Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
sina shida na Airtel au huduma zao, lakini nataka kujua kwann hawa jamaa wa mitandao wantumia maneno ya kihuni kila siku na TRA wako wap? maana ya neno bure ni nini kama sio *bila malipo*?? maana...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
nahitaji mwalim wa kunifundisha lugha ya Kifaransa muda wa jion kwa aliyeko Dar es Salaam. awe na programme ya mi kuelewa haraka, kusoma/kuandika na kuongea. Najua Kiingereza vizuri cha kusomea.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya maneno ya kisiasa Itikadi, sera, hoja na mrengo hebu tuyafafanue moja baada ya jingine!
1 Reactions
1 Replies
815 Views
1. OBHWATO MBWAGA Kwa Kijita maana yake ni HUU MTUMBWI WA NANI? 2. MANYONI kwa kisukuma maana yake ni PAPUCHI. 3. CHUNYA kwa Kisukuma maana yake ni Kuingiza Dushelele...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wandugu, Mie nnaswali moja, hivi mtu anaedhaniwa kuwa ni jambazi ni mtu wa aina gani hasa? Mtu amekutwa eneo la tukio akifanya wizi, anauawa na wananchi baadae vyombo vya habari vinaripoti...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nawaombeni msahada coz watu wengi wanasema tofauti tofauti kwamba: ngoni walipofika tanganyika kiongozi wao alikuwa nani?? Na nikwann walitoka south afrika? Na ilikuwa mwaka gani??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bonjour, Please use this thread to chit chat in french. All members who attend Russian Roulette's French lessons for beginners are free to practice here. Merci
5 Reactions
52 Replies
6K Views
pole na hongera kwa mapumuzizo ya jumamosi wana JF naomba wenye kujua maana halisi ya neno hili seminari anijuze asnte sana kwa michango itakayotolewa
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu! Mimi huwa nakubali mara nyingine tunaweza kuchanganya kiswahili na kiingeereza lakini kidogo tutumie jitihada neno BORE kulitamka sio BORE ni kama kutamka BOA sasa inakuaje...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
naombeni mnifahamishe ulinganifu uliopo kati ya kamusi la kiswahili fasahaa dhidi kamusi la kiswahili sanifu kwa maendeleo ya kiswahili.natanguriza shukrani kwenu,
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Maneno
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tu as le Lyrics de cet chanson "FATIMATA" par Sam Mangwana? Donne-le pour moi S.T.P elle m'a fait tourner la tête à cause de sa beauté elle a un corps pete pete elle a un...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Huwa ninashangazwa na jambo moja, wenzetu wanaoishi ughaibuni (DIASPORA) wakikaa sana (3yrs+) aghalabu hurudi na lafudhi (accent) ya huko, ninashangaa zaidi mtu akiishi mfano Marekani anarudi na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
nisaidieni kuipeleka hiyo sentensi kwenye kingereza
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Utakuta mtu anazungumza mara unasikia " hiyo ni nanilii" au huyo atakuwa ni naniliu.." Hii ni sawa? na inatokana na nini?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Itabidi wadahaliane (msianze kunirushia madongo..hili neno nimelitunga mwenyewe nikimaanisha wa debate). Mdahalo ni noun, kwa kiingereza debate ni noun na verb. Sasa verb ya mdahalo kwa kiswahili...
0 Reactions
20 Replies
21K Views
Episode kwa kiswahili ni nini? naomba msaada
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi ipi ni sentensi sahihi kati ya: 'Naomba unipigie nyimbo ya Madee na Naomba nipigie wimbo wa Madee? Wafunzi wananikera sana. Msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar. sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie...
1 Reactions
60 Replies
7K Views
Kitu yakuchekesha ni vile kudharau mtu ni mbaya lakini kukuwa na dharma ni kupoa? Tena kumpokea mtu karama! Nielezee jamaan!
0 Reactions
2 Replies
830 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…