Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
"Polisi alimuua mwizi nyumbani kwake" au kwa kiingereza "Policeman killed a thief in his house" Je mwizi aliuwawa nyumbani kwa polisi au nyumbani kwake yeye mwenyewe?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mnisaidie ..nini maana ya fasihi ya kiswahili na fasihi ya waswahili?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Jaman leo nmecheka mno baada ya kuona maana ya neno afande...."mwanaume anaelawiti wanaume wengine" kazi kwenu maafande
0 Reactions
8 Replies
21K Views
PRONOUNS (VIWAKILISHI) Pronoun ni neno linalotumika badala ya noun (jina). Kwa maneno mengine ni neno linalowakilisha noun (jina). Pronouns zipo za aina nyingi kama zifuatazo; PERSONAL PRONOUNS...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Nimezama fikirani, Kumsaka Punguani, Aliyezua tafrani, Mbinguni na duniani, Nimemjua jamani, Huyo Bwana Punguani. 2. Huyo Bwana Punguani, Kaacha mkewe ndani, Kajikunyata chumbani, Mito yake...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari Kama ningeriweza kuandika kikurya basi mwanzo hadi mwisho ningeongea Lugha ya kure kwetu nchini(kanda maarum) Ila hili jambo ndo hasa rimenifanya niandike uzi huu. Wengine hatuku...
2 Reactions
29 Replies
13K Views
Kuna maneno mengine yana maana nzuri ktk lugha nyingine, lakini mtu mwingne akisikia neno hilo hupotosha kabisa na muda mwingne kuwa tusi; mfano, ---- radi(Japan), kwa kiswahili ni potofu, Kinu...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa. s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika. jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
2 Reactions
61 Replies
10K Views
Wataalam wa lugha hili tangazo la Ikulu limekaaje. Wengine tumesomea skuli za kata.......
0 Reactions
27 Replies
3K Views
The website MoveHub.com is a resource for people looking to move abroad. They've released this eye-opening infographic that shows the second language of every region across the globe. Some are...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za Jumapili wana jukwaa, kuna dogo kaniuliza hili swali nimebaki naachama tu mdomo. Naomba mnijuze matongotongo kwa kiingereza yanaitwaje. Wasalaam CL
1 Reactions
18 Replies
15K Views
Wataalamu wa lugha, siasa naomba mnipe maana ya hili neno Uhafidhina maana nimekuwa nikilisikia sana
0 Reactions
9 Replies
19K Views
Hivi maana halisi ya ujinga ni nini. Viashiria vya ujinga ni vipi ? Mtu anaweza kuitwa mjinga kuanzia umri gani? Mtoto mdogo anaweza kuitwa mjinga?....
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari zenu ndugu zangu. kuwekua na matumizi makubwa sana ya neno NDIO na NDIYO hapa mjini hata humu jf pia, ningependa kujua kama kamusi inatambua neno NDIO au NDIYO.. pia hata neno "Ndiye"...
0 Reactions
20 Replies
18K Views
nimekuwa nikipenda kutumia kiswahili sana kwenye simu hasa katika miongozo mbalimbali katika simu, katika hali ya kustaajabisha, hasa pale ninapochagua lugha, ni dhahiri kuwa lugha ni utambulisho...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeona kwenye vyombo vya habari kwamba jana ilikua ni 'siku ya kuzaliwa' ya Mh JK....Hongera Mh. Nauliza swali ikiwa nilizaliwa siku ya Jumanne na tarehe ya kuzaliwa ikaangukia Jumamosi, hapo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari zenu,mi naomba mnisaidie mwanamke aliyefikia umri wa kuolewa anaitwa nani kwa kiswahili?
0 Reactions
18 Replies
19K Views
Sasa hivi kuna wanataaluma wabovu mno karibu katika kila fani: Waalimu wabovu Madaktari wabovu Wahasibu wabovu Watafiti wabovu Na komesha ni waandishi wa habari - hawa ndo naona hata shule...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani habari?,naomba msaada wa kufaham neno la kiswahili linaloishia na FO ukiachana na maneno FOFOFO na KIFO. ASANTENI
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu naomba mwenye translation ya hilo neno, nafkiria kuhusu boycotting, abstaining lakini naona hayaleti maana halisi!!!!!!!
0 Reactions
16 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…