Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1.Shabiki wa timu ya simba ana mke.
1 Reactions
62 Replies
11K Views
- Njama - Dondoka - Anguka Wajuzi wa lugha naomba muongozo hapo.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wandugu? Hili tatizo la baadhi ya watu kuondoa herufi 'h' kwenye maneno linazidi kukua. Kila siku nakutana na maneno haya: ataki badala ya hataki, uyu badala ya huyu, awezi badala ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wakuu naomba mnisaidie swali hili kwa anaejua! ""Hali ya kitenzi kuhitaji au kutokubitaji yambwa inaitwaje?""! Nawasilisha!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hawa wadogo zetu wanakoelekea sio kuzuri.Inahitajika busara za ziada kuwarudisha kwenye mstari. Hii ni sms ya mdogo wangu wa kike miaka 19 akiniomba msamaha baada ya kurudi akiwa pombe...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari WAungwana, Leo Na wapa Siri Chache za Kiswahili. 1. Je Unajua Kua Kiswahili Kina Zaidi Ya Methali 600? 2. Je Unajua Kua Kiswahili kina ZAidi Ya Nahau 350? 3. Je Unajua Kua Kiswahili Kina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hali ya kitenzi kuhitaji /kutokuhitaji yambwa inaitwaje?
0 Reactions
21 Replies
8K Views
siku zote nimekua sijatafakari vizuri hadi leo niliposikia watu wa salon moja wakibishana kwamba ule msemo ambao mm nimeuzoe kama Akili ni Nywele kila mtu ana zake usahihi wake ni kwamba akili si...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Utakuta uandishi wa jumbe umebadilika sana. Mfano xaxa akimaanisha sasa. Wa2 akimaanisha watu. Hivi uandishi huu unakuza lugha katika uandishi? Nisaidieni hiyo Elimu ya uandishi huu vijana wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samahan wakuu naomba kujuzwa "" et hali ya kitenzi kuhitaji au k.utohitaji yambwa inaitwaje?""-
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Watu wa Baraza la Kiswahili la Taifa nakuombeni muweke neno "Ufisadi" kama mbadala ya neno Uhujumu uchumi. Hii inatokana na kutumika kwa kasi kubwa na kuzoeleka midomoni mwa watu wengi hasa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za jioni jukwaa la lugha. naomba mnisaidie hapa ,ukiondoa ushairi na riwaya Shaaban Robert aliandika nini kingine, naombeni msaada wenu wandugu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1.Nakushangaa mwanadamu,Kila siku wahangaika, Asubuhi na mchana kutwa,Mimi TAMATA kunishinda.Kweli wanichukia ,Ila mimi nakupenda.NIPO NAWE SIKU ZOTE HATA KAMA HUNITAKI 2.Jina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada huyu mdudu anaitwa "Inzi" au "Nzi"... Kama unareferenc ni vizur zaidi
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Nadhani Professor kaikosea jamii ya wasomi wote kwani alitumia neno kuwaita waliotofauti na mawazo yake ni intarahamwe! Je yeye kama professor ni utafiti gani unaonesha kuwa CCM au kundi fulani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada kwa waalimu na wataalamu wa lugha ya Kiingereza. Je, ni kwa mtu ambaye ndio anaanza kujifunza lugha ya Kiingereza kwa ujumla inatakiwa mwalimu aanze na topic gani na kumalizia...
0 Reactions
7 Replies
16K Views
Tafadhali naomba mnisaidie kiswahili fasaha kwa neno hili "Undecided" . Natanguliza shukrani zangu kwenu. Asante.
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Wasakatonge ni kina nani?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wenyeviti wa kamati mbalimbali za Bunge Maalumu kila wawasilishapo ripoti nawasikia wakisema:'Maelezo zaidi yapo kwenye bango kitita. Bango kitita maana yake nini?
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hili neno 'ugatuzi' huwa nalisikia sana kwenye vyombo vya habari vya Kenya lakini sijui maana yake. Naomba kuelimishwa.
0 Reactions
10 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…