High Court Judgement
"I hereby quash the entire proceedings and judgment of the lower tribunal for being nulity, Everything in ownership of the disuputed plot remains as if there was no case...
Good afternoon members (sijui kama nimepatia 😂 )
Kuna sehemu imeandikwa Received from / issued to. hapa unaweza kuandika bidhaa flani imeletwa kutoka stoo ama naandika majina ya wateja...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Naombeni tafsiri sahihi kwa kiswahili ya sentensi I saw him leaving the house
Aksanteni na karibuni
Mwathirika na Mhanga. Mwathirika ni ama mtu anayepatwa na jambo linalomsababishia madhara bila ya yeye kukusudia au mtu anayefuata tabia na mienendo ya mtu mwingine. Hivyo, dhana hii inaweza kuwa...
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI?
Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka...
Leo nimesikitika Sana watangazaji kutokuwa na weledi na kazi yao
Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ametoa wito kwa waswahili kukitazama Kiswahili kwa jicho la fursa na kuwa wepesi kung'amua kila upenyo kwa lugha hiyo na kuhakikisha...
Mizungu ni kauli zinazotumia lugha ya picha na mafumbo ili kuelezea vipengele mbalimbali vya mila na za jamii fulani. Mara nyingi mizungu hutumika kufunza miiko mbalimbali kwa watoto ambao...
Muondoke vs Ondokeni
Mje vs mjeni vs njooni
Mwende vs nendeni
Kiswahili sanifu ni hiki chenye "m" mwanzoni kama mofimu inayotaja dhana ya wingi au safu ya pili yenye mofimu "ni" mwishoni...
Habari za leo.
Lofa sio tusi ni neno la kiswahili ambalo lina maana mbili:
= > Maana ya kwanza, ni mtu anayezurura asiye na kazi ya kufanya.
= > Maana ya pili ni aina ya viatu ambavyo havina...
Nimefikiria maneno yafuatayo, Je ulisha fikiria jinsi ya kuiandaa biashara Kwaajili ya wateja au mtaji, lakini nadhani hapo hakuna neno linalowakilisha vizuri neno 'position'. To position a...
Naona kwa sasa kila mtu " tegemezi" anajiita Chawa wa fulani
Kwa mfano nimetoka pale Chato nimewakuta Chawa wa Mbunge na ni cheo rasmi mtu anajitambulisha
Nimeshangaa Sana kwa sababu Chawa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.