Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
ATI HATUJIELEWI Hatujishughulishi Na mnatujaji Hatuna mitaji Nyie wafujaji Manayajaza matumbo yenu Mtumba mitumbani Tunalipa kodi Bila ukaidi Nyie mwafaidi Mazingira yetu bado duni Shamba ni...
0 Reactions
1 Replies
590 Views
High Court Judgement "I hereby quash the entire proceedings and judgment of the lower tribunal for being nulity, Everything in ownership of the disuputed plot remains as if there was no case...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Hili neno lina maana gani wakuu?
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Wapi naweza kujifunza lugha ya Kichina? Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Good afternoon members (sijui kama nimepatia 😂 ) Kuna sehemu imeandikwa Received from / issued to. hapa unaweza kuandika bidhaa flani imeletwa kutoka stoo ama naandika majina ya wateja...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Naombeni tafsiri sahihi kwa kiswahili ya sentensi I saw him leaving the house Aksanteni na karibuni
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mwathirika na Mhanga. Mwathirika ni ama mtu anayepatwa na jambo linalomsababishia madhara bila ya yeye kukusudia au mtu anayefuata tabia na mienendo ya mtu mwingine. Hivyo, dhana hii inaweza kuwa...
2 Reactions
2 Replies
405 Views
Naitwa Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura GENTAMYCINE (anayejitambulisha hivi ndiyo inadaiwa yuko sahihi) na kapatia. Majina yangu ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura...
0 Reactions
3 Replies
973 Views
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI? Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
Leo nimesikitika Sana watangazaji kutokuwa na weledi na kazi yao Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo...
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Sijakusudia 1 Sijakusudia Jama nimeua Sijakusudia Ila najutia Ninayo hatia Naombeni msaada 2 Jama nimeiba Sijakusudia Sikuliridhia Nipo na hatia Naomba nisamehewe 3 Jama nimebaka Kisa ni...
1 Reactions
4 Replies
372 Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ametoa wito kwa waswahili kukitazama Kiswahili kwa jicho la fursa na kuwa wepesi kung'amua kila upenyo kwa lugha hiyo na kuhakikisha...
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Mizungu ni kauli zinazotumia lugha ya picha na mafumbo ili kuelezea vipengele mbalimbali vya mila na za jamii fulani. Mara nyingi mizungu hutumika kufunza miiko mbalimbali kwa watoto ambao...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Muondoke vs Ondokeni Mje vs mjeni vs njooni Mwende vs nendeni Kiswahili sanifu ni hiki chenye "m" mwanzoni kama mofimu inayotaja dhana ya wingi au safu ya pili yenye mofimu "ni" mwishoni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za leo. Lofa sio tusi ni neno la kiswahili ambalo lina maana mbili: = > Maana ya kwanza, ni mtu anayezurura asiye na kazi ya kufanya. = > Maana ya pili ni aina ya viatu ambavyo havina...
2 Reactions
7 Replies
7K Views
Nimefikiria maneno yafuatayo, Je ulisha fikiria jinsi ya kuiandaa biashara Kwaajili ya wateja au mtaji, lakini nadhani hapo hakuna neno linalowakilisha vizuri neno 'position'. To position a...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Naona kwa sasa kila mtu " tegemezi" anajiita Chawa wa fulani Kwa mfano nimetoka pale Chato nimewakuta Chawa wa Mbunge na ni cheo rasmi mtu anajitambulisha Nimeshangaa Sana kwa sababu Chawa ni...
6 Reactions
19 Replies
987 Views
Onyesha,onesha,vyema,vema
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KAMWAMBIE NAMPENDA.. Mwambie ninampenda, moyo umemchagua Ananifanya nakonda, naishi kwa kuugua Aje nimfanye kinda, moyo upate kutua Nakutuma kamwambie, vile ninavyompenda. Amenichanganya kweli...
1 Reactions
0 Replies
618 Views
NAJUTA KUMSOMESHA Najuta leo najuta Majuto ni mjukuu Mwenzenu yamenikuta Nimeshavunjika guu Wakubwa walinambia Masikio nikaziba. Hata ada nikalipa Chuoni kumpeleka Nikajiona kibopa Kidume...
3 Reactions
8 Replies
812 Views
Back
Top Bottom