten fee inakua inamaana gani?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
NANI ATANGULIE Kifo hakina chaguo, chabeba kimtakae Wawili wapendanao, mke mume kichukue Na hata kwa mkupuo, bora kifo kiamue Ni nani atangulie, kati ya mke na mume? Mke ndiyo kimbilio...
0 Reactions
7 Replies
520 Views
Bamia kwa kingereza zinaitwaje? Twende kazi[emoji123]
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu kuna anayejua chanzo kilicho pelekea wakoloni kuitwa mabeberu? Naomba mnipe maelezo ya kina maana binafsi sijaelewa mpaka sasa. vi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Pesa si matumaini yao Ni msukuma mkokoteni Tena na jua kali kichwani Pato lake sio ahueni Pesa si matumaini yao Ajabu mwajiriwa tajiri Na mwajiri wake ni fakiri Analipa, kipato swaghiri Pesa si...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Habari za mda huu wakuu. Kwanza kabisa nikiri kuwa asiyekubali kujifunza hafai kuishi katika dunia hii ya mabadiliko, Leo katika pitapita zangu nikaona jengo flani ivi limeandikwa MINI SUPER...
3 Reactions
13 Replies
956 Views
Siku hizi kuna msemo maarufu sana wa 'pira papatu papatu', wengi hawaelewi asili ya msemo huu. Msema huu asili yake mchanganyiko wa struggles za na sauti zitokanazo na samaki anapokua akirukaruka...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wana JF, Nimekuja humu nina shida ndogo maana penye wengi pana mengi nimehamia nyumba fulani hapa jijini wenye nyumba ni wahaya hawa watu wakiniona nimerudi wao ni kihaya tu...
1 Reactions
37 Replies
21K Views
Back
Top Bottom